Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi
VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI
- Tikiti
- Tango
- Nanasi
- Machungwa
- Madanzi
- Mapensheni
- Miwa
- Mapapai
- Mastafeli
- Matunda damu
- Komamanga
Faida za maji mwilini
- Kulainisha viungo
- Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
- Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
- Huboresha afya ya ngozi
- Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
- Husaidia katika kupunguza joto
- Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
- Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
- Hutdhibiti shinikizo la damu
- Huzuia uharibifu wa figo
- Husaidia katika kupunguza uzito
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 ai web app 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Kitau cha Fiqh
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 ai web app 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
vyakula vya kuongeza damu, dalili zake na sababu za upungufu wa damu
Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu
Soma Zaidi...FAIDA ZA MATUNDA
Somo hili linakwenda kukuletea faida za MATUNDA mbalimbali na mboga, upatikanaji wake na faida zake kiafya. Pia utakwenda kuona MATUNDA na mboga ambayo Ni kinga dhidi ya maradhi hatari Kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo na mfumo wa fahamu pamoja na
Soma Zaidi...Vitamini na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Faida za kiafya za nyanya
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Soma Zaidi...