Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Faida za tango
1. Tango Lina virutubisho Kama vile fati, protini, vitamin C na K pia madini ya manganese na magnesium
2. Huondoa kemikali na sumu ndani ya vyakula
3. Husaidia kuipa maji miili yetu
4. Husaidia kupunguza uzito
5. Hushusha kiwango cha sukari mwilini
6. Husaidia katika kupata choo vizuri
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kungumanga
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito, kuna kipindi ambacho wanawake wakati wa ujauzito uchaguza vyakula mbalimbali kuna ambao wanaweza kutumia vitunguu saumu na kupata faida kubwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera
Soma Zaidi...Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi
Soma Zaidi...Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...