Faida za kiafya za kula maboga

Faida za kiafya za kula maboga



Faida za kiafya za kula maboga

  1. boga lina virutubisho kama vitamini A, C, E na B. pia kuna madini ya chuma, potassium na manganessium. Pia boga lini protini na fati.
  2. Boga lin antioxidanti ambazo huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini
  3. Boga husaidia kuimarisha na kuboresha mfumo wa kinga
  4. Husaidia kwa afya ya macho
  5. Husaidia kupunguza uzito
  6. Hupunguza athari ya kupata saratani
  7. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo
  8. Boga husaidia kuboresha afya ya ngozi
  9. Hupunguza kuganda kwa choo


                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1414

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Vyakula vya vitamin E

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin E

Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti

Soma Zaidi...
Faida za kula uyoga

Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kula fyulisi/peach

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach

Soma Zaidi...
Matunda yenye vitamini C kwa wingi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini

Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.

Soma Zaidi...
Vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari na salama kwa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...