image

Faida za kula kachumbari

Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo.

Faida za matumizi ya kachumbari.

1. Usaidia kwenye mmeng'enyo wa chakula.

Kwa kawaida tunafahamu kwamba kama kuna matatizo kwenye mmeng'enyo wa chakula kwa kutumia kachumbari mara kwa mara kwa hiyo usaidia kurainisha chakula na kusababisha mmeng'enyo kuwa vizuri.

 

2. Usaidia katika kupunguza uzito.

Kwa kawaida watu wenye tatizo la kuongeza uzito mara kwa mara wakitumia kachumbari uzito upungua ila wanapaswa kuwa makini katika matumizi ya kachumbari wasiweke mafuta bali watumie jinsi ilivyo.

 

3. Upunguza kuvimbiwa au kuondoa gesi kwenye tumbo.

Kwa kawaida kazi ya kachumbari ni kuhakikisha kwamba kila kitu kinaenda vizuri mwilini kwa kuhakikisha kuwa gesi unaondolewa na kupunguza kuvimba kwa tumbo.

 

4. Kuongezeka kwa hamu ya kula.

Pia kachumbari usaidia katika kuongeza hamu ya kula kwa sababu watu ambao wana matatizo katika chakula wakipatiwa kachumbari Uweza kuwa na hamu ya kula.

 

5. Vile vile kachumbari usaidia katika shughuli za ku balence homoni za mwili, kwa sababu kwenye mwili kuna matatizo mbalimbali hasa kwa wanawake kwa hiyo katika matumizi ya kachumbari usababisha homoni kubwa kwenye hali nzuri na ya kawaida.

 

6. Pia kachumbari usaidia kuondoa uchovu wa mara kwa mara.

Kwa kawaida sababu ya majukumu mbalimbali ya kila siku usababisha kuwepo kwa uchovu wa mara kwa mara ila kwa sababu ya kutumia kachumbari usababisha kuondoa uchovu huo.

 

7. Kupata usingizi bora.

Kwa watu ambao wana matatizo ya kutopata usingizi ila kwa matumizi ya kachumbari wanaweza kupata usingizi mzuri na mzito kabisa.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 4937


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Dawa ya kiungulia na njia za kuzuia kiungulia
utajifunza njia za kuzuia kiungulia, dalili za kiungulia na dawa ya kutibu kiungulia. Soma Zaidi...

utaratibu wa lishe
Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamini C na faida zake
Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha
Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi. Soma Zaidi...

Yajuwe magonjwa matano yanayo tokana na utapiamlo
Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo. Soma Zaidi...

Faida za kula Chungwa
Je unazijuwa faida za kula chungwa kiafya? soma makala hii hadi mwisho Soma Zaidi...

Mafidodo (mafindofindo) au tonsils kweye koo je inaweza ikawa Ni moja kati ya dalil za ukimwi
Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo. Soma Zaidi...

Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo
Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kunywa maziwa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa Soma Zaidi...

Hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Mahindi
Soma Zaidi...