picha

Vyakula vya wanga na faida zake

Vyakula vya wanga na faida zake

VYAKULA VYA WANGA

  1. Mahindi
  2. Mtama
  3. Mihogo
  4. Viazi
  5. Ngano
  6. Mikate
  7. Mtama
  8. Mchele
  9. Keki
  10. Krosho
  11. Karanga
  12. Ndizi
  13. Nyama
  14. Mayai
  15. Maziwa

 

Kazi za wanga

  1. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nguvu yaani nishati
  2. Husaidia katika kuvunjavunja fati mwilini
  3. Hupunguza matumizi ya protini kwa ajili ya kuzalisha nishati
  4. Hutumika katika kutengenezea bidhaa na madawa


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 5442

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 web hosting     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Boga (pumpkin)

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula maboga

Soma Zaidi...
Zijuwe faida za kula njegere

zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?

Soma Zaidi...
Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda

Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo baada ya kula

Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula

Soma Zaidi...
Faida za kula Zaituni

Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo

Soma Zaidi...