picha

Faida za kula Tangawizi

tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi

Faida za kula Tangawizi

16.Tangaizi. Kiungo hiki mara mara nyingi hutumika kwenye chai. Pia hutumiwa kwenye mchuzi japo sio kawaida. Tangaizi hutibu maradhi mengi lakini ni mujarabu sana kwa tatizo la nguvu za kiume. Tutaizungumza vizuri tangaizi kwenye post zetu zijazo.

Tangaizi husaidia katika kuhakikisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula unafanya kazi kwa ufanisi. Husaidia katika uzalishaji wa mate pamoja na nyongo. Huongeza metablolic ndani ya utumbo. Pia tafiti zinaashiria kuwa tangawizi huweza kusaidia kukinga mwili na saratani ya utumbo.

Tangawizi husaidia katika kupunguza stress ikitumika kama kiungo cha chai, pia husaidia katika kusukuma chakula vizuri ndani ya tumbo, hupunguza tatizo la kutokwa na damu za pua. Pia tangawizi kuondoa maumivu na husaidia katika kuimarisha afya ya moyo.

Tangawizi ina 17.86 g of carbohydrate, 3.6 g of dietary fiber, 3.57 g of protein, 14 mg of sodium, 1.15 g of iron, 7.7 mg of vitamin C, na 33 mg of potassium


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2440

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 web hosting    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Vyakula vya kuboresha afya ya meno

Katika post hii utakwenda kujifunza vyakula unavyopasa kul ili kuboresha afya ya meno yako. Pia utajifunza vyakula vilivyo hatari kwa afya ya meno yako.

Soma Zaidi...
Uyoga (mushrooms)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula magimbi/ taro roots

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mihogo

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo

Soma Zaidi...
Faida za kula chungwa na chenza (tangarine)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)

Soma Zaidi...
Rangi za majimaji yanayotoka kwenye uke na maana yake kiafya

Je unajuwa kuwa majimaji yanayotoka ukeni yanatueleza mengi kuhusu afya yako, rangi za majimaji ya ukeni na damu ya hedhi

Soma Zaidi...
Kazi za protini mwilini ni zipi?

Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini

Soma Zaidi...
KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...