picha

Faida za kula stafeli/soursop

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop

 

faida za kiafya za stafeli (soursop)

1. stafeli lina virutubisho kama vitamini A na C. pia lina protini, na madini ya potassium na magnessium.

2. Husaidia katika kulinda miili yetu dhidi ya kemikali ndani ya mwili

3. Husaidia katika kuuwa seli za saratani

4. Husaidia mwili katika kupambana na bakteria

5. Husaidia mwili dhidi ya kupata vimbe na mashambulizi ya mara kwa mara

6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari mwilini

7. Husaidia kwa wenye kisukari

?

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2601

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Vyakula vyenye madini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye madini kwa wingi

Soma Zaidi...
Faida za kula uyoga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga

Soma Zaidi...