picha

Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi

Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi

VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI

  1. Tikiti
  2. Tango
  3. Nanasi
  4. Machungwa
  5. Madanzi
  6. Mapensheni
  7. Miwa
  8. Mapapai
  9. Mastafeli
  10. Matunda damu
  11. Komamanga

 

 

Faida za maji mwilini

  1. Kulainisha viungo
  2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
  3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
  4. Huboresha afya ya ngozi
  5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
  6. Husaidia katika kupunguza joto
  7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
  8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
  9. Hutdhibiti shinikizo la damu
  10. Huzuia uharibifu wa figo
  11. Husaidia katika kupunguza uzito

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2650

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula miwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...
Faida za kula magimbi (taro roots)

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi

Soma Zaidi...
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)

Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula fenesi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fenesi

Soma Zaidi...
Faida za ubuyu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu

Soma Zaidi...
Maji pia yanawezakuwa dawa kwa akili

Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.

Soma Zaidi...
Faida za kitunguu thaumu

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...