picha

Faida za kula ndizi

Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi

Faida za ndizi

1. Ndizi Ni chanzo kizuri cha vitamini C na B6

2. Ndizi Ni nzuri kwa afya ya ngozi

3. Madini ya potassium yaliyopo kwenye ndizi husaidia kuboresha afya ya moyo na presha ya damu

4. Husaidia katika kuboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

5. Ndizi humpatia mlaji nguvu

6. Ndizi Ina virutubisho vingine Kama protini, fati na madini

7.hudhibiti kiwango cha sukari mwilini

8. Huondoa sumu za vyakula mwilini

9.hutumika katika kudhibiti uzito mwilini

10. Husaidia katika kuimarisha afya ya figo

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 3718

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula karanga

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...
Fahamu vitamini C na kazi zake, vyakula vya vitamini C na athari za upungufu wake.

kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.

Soma Zaidi...
Faida za kula Zaituni

Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo

Soma Zaidi...
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA TUNDA PERA

Pera ni tunda bora lakini pia ni dawa, tambua umuhimu wa tunda hili kiafya

Soma Zaidi...