mtu anapo anza tumia arv kwa mara ya Kwanza inaweza mletea shda Zaid na kutetereka afya

mtu anapo anza tumia arv kwa mara ya Kwanza inaweza mletea shda Zaid na kutetereka afya

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

mtu anapo anza tumia arv kwa mara ya Kwanza inaweza mletea shda Zaid na kutetereka afya

Samahn naomba niulize iv mtu anapo anza tumia arv kwa mara ya Kwanza inaweza mletea shda Zaid na kutetereka afya endapo kama katambua kapata maambukizi ya vvu mapema kabla havijazoofisha mwili



Namba ya swali 046

Kuna aina zaidi ya 40 za dawa hizo, kulingana na afya ya mtu, na stage. Nchi nyingi zimeruhusi kuanza dozi napema hata ndani ya miezi 6. Hakuna madhara kiafya kama itatolewa kwa umakini. Hata hivyo naadhi ya maeneo wanapendekeza kuchelewa kwa kuhofia mlundikizsno mkubwa wa dumu za dawa kama utaanza napema



Namba ya swali 046

Kwahiyo endapo kama mtu kapata maambukiz ndan ya wiki 4 anaweza anza tumia dawa bila hata afya yake kutetereshwa na virusi hivyo au asubiri adi afya yake itapo tetereka?



Namba ya swali 046

Kuanza dawa mapema ni vizuri maana kutamfanya virusi visihame kufikia hatua ya tatu. Hata hivyo wiki nne hata virusi havijaanza kuonejana jwrnye vipomo,



Namba ya swali 046

Okay na je afya itabaki kua imara au itayumba kwasabu ndo atakua kaanza kutumia arv kwa mara ya kwanza



Namba ya swali 046

Afya itaendelea kuwa imara. Ijapokuwa kabla dawa hajazizoea kuna mabadiliko anaweza kuyaona ila nibya muda na sinkwa qatu wote. Kwa mfano kujisabhanu ya kula na mengineyo. Ila baada ya kuzizoea itakuwanni kawaida, na afya yake itakuwa sana na watu wengine.



Namba ya swali 046

Okay asante nimekuelewa...



Namba ya swali 046

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Dawa Main: Afya File: Download PDF Views 603

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dawa ya fangasi na dalili za fangasi
Dawa ya fangasi na dalili za fangasi

hapa utajifunza dalili za fangasi, dawa ya fangasi na aina za fangasi, pia nitakujuza njia za kukabiliana na fangasi

Soma Zaidi...
Dawa za fangasi ukeni
Dawa za fangasi ukeni

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za fangasi ukeni

Soma Zaidi...
Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu
Fahamu aina ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu

Post hii inahusu zaidi aina mojawapo ya dawa ya penicillin ambayo ufanya kazi kwa mda mrefu, dawa hii kwa kitaamu huiitwa procaine benzyl penicillin.

Soma Zaidi...
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu
Ijue dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu

Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya Albendazole
Fahamu kuhusu dawa ya Albendazole

Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto
Fahamu kuhusu dawa ya ALU au kwa lugha nyingine ni dawa ya mseto

Post hii inahusu zaidi dawa ya ALU ila kwa jina jingine huitwa dawa ya mseto,ni aina ya dawa inayotumika kutibu ugonjwa wa malaria ya kawaida.

Soma Zaidi...
Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini
Penicillin dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria mwilini

Post hii Inahusu zaidi dawa za kutibu maambukizi yoyote Yale yanayosababishwa na bakteria dawa hizi kwa kitaamu huiitwa antibiotics Kuna dawa mbalimbali zinazotibu maambukizi ya bakteria leo tutaanza na dawa ambayo inaitwa penicillin.

Soma Zaidi...
Dawa ya maumivu ya jino
Dawa ya maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukuletea dawa ya maumivu ya jino

Soma Zaidi...
 Fahamu dawa ya maumivu aina ya indomethacin
Fahamu dawa ya maumivu aina ya indomethacin

Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.

Soma Zaidi...
Fahamu dawa ya haloperidol katika matibabu ya akili
Fahamu dawa ya haloperidol katika matibabu ya akili

Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.

Soma Zaidi...