Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy
Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.
1. Uondoa sumu mwilini.
Kwa kunywa maji sumu nyingi mwilini zinaweza kuondolewa kwa urahisi na maisha yanaendelea.
2. Uboresha metabolic.
Kwa kawaida aina ya vyakula ili kufanya kazi vizuri mwilini usaidiwa na maji ambayo usafilisha vyakula hivi kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa urahisi.
3. Kupunguza uzito.
Kwa kawaida unywaji wa maji usaidia kupunguza uzito kwa kiasi kikubwa kwa asilimia kubwa watu wanaokumywa maji kwa wingi usababisha uzito kupungua.
4. Maji usaidia kupunguza kiungulia na matatizo mengine ya umengenywaji wa vyakula.
5. Uimarisha ngozi.
Kwa kawaida watu wale wanaokumywa maji kabla ya kula chochote ngozi zao uwa ni raini sana na zinakuwa zimeimarika.
6. Uzuia kuwepo kwa mawe kwenye figo.
Kuwepo kwa mawe kwenye figo Usababishwa na kutokunywa maji kwa hiyo kwa wanywaji wa maji kabla ya kunywa au kula chochote wana kiasi kikubwa cha kupata Ugonjwa wa Mawe kwenye kibofu.
7. Maji uongeza kinga ya mwili.
Kwa kunywa maji kwa wingi kinga ya mwili uweza kuongezeka na mwili hauwezi kupata magonjwa kwa urahisi.
8. Kwa hiyo tunapaswa kunywa maji kwa wingi hasa kabla ya kula au kunywa chochote kwa sababu yana faida nyingi sana mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji
Soma Zaidi...Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.
Soma Zaidi...Tatizo la nguvu za kiume linawwza kuzuiliwa ama kupunguzwa kwa kutumia muunganimo wa njiankadhaa kama kubaduki vyakula, kutumia dawa, kupata ushauri kwa wataalamu wa afya ya mahusiano ama kufanya nazoezi. Je na wewe unasumbuliwa na tatizo hili? Makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Soma Zaidi...