Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula.
Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula chakula kwa wajawazito.
1.Wajawazito wengi huwa wanahisi kichefuchefu na kwa wakati mwingine kutapika hali hii utokea kwenye wakati wa kwanza wa mimba hali hii usababishwa na kubadilika kwa homoni zinazohusiana na uzazi.
2.Wakati mwingine Mama uhisi kiungulia wakati wa ujauzito hali hii nayo usababishwa na homoni kwa hiyo Mama anapaswa kutumia dawa za kupunguza kiungulia hali hiyo inaweza kuwepo kwa mda na baadae upotea.
3 . Kinyesi cha Mama kubwa kigumu.
Kwa kawaida wanawake wengi Upata tatizo.hili mar kwa mara kwa hiyo tunapaswa kuwapatia maji ya kunywa, matunda,na mboga za majani pamoja na vitu vingine ambavyo Usababisha kinyesi kuwa kilaini.
4.Pengine wajawazito utamani vyakula ambavyo huwa havina faida yoyote mwilini kama vile ulaji wa pemba, mkaa na mawe kwa sababu ya kuwepo kwa ujauzito mama utamani vitu vya aina hiyo lakini akijifungua hawezi tena kutamani vitu vya namna hiyo.
5.Kwa wanawake wengine wanakuwa na tabia ya kutema mate ovyo ovyo hii ni kwa sababu ya kuzalishwa na mate mengi mdomoni yanayosababishwa na homoni zinazohusika na mfumo wa uzazi kwa ujumla.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.
Soma Zaidi...Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeΒ .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia maendeleo ya mtoto akiwa tumboni mwa mama, zoezi hili ufanyika kila mwezi pale mama anapokuja kwenye mahudhurio kwa kufanya hivyo tunaweza kuja maendeleo ya mtoto kwa kila mwezi.
Soma Zaidi...Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maumivu wakati wa hedhi, haya ni maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi kwa wanawake walio wengi, wengine huwa hawayapati kabisa na wengine hutapata na kwa kiwango kikubwa kutegemea na matatizo mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote
Soma Zaidi...