Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera
Faida z kiafya za pera
1. husaidia kushusha kiwango cha sukari kwenye damu
2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo
3. Husaidia kupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
4. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
5. Husaidia katika kupunguza uzito
6. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
7. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya ngozi
?
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...