picha

Faida za kula kachumbari

Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo.

Faida za matumizi ya kachumbari.

1. Usaidia kwenye mmeng'enyo wa chakula.

Kwa kawaida tunafahamu kwamba kama kuna matatizo kwenye mmeng'enyo wa chakula kwa kutumia kachumbari mara kwa mara kwa hiyo usaidia kurainisha chakula na kusababisha mmeng'enyo kuwa vizuri.

 

2. Usaidia katika kupunguza uzito.

Kwa kawaida watu wenye tatizo la kuongeza uzito mara kwa mara wakitumia kachumbari uzito upungua ila wanapaswa kuwa makini katika matumizi ya kachumbari wasiweke mafuta bali watumie jinsi ilivyo.

 

3. Upunguza kuvimbiwa au kuondoa gesi kwenye tumbo.

Kwa kawaida kazi ya kachumbari ni kuhakikisha kwamba kila kitu kinaenda vizuri mwilini kwa kuhakikisha kuwa gesi unaondolewa na kupunguza kuvimba kwa tumbo.

 

4. Kuongezeka kwa hamu ya kula.

Pia kachumbari usaidia katika kuongeza hamu ya kula kwa sababu watu ambao wana matatizo katika chakula wakipatiwa kachumbari Uweza kuwa na hamu ya kula.

 

5. Vile vile kachumbari usaidia katika shughuli za ku balence homoni za mwili, kwa sababu kwenye mwili kuna matatizo mbalimbali hasa kwa wanawake kwa hiyo katika matumizi ya kachumbari usababisha homoni kubwa kwenye hali nzuri na ya kawaida.

 

6. Pia kachumbari usaidia kuondoa uchovu wa mara kwa mara.

Kwa kawaida sababu ya majukumu mbalimbali ya kila siku usababisha kuwepo kwa uchovu wa mara kwa mara ila kwa sababu ya kutumia kachumbari usababisha kuondoa uchovu huo.

 

7. Kupata usingizi bora.

Kwa watu ambao wana matatizo ya kutopata usingizi ila kwa matumizi ya kachumbari wanaweza kupata usingizi mzuri na mzito kabisa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/08/04/Thursday - 10:05:39 pm Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 8453

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 web hosting    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Mafidodo (mafindofindo) au tonsils kweye koo je inaweza ikawa Ni moja kati ya dalil za ukimwi

Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.

Soma Zaidi...
Faida za kula Tangawizi

tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu

Soma Zaidi...
Aina za vyakula ambayo huongeza damu kwa wajawazito na watoto

Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto.

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA MADINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za kula ndizi

Somo hiki linakwenda kukueleza faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...
Kazi za madini ya zinki

Posti hii inahusu zaidi juu ya madini ya zinki na faida zake katika mwili wa binadamu,

Soma Zaidi...