Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi

Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi

VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI

  1. Tikiti
  2. Tango
  3. Nanasi
  4. Machungwa
  5. Madanzi
  6. Mapensheni
  7. Miwa
  8. Mapapai
  9. Mastafeli
  10. Matunda damu
  11. Komamanga

 

 

Faida za maji mwilini

  1. Kulainisha viungo
  2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
  3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
  4. Huboresha afya ya ngozi
  5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
  6. Husaidia katika kupunguza joto
  7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
  8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
  9. Hutdhibiti shinikizo la damu
  10. Huzuia uharibifu wa figo
  11. Husaidia katika kupunguza uzito

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1597

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kula Faida za kula Boga

Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako

Soma Zaidi...
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA TUNDA PERA

Pera ni tunda bora lakini pia ni dawa, tambua umuhimu wa tunda hili kiafya

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA MADINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Fida za kula uyoga

Uyoga pia ni katika vyakula vya asili, ijapokuwa upatikanaji wake umekuwa mchache siku hizi. Shukrani ziwaendee wataalamu wa kilimo, kwa sasa tunaweza kuzipata mbegu za uyoga kutoka maabara na kulima uyoga popote pale. Wataalamu wa mimea wanaamini kuwa uy

Soma Zaidi...
Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula ukwaju

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju

Soma Zaidi...
Orodha ya madini, chanzo chake na faida zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu orodha ya madini chanzo chake na faida zake

Soma Zaidi...
Faida za kafya za kula asali

Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha

Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi.

Soma Zaidi...
Faida za kula mayai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula mayai

Soma Zaidi...