Vyakula vya wanga na faida zake
VYAKULA VYA WANGA
- Mahindi
- Mtama
- Mihogo
- Viazi
- Ngano
- Mikate
- Mtama
- Mchele
- Keki
- Krosho
- Karanga
- Ndizi
- Nyama
- Mayai
- Maziwa
Kazi za wanga
- Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nguvu yaani nishati
- Husaidia katika kuvunjavunja fati mwilini
- Hupunguza matumizi ya protini kwa ajili ya kuzalisha nishati
- Hutumika katika kutengenezea bidhaa na madawa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 ai web app 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 ai web app 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
VYAKULA HATARI KWA VIDONDA VYA TUMBO
Hivi ni vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo. mwenye vidonda vya tumbo hatakiwi kula vyakula hivi
Soma Zaidi...Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)
Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.
Soma Zaidi...Faida (matunda) ya kusimamisha swala katika jamii
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...