Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho
27. Faida za kiafya za kula korosho
1. husaidia kuimarisha afya ya misuli na mishipa ya neva (mishipa ya fahamu)
2. Hupunguza hatari ya kupata kisukari
3. Husaidia matibabu ya saratani
4. Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu
5. Huimarisha mfumo wa kinga
6. Husaidia katika kuimarisha afya ya kinywa (meno ) na mifupa
7. Hupunguza athari za maradhi ya anaemia yaani upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini
8. Hupunguza hatari ya kutengenezwa vijiwe kwenye kibofu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Hapa utajifunza vyakula hatari kwa mgonjwa wa kisukari, pia utajifunza vyakula salama anavyotakiwa ale mgonjwa wa kisukari, Pia ujajifunza njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...Nyanya ni katika viungio vya mboga, kuna faida kubwa za kiafya katika nyanya
Soma Zaidi...Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...