picha

Sababu za kuongezeka uzito wa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua.

Sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito.

1.Tunajua wazi kuwa kadri Mimba inavyoendelea kukua na uzito wa Mama uongezeka kuna vitu au mambo yanayofanya vitu hivyo viweze kuongeza kwa Mama kwa sababu ili kuongezeka uzito tunapaswa kujua wazi ni kitu gani kinachofanya uzito kuongezeka.

 

2.Katika wiki za mwanzo yaani wiki ishirini mama uongeza uzito wa kilo tatu na nukta tano (3.5)kg na kwenye wiki nyingine za mwisho pia Mama uongeza  kilo tisa kwa ujumla kilo ambazo uongezeka kwa Mama ni kilo kumi na mbili na nukta tano kwa hiyo Mama akijifungua kilo hizi upungua.

 

3.Mambo yanayoongeza Uzito ni pamoja na matiti uongezeka kilo sufuri nukta nne Adipose tishu uongezeka kilo mbili na nukta tano, kondo la nyuma uongeza  sifuri nukta sita, mtoto mwenyewe uongeza kilo tatu na nukta mbili,Amniotic fluid uongeza kilo sifuri na nukta nane, mfuko wa uzazi uongeza kilo sifuri na nukta tisa, damu uongezeka kilo moja na nukta tano,  na maji maji mengine uongeza kilo mbili na nukta sita hizo zote ukizijumlsha zinakuletea kumi na mbili na nukta tano.

 

4.Kwa hiyo Mama akiwa na mimba anahitaji uangalizi wa karibu zaidi ili aweze kujifungua salama kwa sababu tunaona wazi mzigo alioubeba ni mkubwa mno na kwa hiyo mama akiwa na mimba anapaswa kuongeza uzito na sio kupunguza uzito kwa watakao punguza uzito wanapaswa kuwekwa kwenye uangalizi wa karibu ili wapate maelezo kutoka kwa wataalamu wa afya

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 3625

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰4 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Fahamu siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.

Soma Zaidi...
Hatari ya kutokwa na damu wakati wa ujauzito

Posti hii inahusu zaidi hatari za kutokwa na damu wakati wa ujauzito, hali hii utokea wakati wa ujauzito ambapo Kuna baadhi ya wajawazito utokwa na damu jambo ambalo hatupaswi kutarajia kwa sababu tunafahamu kabisa mama akishapata ujauzito na damu zinakom

Soma Zaidi...
Mambo ambayo mama anapaswa kujua akiwa mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito.

Soma Zaidi...
tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba

Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?

Soma Zaidi...
Utaratibu wa kushiriki tendo la ndoa kwa wajawazito

Jifunze muda ambao mjamzito hatatkiwa kishiriki tendo la ndoa. je kuna madhara kwa mjamzito kushiriki tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Mimi nilipima na kipimo mwenyewe nkakuta mistari miwili iliokoza lkn nikifanya tendo nakua naumia sana tatizo ni Nini docta

Je anapatwa maumivu 😭 makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho

Soma Zaidi...