Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito.
Swali:
👉Mwanamke wangu kapima juzi Hana mimba lakini anatema mate ovyo ? Toka nionane nae SASA ni wiki je hii ni Dalili ya uwepo WA mimba ?
👉Alafu pia analalamika tumbo linauma juu ya kitovu ? Vipi bado inaweza ikawa ni mimba ? Au nimpeleke akatibiwe ?
👉Hedhi yake Bado japo juzi alianza kutokwa vipele Kama Dalili yake ya hedhi ila baadae vimepotea
Jibu:
âœï¸Kutema mate pekee sio dalili ya ujauzito, kwanza fanya vipimo. Pekee baada ya vipimo ndipo utathibitisha uwepo wa mimba.
âœï¸Mabadiliko ya homoni, maradhi ya PID na shida za kwenye kizazi yanawwza kuwa sababu za maumivy ya tumbo, kutema mate na zaidi.
âœï¸Fika kituo cha afya kuoata vipimo na matibabu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.
Soma Zaidi...dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.
Soma Zaidi...Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa.
Soma Zaidi...