Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini
Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu.
VIRUTUBISHO VYA WANGA
Wanga ni moja kati ta virutubisho vikuu vitatu, vingine ni fat na protini. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nishati ama nguvu. Wanga ni katika sukari ambazo zinapatikana kwenye vyakula na ndani ya miili yetu. Tunaweza kupata virutubisho hivi kwenye vyakula na mimea.
Kazi za wanga
1.Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nguvu yaani nishati
2.Husaidia katika kuvunjavunja fati mwilini
3.Hupunguza matumizi ya protini kwa ajili ya kuzalisha nishati
4.Hutumika katika kutengenezea bidhaa na madawa
YAKULA VYA WANGA
1.Mahindi
2.Mtama
3.Mihogo
4.Viazi
5.Ngano
6.Mikate
7.Mtama
8.Mchele
9.Keki
10.Krosho
11.Karanga
12.Ndizi
13.Nyama
14.Mayai
15.Maziwa
Upungufu wa wanga
Endapo virutubisho vya wanga vitapungua mwilini athari zitakazotokea ni:-
1.kukosa nguvu ya kutosha
2.Kuwa dhaifu
3.Mwili utashindwa kufany akzi vyema
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 web hosting 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Njia za kushusha presha
Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.
Soma Zaidi...Zijue faida za mate mdomoni
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa mate mdomoni, mate ni majimaji ambayo hukaa mdomoni na husaidia katika kazi mbalimbali mdomoni.
Soma Zaidi...Mbinu za kuondoa sumu mwilini.
Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu vitamini C na kazi zake
Makala hii itakujulisha kazi kuu za vitamini C mwilini. Hapa pia utatambuwa ni kwa nini tunahitaji vitamini C na wapi tutavipata
Soma Zaidi...Namna ya kuzuia ugonjwa wa kipindupindu,
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria kwa kitaalamu huitwa vibrio cholera.
Soma Zaidi...