picha

Faida za kiafya za kula Korosho

Faida za kiafya za kula Korosho



Faida za kiafya za kula korosho

  1. husaidia kuimarisha afya ya misuli na mishipa ya neva (mishipa ya fahamu)
  2. Hupunguza hatari ya kupata kisukari
  3. Husaidia matibabu ya saratani
  4. Husaidia katika utengenezwaji wa seli hai nyekundu za damu
  5. Huimarisha mfumo wa kinga
  6. Husaidia katika kuimarisha afya ya kinywa (meno ) na mifupa
  7. Hupunguza athari za maradhi ya anaemia yaani upungufu wa hewa ya oksijeni mwilini
  8. Hupunguza hatari ya kutengenezwa vijiwe kwenye kibofu


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1905

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Faida za kula Zaituni

Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo

Soma Zaidi...
Faida kula fenesi

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula fenesi

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin D

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D

Soma Zaidi...
Vyakula vilivyo hatari kwa afya ya meno

Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.

Soma Zaidi...