Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
VYAKULA VYA VITAMINI K
1. Nyama
2. Mayai
3. Siagi
4. Maziwa
5. Mchicha
6. Kabichi
7. Spinachi
8. Kisamvu
9. Mapalachichi
10. Zabibu
11. Matunda mengine
12. Mboga nyingine za kijani
Faida na kazi za vitamini K mwilini
1. Husaidia katika kuganda kwa damu
2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo
3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini
4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo
Upungufu wa damu, dalili zake na vyakula vya kuongeza damu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai
Soma Zaidi...Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao
Soma Zaidi...