Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop
faida za kiafya za stafeli (soursop)
1. stafeli lina virutubisho kama vitamini A na C. pia lina protini, na madini ya potassium na magnessium.
2. Husaidia katika kulinda miili yetu dhidi ya kemikali ndani ya mwili
3. Husaidia katika kuuwa seli za saratani
4. Husaidia mwili katika kupambana na bakteria
5. Husaidia mwili dhidi ya kupata vimbe na mashambulizi ya mara kwa mara
6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari mwilini
7. Husaidia kwa wenye kisukari
?
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Embe ni katika matunda atamu na yenye faida kubwa kiafya, soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C
Soma Zaidi...