Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K
VYAKULA VYA VITAMINI K
1. Nyama
2. Mayai
3. Siagi
4. Maziwa
5. Mchicha
6. Kabichi
7. Spinachi
8. Kisamvu
9. Mapalachichi
10. Zabibu
11. Matunda mengine
12. Mboga nyingine za kijani
Faida na kazi za vitamini K mwilini
1. Husaidia katika kuganda kwa damu
2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo
3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini
4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa
5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo
Upungufu wa damu, dalili zake na vyakula vya kuongeza damu
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.
Soma Zaidi...Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.
Soma Zaidi...Umeshawahi kula karoti mbichi, ama ya kupikwa, je unazijuwa faida zake? soma makala hii
Soma Zaidi...Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maharage kwa wingi, maharage ni aina ya chakula ambacho upatikanaji wake ni rahisi na watu wengi hawajui kwa ulaji wa maharage una faida kubwa sana mwilini kwa hiyo tunapaswa kuangalia faida za maharage kama ifua
Soma Zaidi...