Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy
Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.
1. Uondoa sumu mwilini.
Kwa kunywa maji sumu nyingi mwilini zinaweza kuondolewa kwa urahisi na maisha yanaendelea.
2. Uboresha metabolic.
Kwa kawaida aina ya vyakula ili kufanya kazi vizuri mwilini usaidiwa na maji ambayo usafilisha vyakula hivi kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa urahisi.
3. Kupunguza uzito.
Kwa kawaida unywaji wa maji usaidia kupunguza uzito kwa kiasi kikubwa kwa asilimia kubwa watu wanaokumywa maji kwa wingi usababisha uzito kupungua.
4. Maji usaidia kupunguza kiungulia na matatizo mengine ya umengenywaji wa vyakula.
5. Uimarisha ngozi.
Kwa kawaida watu wale wanaokumywa maji kabla ya kula chochote ngozi zao uwa ni raini sana na zinakuwa zimeimarika.
6. Uzuia kuwepo kwa mawe kwenye figo.
Kuwepo kwa mawe kwenye figo Usababishwa na kutokunywa maji kwa hiyo kwa wanywaji wa maji kabla ya kunywa au kula chochote wana kiasi kikubwa cha kupata Ugonjwa wa Mawe kwenye kibofu.
7. Maji uongeza kinga ya mwili.
Kwa kunywa maji kwa wingi kinga ya mwili uweza kuongezeka na mwili hauwezi kupata magonjwa kwa urahisi.
8. Kwa hiyo tunapaswa kunywa maji kwa wingi hasa kabla ya kula au kunywa chochote kwa sababu yana faida nyingi sana mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linalenga kukujuza juu ya umuhimu wa tikiti kwenye afya ya mwili
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...