Faida za minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo

 

FAIDA ZA KIAFYA ZA MINYOO

Wakati mwingine kuwa na aina flani ya minyoo kunaweza kuwa na faida katika afya. Lakini si kila minyoo wana faida hizi. Kribia minyoo wote wanamadhara kiafya kama tulivyoona hapo juu. Sasa hebu kwa ufupi zitambue baadhi tu ya faida za minyoo;-

 

 

 

minyoo wanaweza kusaidia kwa wanawake kuchochea kupata ujauzito

Kulingana na tafiti iliyofanya na mwana biolojia anayetambulika kama Aaron Blackwell kutoka chuo kikuu cha (University of California), Santa Barbara. Amefanyia tafiti wanawake 1000 katika kijiji cha Bolvia kwa muda wa miaka tisa.

 

 

 

Katika tafiti yake aligundua kuwa wanawake ambao hawakutumia uzazi wa mpango wana wastani wa watoto tisa kwa kila mmoja. Aligundua kuwa wanawake wenye aina ya minyoo inayotambulika kama helmith wanapata ujauzito mapema kuliko wengine.

 

 

 

huweza kupunguza alegi (allegy)

Kuna watu wanaaleji na vitu mbalimbali ikiwemo madawa, vinywaji ama vyakula. Mtafiti aliyetambulika kwa jina la John Turton alikuwa ni raia wa Uingereza na alihusika katika baraza la kufanya tafiti za kiafya.

 

 

 

Mnamo mwaka 1970 alikuwa na aleji kali sana. Hivyo akajiathiri kwa kujiwekea minyoo aina ya hookworm. Baadaye akajakutoa taarifa kuwa aleji zake zimepungua kwa miaka miwili yote ambayo minyoo ile ilikuwa tumboni mwake.

 

 

 

minyoo wanaweza kusaidia katika kupona kwa vidonda.

Minyoo aina ya liver fluke ambao wanaishi kwenye ini wanazalisha homoni inayoitwa granulin. Watu ambao wana minyoo hii wapo hatarini sana katika kupata saratani ya kifuko cha nyongo (bile duct cancer). wakati ambao minyoo hawa wanakula ini kuna vidonda hutokea, hivyo wanavitibu wenyewe vidonda hivi.

 

 

 

 

 

MWISHO

Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi. Kwani unaweza kutumia dawa lakini za minyoo bila ya kujuwa ni aina gani ya minyoo unapambana nayo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1517

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Nyanja sita za afya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu nyanja sita za afya

Soma Zaidi...
Dalili za sumu ya pombe

hatari matokeo ya kunywa kiasi kikubwa cha pombe kwa muda mfupi. Kunywa pombe haraka kupita kiasi kunaweza kuathiri kupumua kwako, mapigo ya moyo, halijoto ya mwili na kunaweza kusababisha Coma na kifo.

Soma Zaidi...
Mbinu za kuondoa sumu mwilini.

Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.

Soma Zaidi...
Zijue hasara za magonjwa ya ngono

Posti hii inahusu zaidi hasara za magonjwa ya ngono, ni magonjwa yanayoambukizwa kwa kujamiiana bila kutumia kinga.

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.

Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini.

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha hii ni chanjo wanayopewa watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa lengo la kuzuia kuharisha chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa Rotarix.

Soma Zaidi...
Malengo ya kutibu ukoma

Posti hii inahusu zaidi malengo ya kutibu ukoma, ni malengo ambayo yamewekwa na wizara ya afya ili kuweza kutokomeza ukoma kwenye jamii

Soma Zaidi...
Dalili za shambulio la hofu

Shambulio la hofu ni tukio la ghafla la hofu kali ambayo husababisha athari kali za kimwili wakati hakuna hatari halisi au sababu inayoonekana. Mashambulizi ya hofu yanaweza kuwa ya kutisha sana. Mashambulizi ya hofu yanapotokea, unaweza kufikiri kwamba

Soma Zaidi...
Njia za kushusha presha

Post hii inakwenda kukujulisha njia za kushusha presha iliyopanda.

Soma Zaidi...