Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi
VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI
- Tikiti
- Tango
- Nanasi
- Machungwa
- Madanzi
- Mapensheni
- Miwa
- Mapapai
- Mastafeli
- Matunda damu
- Komamanga
Faida za maji mwilini
- Kulainisha viungo
- Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
- Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
- Huboresha afya ya ngozi
- Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
- Husaidia katika kupunguza joto
- Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
- Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
- Hutdhibiti shinikizo la damu
- Huzuia uharibifu wa figo
- Husaidia katika kupunguza uzito
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Madrasa kiganjani
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 ai web app 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za kula miwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Faida (matunda) ya kusimamisha swala katika jamii
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Faida za kafya za kula asali
Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...