Faida za kiafya za kunywa maziwa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa

Faida za kunywa maziwa

1. husaidia kuboresha afya ya ngozi

2. Huimarisha afya ya kinywa na meno

3. Huboresha afya ya mifupa

4. Husaidia katika ukiuari imara wa misuli

5. ni kinywaji kizuri kwa kupunguza uzito

6. Hupunguza stress na misongo ya mawazo

7. Hupunguza maumivu ya chango la wakinamama

8. Huondosha kiungulia

9. Huboresha mfumo wa kinga

10. Hupunguza mashambulizi ya mara kwa mara ya vijidudu vya maradhi

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1508

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Uyoga (mushrooms)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga

Soma Zaidi...
Faida za kula uyoga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula ukwaju

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju

Soma Zaidi...
Tango (cucumber)

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula tango

Soma Zaidi...
Nanasi (pineapple)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula nanasi

Soma Zaidi...
Vyakula vizuri kwa vidonda vya tumbo

Hii ni orodha ya vyakula salama na vizuri kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Vyakula vya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini

Soma Zaidi...