image

Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi

Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi

VYAKULA VYENYE MAJI KWA WINGI

  1. Tikiti
  2. Tango
  3. Nanasi
  4. Machungwa
  5. Madanzi
  6. Mapensheni
  7. Miwa
  8. Mapapai
  9. Mastafeli
  10. Matunda damu
  11. Komamanga

 

 

Faida za maji mwilini

  1. Kulainisha viungo
  2. Husaidia katika utengenezwaji wa mate na makamasi
  3. Husaidia katika usafirishwaji wa oksijeni mwilini
  4. Huboresha afya ya ngozi
  5. Huboresha afya ya ubongo, ugwe mgongo na milango ya fahamu
  6. Husaidia katika kupunguza joto
  7. Mfumo wa mmengenyo wa chakula unategemea maji
  8. Husaidia katika kuondosha ushafu ndani ya mwili
  9. Hutdhibiti shinikizo la damu
  10. Huzuia uharibifu wa figo
  11. Husaidia katika kupunguza uzito

 



                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 399


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini Soma Zaidi...

Faida za kiafya za tangawizi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kutumia tangawizi Soma Zaidi...

ijuwe namna ya kufanya ihram na Vazi la ihram
Soma Zaidi...

Vyakula vya madini, kazizake na athari za upungufu wa madini mwilini
Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...

ELIMU YA UJAUZITO, MIMBA NA KIZAZI
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Viazi mbatata
Soma Zaidi...

Vitamini C Ni nini?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C Soma Zaidi...

Kazi za tunda la papai katika kurekebisha homoni imbalance
Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili. Soma Zaidi...

Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri. Soma Zaidi...

AINA KUU ZA VYAKULA: vyakula vya protini, wanga, fat na mafuta, vitamini, madini na maji
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Faida za kula kabichi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi Soma Zaidi...