Sababu za kuongezeka uzito wa wajawazito.

Sababu za kuongezeka uzito wa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua.

Download Post hii hapa

Sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito.

1.Tunajua wazi kuwa kadri Mimba inavyoendelea kukua na uzito wa Mama uongezeka kuna vitu au mambo yanayofanya vitu hivyo viweze kuongeza kwa Mama kwa sababu ili kuongezeka uzito tunapaswa kujua wazi ni kitu gani kinachofanya uzito kuongezeka.

 

2.Katika wiki za mwanzo yaani wiki ishirini mama uongeza uzito wa kilo tatu na nukta tano (3.5)kg na kwenye wiki nyingine za mwisho pia Mama uongeza  kilo tisa kwa ujumla kilo ambazo uongezeka kwa Mama ni kilo kumi na mbili na nukta tano kwa hiyo Mama akijifungua kilo hizi upungua.

 

3.Mambo yanayoongeza Uzito ni pamoja na matiti uongezeka kilo sufuri nukta nne Adipose tishu uongezeka kilo mbili na nukta tano, kondo la nyuma uongeza  sifuri nukta sita, mtoto mwenyewe uongeza kilo tatu na nukta mbili,Amniotic fluid uongeza kilo sifuri na nukta nane, mfuko wa uzazi uongeza kilo sifuri na nukta tisa, damu uongezeka kilo moja na nukta tano,  na maji maji mengine uongeza kilo mbili na nukta sita hizo zote ukizijumlsha zinakuletea kumi na mbili na nukta tano.

 

4.Kwa hiyo Mama akiwa na mimba anahitaji uangalizi wa karibu zaidi ili aweze kujifungua salama kwa sababu tunaona wazi mzigo alioubeba ni mkubwa mno na kwa hiyo mama akiwa na mimba anapaswa kuongeza uzito na sio kupunguza uzito kwa watakao punguza uzito wanapaswa kuwekwa kwenye uangalizi wa karibu ili wapate maelezo kutoka kwa wataalamu wa afya

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2077

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Wanaopasawa kutumia PEP
Wanaopasawa kutumia PEP

PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.

Soma Zaidi...
Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.
Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Habar doctor mm nahc kuwa ni mjamzito tumbo la chin ya kitovu linaniuma muda mwingine linaacha chuchu zinawasha na cku niliyokutana na mume wangu ni cku 11
Habar doctor mm nahc kuwa ni mjamzito tumbo la chin ya kitovu linaniuma muda mwingine linaacha chuchu zinawasha na cku niliyokutana na mume wangu ni cku 11

Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Namna ya kumpima mtoto uzito
Namna ya kumpima mtoto uzito

Posti hii inahusu namna ya kumpima mtoto uzito, ni njia ambayo utumika kujua uzito wake na maendeleo ya mtoto.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba changa
Dalili za mimba changa

Zijuwe dalili 17 za mimba na mimba changa, kuanzia siku ya kwanza mpaka mwezi mmoja

Soma Zaidi...
 Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.
Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua.

Soma Zaidi...
Madhara ya mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa
Madhara ya mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtoto alizaliwa na uzito mkubwa.

Soma Zaidi...
 Fahamu Faida za Uzazi wa mpango
Fahamu Faida za Uzazi wa mpango

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.

Soma Zaidi...
Kujaa gesi tumboni
Kujaa gesi tumboni

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kujaa tmgesi tumbon

Soma Zaidi...
MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA
MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.

Soma Zaidi...