Faida za kula stafeli/soursop
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafel/soursop
faida za kiafya za stafeli (soursop)
1. stafeli lina virutubisho kama vitamini A na C. pia lina protini, na madini ya potassium na magnessium.
2. Husaidia katika kulinda miili yetu dhidi ya kemikali ndani ya mwili
3. Husaidia katika kuuwa seli za saratani
4. Husaidia mwili katika kupambana na bakteria
5. Husaidia mwili dhidi ya kupata vimbe na mashambulizi ya mara kwa mara
6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari mwilini
7. Husaidia kwa wenye kisukari
?
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Kitabu cha Afya 02
Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.
Soma Zaidi...Faida za vitamin C mwilini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Je ulaji wa boga unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?
Soma Zaidi...Vyakula vya kupunguza presha ya kupanda
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula ambavyo vinaweza kupunguza presha ya kupanda
Soma Zaidi...