Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi
. Faida za kiafya za kula fenesi
1. lina virutubisho vingi kama vitamini A, na C, pia kuna wanga
2. Huimarisha mfumo wa kinga
3. Ni chakula kinachotia nguvu
4. Huboresha afya ya moyo na mishipa ya damu na kuthibiti presha
5. Huzuai kukosa choo
6. Huzuia mwili dhidi ya kupata saratani
7. Huboresha afya ya macho
8. Husaidia kuimarish afya ya mifupa
9. Husaidia kuzuia pumu
10. Ni zuri kwa afya ya ngozi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Soma Zaidi...