Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
VYAKULA VYA VITAMINI K
1. Nyama
2. Mayai
3. Siagi
4. Maziwa
5. Mchicha
6. Kabichi
7. Spinachi
8. Kisamvu
9. Mapalachichi
10. Zabibu
11. Matunda mengine
12. Mboga nyingine za kijani
Faida na kazi za vitamini K mwilini
1. Husaidia katika kuganda kwa damu
2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo
3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini
4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo
Upungufu wa damu, dalili zake na vyakula vya kuongeza damu
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive
Soma Zaidi...Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako.
Soma Zaidi...