Vyakula vya vitamin K

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K

VYAKULA VYA VITAMINI K

1. Nyama

2. Mayai

3. Siagi

4. Maziwa

5. Mchicha

6. Kabichi

7. Spinachi

8. Kisamvu

9. Mapalachichi

10. Zabibu

11. Matunda mengine

12. Mboga nyingine za kijani

 

Faida na kazi za vitamini K mwilini

1. Husaidia katika kuganda kwa damu

2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo

3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini

4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa

5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo

Upungufu wa damu, dalili zake na vyakula vya kuongeza damu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1691

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za peaz/ peas

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas

Soma Zaidi...
Vyakula vya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini

Soma Zaidi...
Faida za kula Embe

Embe ni katika matunda atamu na yenye faida kubwa kiafya, soma makala hii hadi mwisho

Soma Zaidi...
Faida za kula Zabibu (grape)

faida za kula tunda zabibu kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi

Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Vitamini C Ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA FATI, PROTINO NA WANGA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...