picha

Faida za kahawa mwilini.

Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa.

Faida za kahawa mwilini.

1.Kahawa usaidia kuchangamana mwili.

Kahawa ufanya kazi hiyo kwa sababu ya kuwepo kwa caffeine kwanye kahawa ndio maana watu wengi uitumia wakati wa baridi.

 

2. Pia kahawa usaidia kuyeyuka kwa mafuta mwilini kwa sababu yenyewe haina mafuta ambayo yanaweza kufanya mwili kushindwa kusafilisha damu kama zilizotabia za vyakula vingine.

 

3. Pia huwa na virutubisho muhimu 

Kwa mfano kahawa ina mangenese na potassium na tena ina mangenese na niocine ambazo ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili wa binadamu.

 

4. Pia kahawa usaidia kutunza kumbukumbu na kwa hiyo wanywaji wa kahawa wako vizuri kwenye kutunza kumbukumbu.

 

5.vili vile matumizi ya kahawa  ukabili maradhi ya moyo na  kiharusi kwa wanywaji wa kahawa ni mara chache kushambuliwa na magonjwa haya.

 

6. Kahawa usaidia kuondoa sumu mwilini na kufanya Mgonjwa aishi kwa mda mrefu.

 

7. Kahawa kuondoa msingo wa mawazo.

Kwa kawaida kahawa ikitumika usaidia kuchangamana mwili na hivyo msongo wa mawazo uweza kuondoka.

 

8. Kwa hiyo kahawa ina faida nyingi sana mwilini kwa hiyo wale ambao hawana shida ya kutumia kahawa wanapaswa kutumia nili kuweza kuondoa baadhi ya magonjwa mbalimbali.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2934

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 web hosting    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za majani ya mstafeli

Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.

Soma Zaidi...
Faida za kula Pilipili

Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana

Soma Zaidi...
Boga (pumpkin)

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula maboga

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin K

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K

Soma Zaidi...
Faida za kula magimbi (taro roots)

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi

Soma Zaidi...
Faida (matunda) ya kusimamisha swala katika jamii

Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Mafidodo (mafindofindo) au tonsils kweye koo je inaweza ikawa Ni moja kati ya dalil za ukimwi

Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
JITIBU KWA TANGAIZI: faida za kiafya za tangaizi

Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.

Soma Zaidi...