Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi
Faida za ndizi
1. Ndizi Ni chanzo kizuri cha vitamini C na B6
2. Ndizi Ni nzuri kwa afya ya ngozi
3. Madini ya potassium yaliyopo kwenye ndizi husaidia kuboresha afya ya moyo na presha ya damu
4. Husaidia katika kuboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
5. Ndizi humpatia mlaji nguvu
6. Ndizi Ina virutubisho vingine Kama protini, fati na madini
7.hudhibiti kiwango cha sukari mwilini
8. Huondoa sumu za vyakula mwilini
9.hutumika katika kudhibiti uzito mwilini
10. Husaidia katika kuimarisha afya ya figo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa utajifunza vyakula hatari kwa mgonjwa wa kisukari, pia utajifunza vyakula salama anavyotakiwa ale mgonjwa wa kisukari, Pia ujajifunza njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula parachichi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...