picha

Faida za kiafya za kula ubuyu

Faida za kiafya za kula ubuyu



faida za kiafya za ubuyu

  1. ubuyu una virutubisho kama  vitamini C na B, pia ubuyu una madini ya calcium, chuma, potassium na magnesium. Pia ubuyu una protini na fati
  2. Husaidia katika kupunguza uzito
  3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
  4. Hupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya saratani na kisukari
  5. Husaidia mwili kupambana na mashambulizi ya mara kwa mara
  6. Huborsha mfumo wa mmeng’enyo wa chakual
  7. Husaidia mwili kujilinda dhidi ya maradhi ya moyo
  8. Hulinda utumbo na tumbo dhidi ya vidonda vya tumbo.

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 1462

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 web hosting    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Vyakula vya kuongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha

Post hii itakwenda kukufundisha vyakula ambavyo ni vizuri kwa mwanamke anayenyonyesha ili kumsaidia kupata maziwa kwa wingi.

Soma Zaidi...
Faida za karoti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
JITIBU KWA TANGAIZI: faida za kiafya za tangaizi

Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.

Soma Zaidi...
KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin D

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D

Soma Zaidi...
Faida za kula kachumbari

Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo.

Soma Zaidi...
Faida za kula Karoti

Umeshawahi kula karoti mbichi, ama ya kupikwa, je unazijuwa faida zake? soma makala hii

Soma Zaidi...
Faida za kula tango

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango

Soma Zaidi...
Faida za kula apple (tufaha)

Posti hii itakwende kukueleza kuhusu faida za kula apple na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...