Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula.

Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula chakula kwa wajawazito.

1.Wajawazito wengi huwa wanahisi kichefuchefu na kwa wakati mwingine kutapika hali hii utokea kwenye wakati wa kwanza wa mimba hali hii usababishwa na kubadilika kwa homoni zinazohusiana na uzazi.

 

2.Wakati mwingine Mama uhisi kiungulia wakati wa ujauzito hali hii nayo usababishwa na homoni kwa hiyo Mama anapaswa kutumia dawa za kupunguza kiungulia hali hiyo inaweza kuwepo kwa mda na baadae upotea.

 

3 . Kinyesi cha Mama kubwa kigumu.

Kwa kawaida wanawake wengi Upata tatizo.hili mar kwa mara kwa hiyo tunapaswa kuwapatia maji ya kunywa, matunda,na mboga za majani pamoja na vitu vingine ambavyo Usababisha kinyesi kuwa kilaini.

 

4.Pengine wajawazito utamani vyakula ambavyo huwa havina faida yoyote mwilini kama vile ulaji wa pemba, mkaa na mawe kwa sababu ya kuwepo kwa ujauzito mama utamani vitu vya aina hiyo lakini akijifungua hawezi tena kutamani vitu vya namna hiyo.

 

5.Kwa wanawake wengine wanakuwa na tabia ya kutema mate ovyo ovyo hii ni kwa sababu ya kuzalishwa na mate mengi mdomoni yanayosababishwa na homoni zinazohusika na mfumo wa uzazi kwa ujumla.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1182

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Mabaka yanayowasha chini ya matiti.

Posti hii inahusu zaidi mabaka yanayowasha chini ya matiti, ni ugonjwa ambao uwapata wanawake walio wengi na wengine hawajapata jibu Sababu zake ni zipi na pengine uchukua hatua za kutumia miti shamba wakidai juwa hospitalini nugonjwa huu hautibiwa, ila n

Soma Zaidi...
KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA MAPEMA: kumwaga mbegu mapema

Hii ni hali inayowapata sana wanaume huwa wanamaliza hamu ya tendo la ndoa mapema kabla ya mwenza kuridhika.

Soma Zaidi...
Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia Malaria kwa wajawazito

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia Malaria kwa wajawazito na watoto wao wakiwa bado tumboni, tunajuwa wazi kuwa wajawazito wakipata Malaria inaweza kupelekea mimba kutoka kwa hiyo ili kuzuia tatizo hili zifuatazo ni njia zilizowekwa ili kuz

Soma Zaidi...
Maandalizi ya mama mjamzito kwa ajili ya kujifungulia.

Postii inafundisha maandalizi ya mama kwa ajili ya kujifungulia hii Ni muhimu Sana kwa wale ambao hawajawahi kujingua Ni mara yao ya kwanza wanatakiwa kujua na kuelewa vifaa na mahitaji kujifungulia na kwa wale wanaohudhuria clinic huwa wanafundisha.

Soma Zaidi...
Hatari ya kutokwa na damu wakati wa ujauzito

Posti hii inahusu zaidi hatari za kutokwa na damu wakati wa ujauzito, hali hii utokea wakati wa ujauzito ambapo Kuna baadhi ya wajawazito utokwa na damu jambo ambalo hatupaswi kutarajia kwa sababu tunafahamu kabisa mama akishapata ujauzito na damu zinakom

Soma Zaidi...
Njia za kiasili zilizotumika zamani kqtika kupima ujauzito

Somo hili linakwenda kukuletea njia za asili walizotumia zamani katika kupima ujauzito

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuacha kupiga punyeto.

Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.

Soma Zaidi...