Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
VYAKULA VYA VITAMINI K
1. Nyama
2. Mayai
3. Siagi
4. Maziwa
5. Mchicha
6. Kabichi
7. Spinachi
8. Kisamvu
9. Mapalachichi
10. Zabibu
11. Matunda mengine
12. Mboga nyingine za kijani
Faida na kazi za vitamini K mwilini
1. Husaidia katika kuganda kwa damu
2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo
3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini
4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo
Upungufu wa damu, dalili zake na vyakula vya kuongeza damu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy
Soma Zaidi...