Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.
Mabadiliko ya via vya uzazi kwa wajawazito.
1.Kwanza kabisa Mama akibeba mimba kuna mabadiliko kwenye via vya uzazi kuanzia kwenye uke, mlango wa kizazi, mfumo wa uzazi na kiwango cha kawaida cha damu ubadilika kadri ya ufanyaji wa kazi.
2.Mama anapobeba mimba , kwenye mlango wa kizazi ufunga ili kuzuia maambukizi au kitu chochote kupitia kwenye uke kuja kuingilia kiumbe kilicho kwenye tumbo la uzazi.
3.Tumbo la uzazi ubadilisha na kuongezeka ukubwa hali hiyo utokea kwa sababu ya kuongezeka kwa kimo cha mtoto kadri anavyokua kwa hiyo kadri ya wiki zinaongezeka na tumbo uongezeka hiyo hivyo.
4.Kiwango cha kusafiri kwa damu nacho uongezeka kwa sababu damu inatumika sana kwa Mama na kwa mtoto vile vile na damu utumika sana kwa hiyo mama akiwa mjamzito utumia dawa za kuongeza damu kila mwezi .
5. Na kwenye uke wa Mama uongezeka size na pia huwa kuna maji maji ya kwenye uke nayo uongezeka na pia Mama akikaribia kujifungua na sehemu mbalimbali ambazo mtoto utaka kupitia uanza kulegea ili mtoto aweze kupita.
6.Kwa hiyo akina Mama wakiona dalili kama hizi au mamadiliko kama haya wanapaswa kuona ni kawaida ni kwa sababu ya mimba ndizo uleta mabadiliko mbalimbali na wakijifungua maisha huwa kama kawaida.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuangalia kama mtoto anapumua pindi anapozaliwa,tunajua kabisa ili kujua na kuelewa kama mtoto yuko hai ni lazima kuangalia upumuaji wa mtoto,ambapo tunaitambua pale anapolia tu.
Soma Zaidi...posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtot
Soma Zaidi...Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.
Soma Zaidi...Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa h
Soma Zaidi...