Faida za kiafya za kula korosho

Faida za kiafya za kula korosho

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

27. Faida za kiafya za kula korosho

1. husaidia kuimarisha afya ya misuli na mishipa ya neva (mishipa ya fahamu)

2. Hupunguza hatari ya kupata kisukari

3. Husaidia matibabu ya saratani

4. Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu

5. Huimarisha mfumo wa kinga

6. Husaidia katika kuimarisha afya ya kinywa (meno ) na mifupa

7. Hupunguza athari za maradhi ya anaemia yaani upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini

8. Hupunguza hatari ya kutengenezwa vijiwe kwenye kibofu

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2272

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Vyakula vyenye maji kwa wingi
Vyakula vyenye maji kwa wingi

Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula tangawizi
Faida za kiafya za kula tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za tangawizi

Soma Zaidi...
Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)
Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)

Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye madini kwa wingi
Vyakula vyenye madini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula vyenye madini kwa wingi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa maziwa
Faida za kiafya za kunywa maziwa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula samaki
Faida za kiafya za kula samaki

Posti hii itakwenda kukupa faida za kula samaki kwenye mwili wako.

Soma Zaidi...
 Sababu zinazoweza kusababisha kukosa choo (kinyesi)
Sababu zinazoweza kusababisha kukosa choo (kinyesi)

Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had

Soma Zaidi...