Faida za kiafya za kula Tende

Faida za kiafya za kula Tende

 

Faida za kiafya za kula tende

  1. tende zina virutubisho kama protini, fati, wanga, sukari, vitamini k, B na A. pia tende zina madini ya chuma, calcium, phosphorus, sodium, magnesium, sulfur na zinc
  2. Tende ni chakula kizuri kinachoweza kukupa nishati ya kutosha na kwa haraka sana
  3. Tende husaidia katika kuborsha na kuimarisha afya ya ubongo, na kutunza kumbukumba
  4. Tende husaidia katika kuondoa tatizo la kukosa choo
  5. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  6. Husaidia katika kupunguza tatizo la ugonjwa wa anaemia (upungufu wa oksijeni mwilini)
  7. Hulinda moyo dhidi ya maradhi
  8. Ni chakula kizuri kwa wasiopata hamu ya kushiriki tendo la ndoa
  9. Husaidia kuboresha afya ya macho hasa katika kusaidia kuona wakati wa usiku
  10. Husaidia katika kutibu tatizo la kuharisha
  11. Huboresha afya ya mifupa
  12. Hulinda mwili dhidi ya saratani
  13. Huongeza uzito

 


‹ Nyuma      › Endelea     ‹ Books         ‹ Apps ››

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1398

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Vyakula vya kuoambana na mafua

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuoambana na mafua

Soma Zaidi...
Namna ya kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba.

Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Fahamu vitamini C na kazi zake, vyakula vya vitamini C na athari za upungufu wake.

kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.

Soma Zaidi...
Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Soma Zaidi...
Nini maana ya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya protini

Soma Zaidi...
Ndizi (banana)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...
Madhara ya mafuta mengi mwilimi

Post hii itakufundisha madhara ya kuwa na mafuta mengi mwilimi

Soma Zaidi...