Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
VYAKULA VYA VITAMINI K
1. Nyama
2. Mayai
3. Siagi
4. Maziwa
5. Mchicha
6. Kabichi
7. Spinachi
8. Kisamvu
9. Mapalachichi
10. Zabibu
11. Matunda mengine
12. Mboga nyingine za kijani
Faida na kazi za vitamini K mwilini
1. Husaidia katika kuganda kwa damu
2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo
3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini
4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo
Upungufu wa damu, dalili zake na vyakula vya kuongeza damu
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako.
Soma Zaidi...Mlo kamili ni mkusanyiko kuu wa vyakula mbalimba kwa pamoja huimarisha na kuujenga  mwili wa binadamu na wanyama kwa sababu vinaleta virutubishi vyote vinavyohitajika.  Mkusanyiko wa vyakula vinavyotengeneza mlo kamili Kuna majina ya vyakula
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini
Soma Zaidi...tangawizi ni katika viungio vya mboga vyenye faida, pia ni kinywaji, zijuwe leo faida za tangawizi
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukieleza kuhusu vyakula vya madini na kazi zake mwilini
Soma Zaidi...