image

Sababu za kuongezeka uzito wa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua.

Sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito.

1.Tunajua wazi kuwa kadri Mimba inavyoendelea kukua na uzito wa Mama uongezeka kuna vitu au mambo yanayofanya vitu hivyo viweze kuongeza kwa Mama kwa sababu ili kuongezeka uzito tunapaswa kujua wazi ni kitu gani kinachofanya uzito kuongezeka.

 

2.Katika wiki za mwanzo yaani wiki ishirini mama uongeza uzito wa kilo tatu na nukta tano (3.5)kg na kwenye wiki nyingine za mwisho pia Mama uongeza  kilo tisa kwa ujumla kilo ambazo uongezeka kwa Mama ni kilo kumi na mbili na nukta tano kwa hiyo Mama akijifungua kilo hizi upungua.

 

3.Mambo yanayoongeza Uzito ni pamoja na matiti uongezeka kilo sufuri nukta nne Adipose tishu uongezeka kilo mbili na nukta tano, kondo la nyuma uongeza  sifuri nukta sita, mtoto mwenyewe uongeza kilo tatu na nukta mbili,Amniotic fluid uongeza kilo sifuri na nukta nane, mfuko wa uzazi uongeza kilo sifuri na nukta tisa, damu uongezeka kilo moja na nukta tano,  na maji maji mengine uongeza kilo mbili na nukta sita hizo zote ukizijumlsha zinakuletea kumi na mbili na nukta tano.

 

4.Kwa hiyo Mama akiwa na mimba anahitaji uangalizi wa karibu zaidi ili aweze kujifungua salama kwa sababu tunaona wazi mzigo alioubeba ni mkubwa mno na kwa hiyo mama akiwa na mimba anapaswa kuongeza uzito na sio kupunguza uzito kwa watakao punguza uzito wanapaswa kuwekwa kwenye uangalizi wa karibu ili wapate maelezo kutoka kwa wataalamu wa afya





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1332


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Dalili za mimba changa
Zijuwe dalili 17 za mimba na mimba changa, kuanzia siku ya kwanza mpaka mwezi mmoja Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa
Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye Soma Zaidi...

Siku za hatari, siku za kubeba mimba
Hizi ni siku hatari kwa mwanamke ambazo ni ahisi kwake kubeba mimba, siku nitakueleza ni zipi na ni zipi sifa zake Soma Zaidi...

Nahis dalil nna mimba ila nikipim sina
Habari. Soma Zaidi...

Sababu za kutokea kwa saratani ya matiti
Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti Soma Zaidi...

Dalili za kifafa cha mimba.
Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa. Soma Zaidi...

Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume
Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao Soma Zaidi...

Changamoto za ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu Soma Zaidi...

Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza Soma Zaidi...

TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO
KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito. Soma Zaidi...

Dalili za mimba ya watoto mapacha
Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli. Soma Zaidi...