Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kutumia tangawizi
Faida za tangawizi
1. Zina chembe chembe za salfa ambazo ni nzuri kwa afya ya binadamu
2. Ina virutubisho Kama vitamin C na B6 pia madini ya manganese
3. HuoungHup usingizi
4. Hupambana na mafua
5. Hushusha presha ya damu
6. Huboresha afya ya moyo
7. Huboresha afya ya ubongo na kuondoa tatizo la kusahau sahau
8. Huondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
9. Huboresha afya ya mifupa
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1635
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 Madrasa kiganjani
Faida za kiafya za kula nyama
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama Soma Zaidi...
Faida za kula pilipili
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili Soma Zaidi...
Faida za tangawizi
Somo Hili linakwenda kukuletea faida za tangawizi Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa chai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai Soma Zaidi...
JITIBU KWA TIBA ASILI, TIBA ZITOKANAZO NA VYAKULA
1. Soma Zaidi...
ijuwe namna ya kufanya ihram na Vazi la ihram
Soma Zaidi...
Vijuwe vyakula vinavyoongeza damu kwa haraka
Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka. Soma Zaidi...
Vyakula vya kuoambana na mafua
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua Soma Zaidi...
VYAKULA VYA VITAMIN NA MAJI
Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako Soma Zaidi...
Faida za kula Nazi
Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula pera
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pera Soma Zaidi...
FAIDA ZA MATUNDA
Somo hili linakwenda kukuletea faida za MATUNDA mbalimbali na mboga, upatikanaji wake na faida zake kiafya. Pia utakwenda kuona MATUNDA na mboga ambayo Ni kinga dhidi ya maradhi hatari Kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo na mfumo wa fahamu pamoja na Soma Zaidi...