Faida za kiafya za kula magimbi

Faida za kiafya za magimbi (taro root)
- magimbi yana virutubisho kama vitamini C, E na B6. pia madini ya potassium, phosphorus, shaba, magnessium na manganese. Pia magimbi yana protini na fati
- Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari hufanya isipande
- Hupunguza kasi ya mmeng’enyo wa chakula
- Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo na mishipa ya dmau
- Magimbi yana chembeche,mbe ambazo hulinda mwili dhidi ya saratani kwa kuuwa seli za saratani
- Husaidia katika kupunguza uzito
- Huboresha afya ya utumbo
- Hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 ai web app 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 ai web app 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Vyakula muhimu kwa kulinda afya ya macho - Epuka upofu kwa kula vyakula hivi
Matatizo ya macho yanaweza kuruthiwa kutoka kwa wazazi kwenda kwa mtoto. hata hivyo shughuli zetu na vyakula tunavyokula vinaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa matatizo haya. Hapa nitakuletea vyakula muhimu kwa afya ya macho yako.
Soma Zaidi...Asili ya Madini ya shaba
Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama
Soma Zaidi...Faida za kula Karoti
Umeshawahi kula karoti mbichi, ama ya kupikwa, je unazijuwa faida zake? soma makala hii
Soma Zaidi...Fahamu tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari
Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona
Soma Zaidi...Faida 5 za asali na matumizi yake.
Katika post hii utakwenda kujifunza faida na matumizi ya asali mwilini.
Soma Zaidi...