Mabadiliko ya via vya uzazi kwa Mama mjamzito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.

Mabadiliko ya via vya uzazi kwa wajawazito.

1.Kwanza kabisa Mama akibeba mimba kuna mabadiliko kwenye via vya uzazi kuanzia kwenye uke, mlango wa kizazi, mfumo wa uzazi na kiwango cha kawaida cha damu ubadilika kadri ya ufanyaji wa kazi.

 

2.Mama anapobeba mimba , kwenye mlango wa kizazi ufunga ili kuzuia maambukizi au kitu chochote kupitia kwenye uke kuja kuingilia kiumbe kilicho kwenye tumbo la uzazi.

 

3.Tumbo la uzazi ubadilisha na kuongezeka ukubwa hali hiyo utokea kwa sababu ya kuongezeka kwa kimo cha mtoto kadri anavyokua kwa hiyo kadri ya wiki zinaongezeka na tumbo uongezeka hiyo hivyo.

 

4.Kiwango cha kusafiri kwa damu nacho uongezeka kwa sababu damu inatumika sana kwa Mama na kwa mtoto vile vile na damu utumika sana kwa hiyo mama akiwa mjamzito utumia dawa za kuongeza damu kila mwezi .

 

5. Na  kwenye uke wa Mama uongezeka size na pia huwa kuna maji maji ya kwenye uke nayo uongezeka na pia Mama akikaribia kujifungua na sehemu mbalimbali ambazo mtoto utaka kupitia uanza kulegea ili mtoto aweze kupita. 

 

6.Kwa hiyo akina Mama wakiona dalili kama hizi au mamadiliko kama haya wanapaswa kuona ni kawaida ni kwa sababu ya mimba ndizo uleta mabadiliko mbalimbali na wakijifungua maisha huwa kama kawaida.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2363

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰3 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰4 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Kupima ujauzito kwa kutumia chumvi, sukari na sabuni

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupima mimba kwa kutumia chumvi sukari na sabuni

Soma Zaidi...
Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.

Soma Zaidi...
mambo ambayo utaulizwa mama mjamzito ukifika kituo cha afya unatakiwa utoe majibu sahihi.

Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo muhimu na ya lazima yanayopaswa kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kuona maendeleo yake kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone

Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif

Soma Zaidi...
Je chuchu zikiwa nyeusi Nini kinasababisha,, kando ya kuwa mjamzito? Na Kama sio mjamzito sababu ya chuchu kua nyeusi ni nini

Chuchu kubadilika range ni mojavkatika mabadiliko ambayo huwapa shoka wengi katika wasichana. Lucinda nikwambie tu kuwa katika hali ya kawaida hilo sio tatizo kiafya.

Soma Zaidi...
Jinsi mimba inavyotungwa na namna ambavyo jinsia ya mtoto inavyotokea

Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeΒ  .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu.

Soma Zaidi...
Sababu za kutoona hedhi kwa wakati

Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa hedhi wakati mda wa kuona hedhi umefika ni tatizo linalowasumbua baadhi ya wasichana wachache katika jamii na hii ni kwa sababu zifuatazo.

Soma Zaidi...