Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
27. Faida za kiafya za kula korosho
1. husaidia kuimarisha afya ya misuli na mishipa ya neva (mishipa ya fahamu)
2. Hupunguza hatari ya kupata kisukari
3. Husaidia matibabu ya saratani
4. Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu
5. Huimarisha mfumo wa kinga
6. Husaidia katika kuimarisha afya ya kinywa (meno ) na mifupa
7. Hupunguza athari za maradhi ya anaemia yaani upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini
8. Hupunguza hatari ya kutengenezwa vijiwe kwenye kibofu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara?
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni
Soma Zaidi...