Faida za kula kachumbari

Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo.

Faida za matumizi ya kachumbari.

1. Usaidia kwenye mmeng'enyo wa chakula.

Kwa kawaida tunafahamu kwamba kama kuna matatizo kwenye mmeng'enyo wa chakula kwa kutumia kachumbari mara kwa mara kwa hiyo usaidia kurainisha chakula na kusababisha mmeng'enyo kuwa vizuri.

 

2. Usaidia katika kupunguza uzito.

Kwa kawaida watu wenye tatizo la kuongeza uzito mara kwa mara wakitumia kachumbari uzito upungua ila wanapaswa kuwa makini katika matumizi ya kachumbari wasiweke mafuta bali watumie jinsi ilivyo.

 

3. Upunguza kuvimbiwa au kuondoa gesi kwenye tumbo.

Kwa kawaida kazi ya kachumbari ni kuhakikisha kwamba kila kitu kinaenda vizuri mwilini kwa kuhakikisha kuwa gesi unaondolewa na kupunguza kuvimba kwa tumbo.

 

4. Kuongezeka kwa hamu ya kula.

Pia kachumbari usaidia katika kuongeza hamu ya kula kwa sababu watu ambao wana matatizo katika chakula wakipatiwa kachumbari Uweza kuwa na hamu ya kula.

 

5. Vile vile kachumbari usaidia katika shughuli za ku balence homoni za mwili, kwa sababu kwenye mwili kuna matatizo mbalimbali hasa kwa wanawake kwa hiyo katika matumizi ya kachumbari usababisha homoni kubwa kwenye hali nzuri na ya kawaida.

 

6. Pia kachumbari usaidia kuondoa uchovu wa mara kwa mara.

Kwa kawaida sababu ya majukumu mbalimbali ya kila siku usababisha kuwepo kwa uchovu wa mara kwa mara ila kwa sababu ya kutumia kachumbari usababisha kuondoa uchovu huo.

 

7. Kupata usingizi bora.

Kwa watu ambao wana matatizo ya kutopata usingizi ila kwa matumizi ya kachumbari wanaweza kupata usingizi mzuri na mzito kabisa.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 6228

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Faida za kula tikiti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti

Soma Zaidi...
Nini maana ya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya protini

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa vidonda vya tumbo, na vyakula salama kwa vidonda vya tumbo

Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Soma Zaidi...
Faida za majani ya mstafeli

Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.

Soma Zaidi...
Faida za tangawizi

Somo Hili linakwenda kukuletea faida za tangawizi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa aji ya moto wakati wa asubuhi

Katika makala hii tutakwenda kujufunza faida za kiafya zinazopatuikana kwa kunywa maji yamoti wakati wa asubuhi

Soma Zaidi...
Aina 20 za Vitamini, kazi zake, vyanzo vyeke na madhara ya upungufu wake

Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.

Soma Zaidi...