Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop
faida za kiafya za stafeli (soursop)
1. stafeli lina virutubisho kama vitamini A na C. pia lina protini, na madini ya potassium na magnessium.
2. Husaidia katika kulinda miili yetu dhidi ya kemikali ndani ya mwili
3. Husaidia katika kuuwa seli za saratani
4. Husaidia mwili katika kupambana na bakteria
5. Husaidia mwili dhidi ya kupata vimbe na mashambulizi ya mara kwa mara
6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari mwilini
7. Husaidia kwa wenye kisukari
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.
Soma Zaidi...Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.
Soma Zaidi...