Faida za kiafya za kula magimbi

Faida za kiafya za kula magimbi



Faida za kiafya za magimbi (taro root)

  1. magimbi yana virutubisho kama vitamini C, E na B6. pia madini ya potassium, phosphorus, shaba, magnessium na manganese. Pia magimbi yana protini na fati
  2. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari hufanya isipande
  3. Hupunguza kasi ya mmeng’enyo wa chakula
  4. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo na mishipa ya dmau
  5. Magimbi yana chembeche,mbe ambazo hulinda mwili dhidi ya saratani kwa kuuwa seli za saratani
  6. Husaidia katika kupunguza uzito
  7. Huboresha afya ya utumbo
  8. Hulinda mwili dhidi ya mashambulizi


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3775

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula kisamvu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula korosho

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho

Soma Zaidi...
Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi

Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA MADINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
Chungwa (orange)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa/orange

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa chai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai

Soma Zaidi...
Karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karoti

Soma Zaidi...