Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Faida za kunywa maziwa
1. husaidia kuboresha afya ya ngozi
2. Huimarisha afya ya kinywa na meno
3. Huboresha afya ya mifupa
4. Husaidia katika ukiuari imara wa misuli
5. ni kinywaji kizuri kwa kupunguza uzito
6. Hupunguza stress na misongo ya mawazo
7. Hupunguza maumivu ya chango la wakinamama
8. Huondosha kiungulia
9. Huboresha mfumo wa kinga
10. Hupunguza mashambulizi ya mara kwa mara ya vijidudu vya maradhi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi
Soma Zaidi...kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...