Namna za kujilinda na fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuepuka fangasi za ukeni, ni njia ambazo usaidia kuepuka madhara ya fangasi za ukeni.

. Njia za kuepuka madhara ya fangasi za ukeni

1.Epuka kusafisha sehemu za Siri kwa kutumia vitu vyenye kemikali kali usababisha kuuua bakteria wazuri ambao hukaa sehemu za Siri na kubakiza bakteria wabaya ambao uleta ma

ambukizi kwenye sehemu za Siri, vitu vyenye kemikali kali ni kama vile sabuni, pafuume na mambo kama hayo ambayo ni hatari kwa sehemu za uke.

 

2.Epuka kutawadha kutoka nyuma kwenda mbele.

Wakati wa kutawadha epuka Ile hali ya kutawadha kutoka nyuma kuelekea mbele, kwa sababu kwenye kinyesi Kuna bakteria ambao wakiingia kwenye sehemu ya uke wanaosababisha fangusi kwenye sehemu za uke kwa hiyo tuna tunapaswa kujitawadha kutoka mbele kwenda nyuma Ili kuepuka kutoa bakteria kutoka kwenye kinyesi kwenda kwenye sehemu za via vya uzazi.

 

3.Hakikisha kinga ya mwili Iko juu 

Katika maisha ya kila mtu tunapaswa kuhakikisha kinga ya mwili Iko juu kwa kiwango kikubwa kwa kula vyakula mbalimbali ambavyo vinaongeza kinga mwilini na kuhakikisha kula vyakula vyenye mlo kamili na sawia,kama vyakula vya protein, vyakula vya mafuta, vyakula vya mafuta,vitamini, madini, mboga za majani na matunda pia unywaji wa maji kwa wingi vyote hivi vikiwa sawia usaidia kujenga mwili na kuwa na kinga.

 

5.Mtibu mpenzi wako kama ana ugonjwa wa fangasi. Kama una mpenzi wako na umegungua kuwa ana fangasi hakikisha mmeenda hospitalini na kupima na kutumia dawa za kutibu fangasi, pia hakikisha dawa zinamezwa kwa uangalifu na zinaisha kwa mda wake na dawa zikiisha Rudi hospitalini mkapime vizuri na kuhakikisha kuwa ugonjwa imeisha.

 

6.Punguza matumizi ya vyakula vyenye sukari kwa wingi na pia epuka kutumia marashi kwenye  sehemu za Siri kwa sababu uua bakteria ambao ulinda sehemu za mwili na kusababisha maambukizi ya fangasi kwenye uke, pia vyakula vya sukari vinapaswa kupunguzwa na kutumika kwa kiwango kidogo sana.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/12/09/Thursday - 10:53:20 am     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1029

Post zifazofanana:-

Ratiba ya chanjo ya Pentavalenti
Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji. Soma Zaidi...

Namna ya kutunza chumba cha upasuaji
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza chumba cha upasuaji, chumba cha upasuaji ni tofauti na vyumba vingine kwenye hospitali kwa hiyo vinahitaji uangalizi wa hali ya juu sana ili kuepuka aina yoyote ya uchafu kuwepo kwenye chumba hicho, zifuatazo ni namna ya kutunza chumba cha upasuaji. Soma Zaidi...

Namna ya kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha mwenyewe ni
Posti hii inahusu njia za kumlisha Mgonjwa ambaye hawezi kujilisha wenyewe, hali hii uwa inawapata wagonjwa wale ambao hawawezi kujilisha wenyewe tunaweza kuwalisha kwa njia zifuatazo. Soma Zaidi...

Dalili na ishara za shambulio la moyo
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili na ishara za shambulio la moyo. Shambulio la moyo huzuia damu yenye oksijeni kufika kwenye moyo hivyo hupelekea tishu kufa. Na Ugonjwa huu mtu akicheleweshewa matibabu huweza kupata mshtuko wa moyo mpaka kifo. Soma Zaidi...

Dalili za kipindupindu na njia za kujilinda na kipindupindu.
Post hii inazungumzia zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kipindupindu.kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu anaitwa vibrio cholera.mdudu huyu hushambulia utumbo mdogo na kusababisha madhara mengi. Soma Zaidi...

Faida za minyoo
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo Soma Zaidi...

Yajue mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi (cellulitis)
Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge. Soma Zaidi...

Sababu za Kutokwa Damu moja kwa moja bila kuganda (hemophilia).
Posti hii inaelezea kuhusiana na Damu kutokuganda ambalo hujulikana Kama Hemophilia, ni ugonjwa nadra ambapo damu yako haigandi kawaida kwa sababu haina protini za kutosha za kuganda. Ikiwa una tatizo la Damu kutokuganda, unaweza kuvuja damu kwa muda mrefu baada ya jeraha kuliko ungefanya ikiwa damu yako itaganda kawaida. Soma Zaidi...

Kiasi Cha mkojo kisichokuwa cha kawaida.
Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi. Soma Zaidi...

Magonjwa ya moyo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu magonjwa ya moyo Soma Zaidi...

Dalili za maumivu ya hedhi
Maumivu ya hedhi (dysmenorrhea) ni maumivu makali au ya kubana sehemu ya chini ya tumbo. Wanawake wengi hupatwa na Maumivu ya hedhi kabla tu na wakati wa hedhi zao. Kwa wanawake wengine, usumbufu huo ni wa kuudhi tu. Kwa wengine, Maumivu ya hedhi yanaweza kuwa makali kiasi cha kuathiri shughuli za kila siku kwa siku chache kila mwezi. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa upungufu wa maji mwilini.
Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji. Soma Zaidi...