Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera
Faida z kiafya za pera
1. husaidia kushusha kiwango cha sukari kwenye damu
2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo
3. Husaidia kupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
4. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
5. Husaidia katika kupunguza uzito
6. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
7. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya ngozi
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida anazozipata mtu anayekula mayai hasa wakati wa kifua kinywa, tunajua wazi kuwa mayai yana kiwango kikubwa cha protini pamoja na hayo kuna faida nyingi za kutumia mayai hasa wakati wa asubuhi kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Soma Zaidi...