Posti hii inahusu zaidi namna ya kuepuka fangasi za ukeni, ni njia ambazo usaidia kuepuka madhara ya fangasi za ukeni.
. Njia za kuepuka madhara ya fangasi za ukeni
1.Epuka kusafisha sehemu za Siri kwa kutumia vitu vyenye kemikali kali usababisha kuuua bakteria wazuri ambao hukaa sehemu za Siri na kubakiza bakteria wabaya ambao uleta ma
ambukizi kwenye sehemu za Siri, vitu vyenye kemikali kali ni kama vile sabuni, pafuume na mambo kama hayo ambayo ni hatari kwa sehemu za uke.
2.Epuka kutawadha kutoka nyuma kwenda mbele.
Wakati wa kutawadha epuka Ile hali ya kutawadha kutoka nyuma kuelekea mbele, kwa sababu kwenye kinyesi Kuna bakteria ambao wakiingia kwenye sehemu ya uke wanaosababisha fangusi kwenye sehemu za uke kwa hiyo tuna tunapaswa kujitawadha kutoka mbele kwenda nyuma Ili kuepuka kutoa bakteria kutoka kwenye kinyesi kwenda kwenye sehemu za via vya uzazi.
3.Hakikisha kinga ya mwili Iko juu
Katika maisha ya kila mtu tunapaswa kuhakikisha kinga ya mwili Iko juu kwa kiwango kikubwa kwa kula vyakula mbalimbali ambavyo vinaongeza kinga mwilini na kuhakikisha kula vyakula vyenye mlo kamili na sawia,kama vyakula vya protein, vyakula vya mafuta, vyakula vya mafuta,vitamini, madini, mboga za majani na matunda pia unywaji wa maji kwa wingi vyote hivi vikiwa sawia usaidia kujenga mwili na kuwa na kinga.
5.Mtibu mpenzi wako kama ana ugonjwa wa fangasi. Kama una mpenzi wako na umegungua kuwa ana fangasi hakikisha mmeenda hospitalini na kupima na kutumia dawa za kutibu fangasi, pia hakikisha dawa zinamezwa kwa uangalifu na zinaisha kwa mda wake na dawa zikiisha Rudi hospitalini mkapime vizuri na kuhakikisha kuwa ugonjwa imeisha.
6.Punguza matumizi ya vyakula vyenye sukari kwa wingi na pia epuka kutumia marashi kwenye sehemu za Siri kwa sababu uua bakteria ambao ulinda sehemu za mwili na kusababisha maambukizi ya fangasi kwenye uke, pia vyakula vya sukari vinapaswa kupunguzwa na kutumika kwa kiwango kidogo sana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif
Soma Zaidi...Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo
Soma Zaidi...Jifunze sababu kuu zinazosababisha kuhisi maumivu makali ya tumbo wakati wa kushiriki tendo la ndoa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano
Soma Zaidi...Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Miongoni mwa matunda yenye virutubisho vingi ni pamoja na papai, nanasi, tikiti, palachichi, pera, karoti, hindi na boga. Lakini katika matunda haya yapo ambayo kwa mimba changa anatakiwa awe makini, kama papai na nanasi. Sasa vipi kuhusu mimba ya
Soma Zaidi...Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba.
Soma Zaidi...