Navigation Menu



Faida za kula stafeli/soursop

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop

 

faida za kiafya za stafeli (soursop)

1. stafeli lina virutubisho kama vitamini A na C. pia lina protini, na madini ya potassium na magnessium.

2. Husaidia katika kulinda miili yetu dhidi ya kemikali ndani ya mwili

3. Husaidia katika kuuwa seli za saratani

4. Husaidia mwili katika kupambana na bakteria

5. Husaidia mwili dhidi ya kupata vimbe na mashambulizi ya mara kwa mara

6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari mwilini

7. Husaidia kwa wenye kisukari

?

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1780


Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za kunywa maziwa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa Soma Zaidi...

Je miwa ina madhara yoyote?
Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote? Soma Zaidi...

Faida za limao au ndimu
Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya Soma Zaidi...

Faida za limao au ndimu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndimu au limao Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula ubuyu
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za Asali
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula maboga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Tikiti
Soma Zaidi...

Faida za kula nanasi
Somo hili linakwenda kukuletea za kula nanasi na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...

VYAKULA VYA PROTINI, FATI NA MAFUTA
Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili Soma Zaidi...