Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi
VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI
- Tikiti
- Tango
- Nanasi
- Machungwa
- Madanzi
- Mapensheni
- Miwa
- Mapapai
- Mastafeli
- Matunda damu
- Komamanga
Faida za maji mwilini
- Kulainisha viungo
- Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
- Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
- Huboresha afya ya ngozi
- Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
- Husaidia katika kupunguza joto
- Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
- Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
- Hutdhibiti shinikizo la damu
- Huzuia uharibifu wa figo
- Husaidia katika kupunguza uzito
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za kula mayai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai
Soma Zaidi...Sababu zinazoweza kusababisha kukosa choo (kinyesi)
Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula bamia/okra
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Vyakula na vinywaji hatari na vilivyo salama kwa mgonjwa wa kisukari
Hapa utajifunza vyakula hatari kwa mgonjwa wa kisukari, pia utajifunza vyakula salama anavyotakiwa ale mgonjwa wa kisukari, Pia ujajifunza njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...