picha

Faida za kula Nazi

Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako

Faida za kula Nazi

18.Nazi (coconut oil)
Kunatafiti zaidi ya 1500 zinathibitisha kuwa nazi ni katika matunda yenye afya kuliko matunda yote. Nazi ni katika vyakula vya fati na hutambulika kama medium-chain fatty acids (MCFAs). Ambapo mafuta ya nazi yapo katika aina tatu za fatty asidi ambazo ni Caprylic acid, Lauric acid na Capric acid. Asilimia 62 za mafuta ya nazi yametokana na aina hizi tatu.

Tafiti zinaonesha kuwa mafuta yaliyopo kwenye nazi ni salama kabisa na pia mwili unachukuwa muda mchache kuyameng’enya kuliko mafuta yanayopatikana kwenye minea mingine. Tafiti zinaonesha kuwa mafuta ya nazi yanapitia hatua kuu tatu tu katika kumeng’enywa wakati huo mafuta yatokayo kwenye mimea mingine yanapitia hatua 26 mpaka kumeng’enywa.

Ulaji wa nazi unasaidia katika kutibu afya ya ubongo pamoja na kuzuia ugonjwa kusahau (Alzheimer’s Disease). Tafiti zinaonesha kuwa ulaji wa aina hizi tatui za mafuta (fatty acid) hupelekea ini kutengeneza ketones. Ketones husaidia katika kuupa ubongo nguvu na afya na uwezo wa kufanya kazi vyema. Pia tafiti zinaonesha kuwa mafuta ya nazi hulinda mwili kupata magonjwa ya moyo na shinikizo la damu la juu (high blood pressure)

Nazi hutibu UTI, ini na mashambulio kwenye figo. Tafiti zinaonesha lkuwa maji ya nazi yanaweza kutumika kuondoa vijiwe kwenye figo (kidney stones). Pia mafuta ya nazi yanaweza kuondoa na kuuwa bakteria waliop kwenye njia ya mkojo. Tafiti za kisayansi zinaonesha kuwa mafuta ya nazi yanasaidia katika kulinda afya ya ini.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2821

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 web hosting    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?

Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.

Soma Zaidi...
Fahamu vyakula vya nyuzinyuzi

Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.

Soma Zaidi...
Vyakula salama na vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo

Kamala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu

Soma Zaidi...
Dawa ya kiungulia na njia za kuzuia kiungulia

utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kunazi/ lote tree

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kunazi/ lotetree

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula maboga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga

Soma Zaidi...