Faida za kiafya za kula Tende

Faida za kiafya za kula Tende

 

Faida za kiafya za kula tende

  1. tende zina virutubisho kama protini, fati, wanga, sukari, vitamini k, B na A. pia tende zina madini ya chuma, calcium, phosphorus, sodium, magnesium, sulfur na zinc
  2. Tende ni chakula kizuri kinachoweza kukupa nishati ya kutosha na kwa haraka sana
  3. Tende husaidia katika kuborsha na kuimarisha afya ya ubongo, na kutunza kumbukumba
  4. Tende husaidia katika kuondoa tatizo la kukosa choo
  5. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  6. Husaidia katika kupunguza tatizo la ugonjwa wa anaemia (upungufu wa oksijeni mwilini)
  7. Hulinda moyo dhidi ya maradhi
  8. Ni chakula kizuri kwa wasiopata hamu ya kushiriki tendo la ndoa
  9. Husaidia kuboresha afya ya macho hasa katika kusaidia kuona wakati wa usiku
  10. Husaidia katika kutibu tatizo la kuharisha
  11. Huboresha afya ya mifupa
  12. Hulinda mwili dhidi ya saratani
  13. Huongeza uzito

 


‹ Nyuma      › Endelea     ‹ Books         ‹ Apps ››

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1019

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Faida za kula uyoga

Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya

Soma Zaidi...
Faida za ubuyu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu

Soma Zaidi...
Faida za kula karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula karoti

Soma Zaidi...
Fahamu vitamini A na kazi zake, vyakula vya vitamini A na athari za upungufu wake

Vitamini A ni katika vitamini fat soluble vitamin akama vile retinol, retinal, retinoic acid na beta-carotene.

Soma Zaidi...
Lishe salama kwa mjamzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito

Soma Zaidi...
JITIBU KWA TANGAIZI: faida za kiafya za tangaizi

Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.

Soma Zaidi...
Faida za kula Chungwa

Je unazijuwa faida za kula chungwa kiafya? soma makala hii hadi mwisho

Soma Zaidi...
Faida za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...