Faida za kula ndizi

Faida za kula ndizi

Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Faida za ndizi

1. Ndizi Ni chanzo kizuri cha vitamini C na B6

2. Ndizi Ni nzuri kwa afya ya ngozi

3. Madini ya potassium yaliyopo kwenye ndizi husaidia kuboresha afya ya moyo na presha ya damu

4. Husaidia katika kuboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

5. Ndizi humpatia mlaji nguvu

6. Ndizi Ina virutubisho vingine Kama protini, fati na madini

7.hudhibiti kiwango cha sukari mwilini

8. Huondoa sumu za vyakula mwilini

9.hutumika katika kudhibiti uzito mwilini

10. Husaidia katika kuimarisha afya ya figo

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3079

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Faida za kungumanga/nutmeg
Faida za kungumanga/nutmeg

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha
Vyakula vya kuongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha

Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi.

Soma Zaidi...
Kazi kuu tatu za Vitamini C mwilini
Kazi kuu tatu za Vitamini C mwilini

Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa

Soma Zaidi...
HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI
HOMA YA DENGUE, DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANGO YAKE NA INA SABABISHWA (AMBUKIZWA) NA MBU GANI

Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA PROTINI, FATI NA MAFUTA
VYAKULA VYA PROTINI, FATI NA MAFUTA

Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili

Soma Zaidi...
Faida za kula chungwa na chenza (tangarine)
Faida za kula chungwa na chenza (tangarine)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)

Soma Zaidi...
Kazi kuu tatu za vitamini C mwilini
Kazi kuu tatu za vitamini C mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C

Soma Zaidi...