picha

Vyakula vya vitamin K

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K

VYAKULA VYA VITAMINI K

1. Nyama

2. Mayai

3. Siagi

4. Maziwa

5. Mchicha

6. Kabichi

7. Spinachi

8. Kisamvu

9. Mapalachichi

10. Zabibu

11. Matunda mengine

12. Mboga nyingine za kijani

 

Faida na kazi za vitamini K mwilini

1. Husaidia katika kuganda kwa damu

2. Husaidia katika kuboresha afya ya ubongo

3. Husaidia katika kuthibiti matumuzi ya madini ya calcium mwilini

4. Husaidia katika kulinda afya ya mifupa

5. Husaidia katika kuimarisha afya ya moyo

Upungufu wa damu, dalili zake na vyakula vya kuongeza damu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2357

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 ai web app     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Faida za kula Faida za kula Boga

Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako

Soma Zaidi...
Vinywaji salama kwa mwenye kisukari

Vijuwe vinywaji salama kwa mgonjwa wa kisukari

Soma Zaidi...
Faida za kula Tango

Matunda ya zamani na ya asili, zijuwe faida za kiafya za tango

Soma Zaidi...