Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera
Faida z kiafya za pera
1. husaidia kushusha kiwango cha sukari kwenye damu
2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo
3. Husaidia kupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
4. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
5. Husaidia katika kupunguza uzito
6. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
7. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya ngozi
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Papai ni moja kati ya matunda yenye vitamini C na virutubisho vinginevyo. Lakini papai pia ni moja kati ya vyakula ambavyo mjamzito anatakiwa awe makini navyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...Embe ni katika matunda atamu na yenye faida kubwa kiafya, soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi
Soma Zaidi...