Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy
Faida za kunywa maji kabla ya kula chochote.
1. Uondoa sumu mwilini.
Kwa kunywa maji sumu nyingi mwilini zinaweza kuondolewa kwa urahisi na maisha yanaendelea.
2. Uboresha metabolic.
Kwa kawaida aina ya vyakula ili kufanya kazi vizuri mwilini usaidiwa na maji ambayo usafilisha vyakula hivi kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa urahisi.
3. Kupunguza uzito.
Kwa kawaida unywaji wa maji usaidia kupunguza uzito kwa kiasi kikubwa kwa asilimia kubwa watu wanaokumywa maji kwa wingi usababisha uzito kupungua.
4. Maji usaidia kupunguza kiungulia na matatizo mengine ya umengenywaji wa vyakula.
5. Uimarisha ngozi.
Kwa kawaida watu wale wanaokumywa maji kabla ya kula chochote ngozi zao uwa ni raini sana na zinakuwa zimeimarika.
6. Uzuia kuwepo kwa mawe kwenye figo.
Kuwepo kwa mawe kwenye figo Usababishwa na kutokunywa maji kwa hiyo kwa wanywaji wa maji kabla ya kunywa au kula chochote wana kiasi kikubwa cha kupata Ugonjwa wa Mawe kwenye kibofu.
7. Maji uongeza kinga ya mwili.
Kwa kunywa maji kwa wingi kinga ya mwili uweza kuongezeka na mwili hauwezi kupata magonjwa kwa urahisi.
8. Kwa hiyo tunapaswa kunywa maji kwa wingi hasa kabla ya kula au kunywa chochote kwa sababu yana faida nyingi sana mwilini.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu orodha ya madini chanzo chake na faida zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.
Soma Zaidi...