Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Faida za kunywa maziwa
1. husaidia kuboresha afya ya ngozi
2. Huimarisha afya ya kinywa na meno
3. Huboresha afya ya mifupa
4. Husaidia katika ukiuari imara wa misuli
5. ni kinywaji kizuri kwa kupunguza uzito
6. Hupunguza stress na misongo ya mawazo
7. Hupunguza maumivu ya chango la wakinamama
8. Huondosha kiungulia
9. Huboresha mfumo wa kinga
10. Hupunguza mashambulizi ya mara kwa mara ya vijidudu vya maradhi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai
Soma Zaidi...zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?
Soma Zaidi...Pera ni tunda bora lakini pia ni dawa, tambua umuhimu wa tunda hili kiafya
Soma Zaidi...