picha

Faida za kiafya za kula maboga

Faida za kiafya za kula maboga



Faida za kiafya za kula maboga

  1. boga lina virutubisho kama vitamini A, C, E na B. pia kuna madini ya chuma, potassium na manganessium. Pia boga lini protini na fati.
  2. Boga lin antioxidanti ambazo huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini
  3. Boga husaidia kuimarisha na kuboresha mfumo wa kinga
  4. Husaidia kwa afya ya macho
  5. Husaidia kupunguza uzito
  6. Hupunguza athari ya kupata saratani
  7. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo
  8. Boga husaidia kuboresha afya ya ngozi
  9. Hupunguza kuganda kwa choo


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2598

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

AINA KUU ZA VYAKULA: vyakula vya protini, wanga, fat na mafuta, vitamini, madini na maji

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...