Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
27. Faida za kiafya za kula korosho
1. husaidia kuimarisha afya ya misuli na mishipa ya neva (mishipa ya fahamu)
2. Hupunguza hatari ya kupata kisukari
3. Husaidia matibabu ya saratani
4. Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu
5. Huimarisha mfumo wa kinga
6. Husaidia katika kuimarisha afya ya kinywa (meno ) na mifupa
7. Hupunguza athari za maradhi ya anaemia yaani upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini
8. Hupunguza hatari ya kutengenezwa vijiwe kwenye kibofu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu orodha ya madini chanzo chake na faida zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka
Soma Zaidi...