Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi
Faida za ndizi
1. Ndizi Ni chanzo kizuri cha vitamini C na B6
2. Ndizi Ni nzuri kwa afya ya ngozi
3. Madini ya potassium yaliyopo kwenye ndizi husaidia kuboresha afya ya moyo na presha ya damu
4. Husaidia katika kuboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
5. Ndizi humpatia mlaji nguvu
6. Ndizi Ina virutubisho vingine Kama protini, fati na madini
7.hudhibiti kiwango cha sukari mwilini
8. Huondoa sumu za vyakula mwilini
9.hutumika katika kudhibiti uzito mwilini
10. Husaidia katika kuimarisha afya ya figo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kwa ufupi vyakula vya kuviepuka kama una presha ya kupanda.
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...