Faida za kahawa mwilini.

Posti hii inahusu zaidi faida za kahawa mwilini, ni faida ambazo ujitokeza hasa kwa watumiaji wa kahawa.

Faida za kahawa mwilini.

1.Kahawa usaidia kuchangamana mwili.

Kahawa ufanya kazi hiyo kwa sababu ya kuwepo kwa caffeine kwanye kahawa ndio maana watu wengi uitumia wakati wa baridi.

 

2. Pia kahawa usaidia kuyeyuka kwa mafuta mwilini kwa sababu yenyewe haina mafuta ambayo yanaweza kufanya mwili kushindwa kusafilisha damu kama zilizotabia za vyakula vingine.

 

3. Pia huwa na virutubisho muhimu 

Kwa mfano kahawa ina mangenese na potassium na tena ina mangenese na niocine ambazo ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili wa binadamu.

 

4. Pia kahawa usaidia kutunza kumbukumbu na kwa hiyo wanywaji wa kahawa wako vizuri kwenye kutunza kumbukumbu.

 

5.vili vile matumizi ya kahawa  ukabili maradhi ya moyo na  kiharusi kwa wanywaji wa kahawa ni mara chache kushambuliwa na magonjwa haya.

 

6. Kahawa usaidia kuondoa sumu mwilini na kufanya Mgonjwa aishi kwa mda mrefu.

 

7. Kahawa kuondoa msingo wa mawazo.

Kwa kawaida kahawa ikitumika usaidia kuchangamana mwili na hivyo msongo wa mawazo uweza kuondoka.

 

8. Kwa hiyo kahawa ina faida nyingi sana mwilini kwa hiyo wale ambao hawana shida ya kutumia kahawa wanapaswa kutumia nili kuweza kuondoa baadhi ya magonjwa mbalimbali.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2438

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

VYAKULA VYA PROTINI, FATI NA MAFUTA

Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili

Soma Zaidi...
Faida za kula Ndizi

Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye madini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi

Soma Zaidi...
RANGI ZA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula magimbi/ taro roots

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi

Soma Zaidi...
VINYWAJI SALAMA KWA MWENYE KISUKARI

Kuchaguwa vinywaji si jambo rahisi, lakini inabidi iwe hivyo kama una tatizo la kisukari. Je unasumbuka kujuwa vinywaji salama? makala hii ni kwa ajili yako, hapa tutaona vinywaji ambavyo ni salama kwa mwenye kisukari.

Soma Zaidi...
Madhara ya vyakula vya kisasa

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka

Soma Zaidi...