picha

Vyakula hatari kwa mwenye kisukari

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari kwa mwenye kisukari

VYAKULA HATARI KWA MWENYE KISUKARI

1. Nafaka zilizokobolewa

2. Nafaka zilizoongezwa sukari

3. Mikate yenye sukari

4. Nafaka zisizo na kini

5. Mboga zenye chumvi nyingi

6. Mboga zilizoongezwa maziwa

7. Vinywaji vyote vya sukari usitumie mpaka kiwango chako cha sukari kiwe kipo katika udhibiti hata asali epukana nayo kwanza

8. Juisi zilizowekwa sukari ama zenye utamu kama za matunda

9. Vinywaji vya energy (energy drink)

10. Nyama ya kuoka

11. Nyama zenye mafuta mengi

12. Nyama ya ngurue

13. Maziwa fresh

14. Samaki wa kuoka

15. Soda

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1612

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 ai web app     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Upungufu wa vitamin C mwilini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.

Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti

Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili

Soma Zaidi...
Zijuwe kazi na faida za Vitamini C mwilini

Vitamini C ni moja kati ya vitamini muhimu sana katika kuboresha ufanyaji kazi wa mfumowa kinga mwilini yaani immune system. Katika post hii utakwenda kujifunza kazi za vitamini C mwilini

Soma Zaidi...
Zijuwe faida za kiafya za kula nanasi

Je umeshawahi kula nanasi kwa wingi.

Soma Zaidi...
Faida za muarobaini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za muarobaini

Soma Zaidi...