picha

Faida za kiafya za kula korosho

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula korosho

27. Faida za kiafya za kula korosho

1. husaidia kuimarisha afya ya misuli na mishipa ya neva (mishipa ya fahamu)

2. Hupunguza hatari ya kupata kisukari

3. Husaidia matibabu ya saratani

4. Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu

5. Huimarisha mfumo wa kinga

6. Husaidia katika kuimarisha afya ya kinywa (meno ) na mifupa

7. Hupunguza athari za maradhi ya anaemia yaani upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini

8. Hupunguza hatari ya kutengenezwa vijiwe kwenye kibofu

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2769

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua

Soma Zaidi...
Faida za kafya za kula asali

Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali

Soma Zaidi...
Zijuwe faida za kiafya za kula nanasi

Je umeshawahi kula nanasi kwa wingi.

Soma Zaidi...
Karanga (groundnuts)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...