Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa.
Faida za kahawa mwilini.
1.Kahawa usaidia kuchangamana mwili.
Kahawa ufanya kazi hiyo kwa sababu ya kuwepo kwa caffeine kwanye kahawa ndio maana watu wengi uitumia wakati wa baridi.
2. Pia kahawa usaidia kuyeyuka kwa mafuta mwilini kwa sababu yenyewe haina mafuta ambayo yanaweza kufanya mwili kushindwa kusafilisha damu kama zilizotabia za vyakula vingine.
3. Pia huwa na virutubisho muhimu
Kwa mfano kahawa ina mangenese na potassium na tena ina mangenese na niocine ambazo ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili wa binadamu.
4. Pia kahawa usaidia kutunza kumbukumbu na kwa hiyo wanywaji wa kahawa wako vizuri kwenye kutunza kumbukumbu.
5.vili vile matumizi ya kahawa ukabili maradhi ya moyo na kiharusi kwa wanywaji wa kahawa ni mara chache kushambuliwa na magonjwa haya.
6. Kahawa usaidia kuondoa sumu mwilini na kufanya Mgonjwa aishi kwa mda mrefu.
7. Kahawa kuondoa msingo wa mawazo.
Kwa kawaida kahawa ikitumika usaidia kuchangamana mwili na hivyo msongo wa mawazo uweza kuondoka.
8. Kwa hiyo kahawa ina faida nyingi sana mwilini kwa hiyo wale ambao hawana shida ya kutumia kahawa wanapaswa kutumia nili kuweza kuondoa baadhi ya magonjwa mbalimbali.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mboga mboga za majani ambazo zinaweza kuweka sukari kwenye kiwango cha kawaida.
Soma Zaidi...Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vyenye protini kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.
Soma Zaidi...Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...