Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji
. Faida za kitunguu maji (onion)
1. kitunguu kina virutubisho kama vitamini C, B9 na B6 pia madini kama potassium
2. Hulinda afya ya moyo
3. Hushusha presha ya damu
4. Hulinda mwili dhidi ya kisukari, saratani na maradhi ya moyo
5. Husaidia katika kuzuia saratani kusambaa maeneo mengine ya mwili
6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu na hii ni muhimu hasa kwa watu wenye type2 diabetes
7. Huboresha afya ya mifupa na kuifanya iwe imara na madhubuti
8. Huimarisha ulinzi wa mwili dhidi ya maambukizi ya bakteria
9. Huboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Embe ni katika matunda atamu na yenye faida kubwa kiafya, soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop
Soma Zaidi...