picha

Vyakula vya vitamin K

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K

VYAKULA VYA VITAMINI K

1. Nyama

2. Mayai

3. Siagi

4. Maziwa

5. Mchicha

6. Kabichi

7. Spinachi

8. Kisamvu

9. Mapalachichi

10. Zabibu

11. Matunda mengine

12. Mboga nyingine za kijani

 

Faida na kazi za vitamini K mwilini

1. Husaidia katika kuganda kwa damu

2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo

3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini

4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa

5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo

Upungufu wa damu, dalili zake na vyakula vya kuongeza damu

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021-10-27 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2236

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 web hosting    👉5 ai web app    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula samaki

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki

Soma Zaidi...
Faida za kula Tufaha (epo)

Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?

Soma Zaidi...
Nazi (coconut oil)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Vyakula vya fati

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kisamvu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu

Soma Zaidi...
Faida za kula Zabibu (grape)

faida za kula tunda zabibu kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Vitamini C Ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C

Soma Zaidi...