VYAKULA VYA VITAMIN K


image


Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K


VYAKULA VYA VITAMINI K

1. Nyama

2. Mayai

3. Siagi

4. Maziwa

5. Mchicha

6. Kabichi

7. Spinachi

8. Kisamvu

9. Mapalachichi

10. Zabibu

11. Matunda mengine

12. Mboga nyingine za kijani

 

Faida na kazi za vitamini K mwilini

1. Husaidia katika kuganda kwa damu

2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo

3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini

4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa

5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo

Upungufu wa damu, dalili zake na vyakula vya kuongeza damu



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    3 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    4 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya html kwa kiswahili    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Vyakula muhimu kwa afya ya uzazi wa mwanaume
Vyakula vya kuongeza Nguvu za kiume Soma Zaidi...

image Vyakula vya vitamin A
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A Soma Zaidi...

image Vyakula vya vitamin B
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamin B Soma Zaidi...

image Vijuwe vyakula vya madini na kazi za madini mwilini
Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini Soma Zaidi...

image Faida za kitunguu thaumu
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kitunguu thaumu Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu vitamini K na kazi zake mwilini
vitamini k ni moja katika vitamini vinavyoitajika sana mwilini. Je unazijuwa athari za upungufu wa vitamini k mwilini? Soma Zaidi...

image Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi Soma Zaidi...

image Virutubisho vya mwili
Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu. Soma Zaidi...

image Faida za kitunguu thaumu mwilini
Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako. Soma Zaidi...

image Vyakula vya vitamin B
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B Soma Zaidi...