Sababu za kuongezeka uzito wa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua.

Sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito.

1.Tunajua wazi kuwa kadri Mimba inavyoendelea kukua na uzito wa Mama uongezeka kuna vitu au mambo yanayofanya vitu hivyo viweze kuongeza kwa Mama kwa sababu ili kuongezeka uzito tunapaswa kujua wazi ni kitu gani kinachofanya uzito kuongezeka.

 

2.Katika wiki za mwanzo yaani wiki ishirini mama uongeza uzito wa kilo tatu na nukta tano (3.5)kg na kwenye wiki nyingine za mwisho pia Mama uongeza  kilo tisa kwa ujumla kilo ambazo uongezeka kwa Mama ni kilo kumi na mbili na nukta tano kwa hiyo Mama akijifungua kilo hizi upungua.

 

3.Mambo yanayoongeza Uzito ni pamoja na matiti uongezeka kilo sufuri nukta nne Adipose tishu uongezeka kilo mbili na nukta tano, kondo la nyuma uongeza  sifuri nukta sita, mtoto mwenyewe uongeza kilo tatu na nukta mbili,Amniotic fluid uongeza kilo sifuri na nukta nane, mfuko wa uzazi uongeza kilo sifuri na nukta tisa, damu uongezeka kilo moja na nukta tano,  na maji maji mengine uongeza kilo mbili na nukta sita hizo zote ukizijumlsha zinakuletea kumi na mbili na nukta tano.

 

4.Kwa hiyo Mama akiwa na mimba anahitaji uangalizi wa karibu zaidi ili aweze kujifungua salama kwa sababu tunaona wazi mzigo alioubeba ni mkubwa mno na kwa hiyo mama akiwa na mimba anapaswa kuongeza uzito na sio kupunguza uzito kwa watakao punguza uzito wanapaswa kuwekwa kwenye uangalizi wa karibu ili wapate maelezo kutoka kwa wataalamu wa afya

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2175

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Mimi naumwa na tumbo chini ya kitovu upande wa kulia, ninapotok kushiriki tendo la ndoa ndonapata maumivu zaid pia nawashwa sehemu za siri itakuwa shida ni nin?

Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano

Soma Zaidi...
Niharisha siku ya pili baada ya tendo. Jana hadi leo sijapata choo inawezakua nimeshika ujauzito?

Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?

Soma Zaidi...
mim ninaujauzito wa mwezi mmoja lakini naona kama hali fulani ya damu inanitoka sehemu ya Siri inafanana na damu ya wakati wa period

Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone

Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.

Soma Zaidi...
Upungufu wa homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Fahamu Mambo ya hatari yanayosababisha kuzaliwa kabla ya wakati (premature)

Kuzaliwa kabla ya wakati humpa mtoto muda mdogo wa kukua tumboni. Watoto waliozaliwa kabla ya wakati, hasa wale waliozaliwa mapema, mara nyingi huwa na matatizo magumu ya matibabu.

Soma Zaidi...
Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.

Soma Zaidi...