Posti hii inahusu zaidi namna ya kuepuka fangasi za ukeni, ni njia ambazo usaidia kuepuka madhara ya fangasi za ukeni.
. Njia za kuepuka madhara ya fangasi za ukeni
1.Epuka kusafisha sehemu za Siri kwa kutumia vitu vyenye kemikali kali usababisha kuuua bakteria wazuri ambao hukaa sehemu za Siri na kubakiza bakteria wabaya ambao uleta ma
ambukizi kwenye sehemu za Siri, vitu vyenye kemikali kali ni kama vile sabuni, pafuume na mambo kama hayo ambayo ni hatari kwa sehemu za uke.
2.Epuka kutawadha kutoka nyuma kwenda mbele.
Wakati wa kutawadha epuka Ile hali ya kutawadha kutoka nyuma kuelekea mbele, kwa sababu kwenye kinyesi Kuna bakteria ambao wakiingia kwenye sehemu ya uke wanaosababisha fangusi kwenye sehemu za uke kwa hiyo tuna tunapaswa kujitawadha kutoka mbele kwenda nyuma Ili kuepuka kutoa bakteria kutoka kwenye kinyesi kwenda kwenye sehemu za via vya uzazi.
3.Hakikisha kinga ya mwili Iko juu
Katika maisha ya kila mtu tunapaswa kuhakikisha kinga ya mwili Iko juu kwa kiwango kikubwa kwa kula vyakula mbalimbali ambavyo vinaongeza kinga mwilini na kuhakikisha kula vyakula vyenye mlo kamili na sawia,kama vyakula vya protein, vyakula vya mafuta, vyakula vya mafuta,vitamini, madini, mboga za majani na matunda pia unywaji wa maji kwa wingi vyote hivi vikiwa sawia usaidia kujenga mwili na kuwa na kinga.
5.Mtibu mpenzi wako kama ana ugonjwa wa fangasi. Kama una mpenzi wako na umegungua kuwa ana fangasi hakikisha mmeenda hospitalini na kupima na kutumia dawa za kutibu fangasi, pia hakikisha dawa zinamezwa kwa uangalifu na zinaisha kwa mda wake na dawa zikiisha Rudi hospitalini mkapime vizuri na kuhakikisha kuwa ugonjwa imeisha.
6.Punguza matumizi ya vyakula vyenye sukari kwa wingi na pia epuka kutumia marashi kwenye sehemu za Siri kwa sababu uua bakteria ambao ulinda sehemu za mwili na kusababisha maambukizi ya fangasi kwenye uke, pia vyakula vya sukari vinapaswa kupunguzwa na kutumika kwa kiwango kidogo sana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria,ni mojawapo ya antibiotics au anti bacteria ambayo upambana na bakteria kama tutakavyoona hapo mbeleni.
Soma Zaidi...Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti
Soma Zaidi...Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa fetusi mbili zitakua kutoka kwa kiinitete hiki, zitabaki zimeunganishwa mar
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea kwa sababu ya kuziba kwa mishipa ya uzazi, ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kuziba kwa mishipa ya uzazi.
Soma Zaidi...Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba
Soma Zaidi...