Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito.

Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula.

Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula chakula kwa wajawazito.

1.Wajawazito wengi huwa wanahisi kichefuchefu na kwa wakati mwingine kutapika hali hii utokea kwenye wakati wa kwanza wa mimba hali hii usababishwa na kubadilika kwa homoni zinazohusiana na uzazi.

 

2.Wakati mwingine Mama uhisi kiungulia wakati wa ujauzito hali hii nayo usababishwa na homoni kwa hiyo Mama anapaswa kutumia dawa za kupunguza kiungulia hali hiyo inaweza kuwepo kwa mda na baadae upotea.

 

3 . Kinyesi cha Mama kubwa kigumu.

Kwa kawaida wanawake wengi Upata tatizo.hili mar kwa mara kwa hiyo tunapaswa kuwapatia maji ya kunywa, matunda,na mboga za majani pamoja na vitu vingine ambavyo Usababisha kinyesi kuwa kilaini.

 

4.Pengine wajawazito utamani vyakula ambavyo huwa havina faida yoyote mwilini kama vile ulaji wa pemba, mkaa na mawe kwa sababu ya kuwepo kwa ujauzito mama utamani vitu vya aina hiyo lakini akijifungua hawezi tena kutamani vitu vya namna hiyo.

 

5.Kwa wanawake wengine wanakuwa na tabia ya kutema mate ovyo ovyo hii ni kwa sababu ya kuzalishwa na mate mengi mdomoni yanayosababishwa na homoni zinazohusika na mfumo wa uzazi kwa ujumla.

Bongoclass
Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1143

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.
Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi malengo kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, ni malengo ambayo yametolewa ili kuweza kusaidia mtoto azaliwe vizuri na mambo mengine kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutoka kwa mimba
Madhara ya kutoka kwa mimba

Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo.

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba
Mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba, ni kipindi ambacho Mama uhitahi uangalizi wa karibu zaidi.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja
Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea kwa saratani ya matiti
Sababu za kutokea kwa saratani ya matiti

Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti

Soma Zaidi...
Huduma kwa mtoto mwenye matatizo ya upumuaji
Huduma kwa mtoto mwenye matatizo ya upumuaji

Posti hii inahusu zaidi huduma kwa mtoto mwenye shida ya kupumua, mtoto kama ana shida ya kupumua tunaangalia dalili kwanza na baadaye tunaweza kutoa huduma kulingana na Dalili.

Soma Zaidi...
Dr nahis kuchanganyikiwa nimetoka niliingia hedhi tar 18 mwezi wa9 lakini saivi Jana tena nmeingia dr hii imekaaje mimi?
Dr nahis kuchanganyikiwa nimetoka niliingia hedhi tar 18 mwezi wa9 lakini saivi Jana tena nmeingia dr hii imekaaje mimi?

Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako.

Soma Zaidi...