picha

Faida za kiafya za kula Tende

Faida za kiafya za kula Tende

 

Faida za kiafya za kula tende

  1. tende zina virutubisho kama protini, fati, wanga, sukari, vitamini k, B na A. pia tende zina madini ya chuma, calcium, phosphorus, sodium, magnesium, sulfur na zinc
  2. Tende ni chakula kizuri kinachoweza kukupa nishati ya kutosha na kwa haraka sana
  3. Tende husaidia katika kuborsha na kuimarisha afya ya ubongo, na kutunza kumbukumba
  4. Tende husaidia katika kuondoa tatizo la kukosa choo
  5. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  6. Husaidia katika kupunguza tatizo la ugonjwa wa anaemia (upungufu wa oksijeni mwilini)
  7. Hulinda moyo dhidi ya maradhi
  8. Ni chakula kizuri kwa wasiopata hamu ya kushiriki tendo la ndoa
  9. Husaidia kuboresha afya ya macho hasa katika kusaidia kuona wakati wa usiku
  10. Husaidia katika kutibu tatizo la kuharisha
  11. Huboresha afya ya mifupa
  12. Hulinda mwili dhidi ya saratani
  13. Huongeza uzito

 


‹ Nyuma      › Endelea     ‹ Books         ‹ Apps ››

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2339

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 web hosting     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Sio salama kwa mtoto wa umri chini ya mwaka mmoja kupewa asali

Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Soma Zaidi...
darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...
Faida za embe

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula embe

Soma Zaidi...