Faida za minyoo

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo

 

FAIDA ZA KIAFYA ZA MINYOO

Wakati mwingine kuwa na aina flani ya minyoo kunaweza kuwa na faida katika afya. Lakini si kila minyoo wana faida hizi. Kribia minyoo wote wanamadhara kiafya kama tulivyoona hapo juu. Sasa hebu kwa ufupi zitambue baadhi tu ya faida za minyoo;-

 

 

 

minyoo wanaweza kusaidia kwa wanawake kuchochea kupata ujauzito

Kulingana na tafiti iliyofanya na mwana biolojia anayetambulika kama Aaron Blackwell kutoka chuo kikuu cha (University of California), Santa Barbara. Amefanyia tafiti wanawake 1000 katika kijiji cha Bolvia kwa muda wa miaka tisa.

 

 

 

Katika tafiti yake aligundua kuwa wanawake ambao hawakutumia uzazi wa mpango wana wastani wa watoto tisa kwa kila mmoja. Aligundua kuwa wanawake wenye aina ya minyoo inayotambulika kama helmith wanapata ujauzito mapema kuliko wengine.

 

 

 

huweza kupunguza alegi (allegy)

Kuna watu wanaaleji na vitu mbalimbali ikiwemo madawa, vinywaji ama vyakula. Mtafiti aliyetambulika kwa jina la John Turton alikuwa ni raia wa Uingereza na alihusika katika baraza la kufanya tafiti za kiafya.

 

 

 

Mnamo mwaka 1970 alikuwa na aleji kali sana. Hivyo akajiathiri kwa kujiwekea minyoo aina ya hookworm. Baadaye akajakutoa taarifa kuwa aleji zake zimepungua kwa miaka miwili yote ambayo minyoo ile ilikuwa tumboni mwake.

 

 

 

minyoo wanaweza kusaidia katika kupona kwa vidonda.

Minyoo aina ya liver fluke ambao wanaishi kwenye ini wanazalisha homoni inayoitwa granulin. Watu ambao wana minyoo hii wapo hatarini sana katika kupata saratani ya kifuko cha nyongo (bile duct cancer). wakati ambao minyoo hawa wanakula ini kuna vidonda hutokea, hivyo wanavitibu wenyewe vidonda hivi.

 

 

 

 

 

MWISHO

Mwisho tunapenda kusema kuwa unapohisi una minyoo kutokana na dalili ambazo tumezitaja humu, nenda kituo cha afya ukapate ushauri zaidi. Kwani unaweza kutumia dawa lakini za minyoo bila ya kujuwa ni aina gani ya minyoo unapambana nayo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1553

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya kazi ya protin na vyakula vya protini mwilini

Soma Zaidi...
Sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kumwosha Mgonjwa mwili mzima,ni sababu ambazo umsaidie mgonjwa ili aweze kupata nafuu mapema na kumsaidia kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...
Zijuwe athari za vidonda mwilini

Posti hii inahusu zaidi athari za kutotibu vidonda, hizi ni athari mbalimbali ambazo zinaweza kutokea ingawa kama vidonge haujatibiwa au vimetibiwa kwa kuchelewa.

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini

Soma Zaidi...
Upungufu was fati

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu was fati

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya mwili.

Posti hii inahusu zaidi sababu ya kuwepo kwa maumivu ya mwili kwa sababu tunaweza kuhisi maumivu kwenye sehemu za mwili kwa sababu mbalimbali kama tutakavyoona hapo chini

Soma Zaidi...
Ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia

Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia Nimonia, hii ni chanjo inayozuia hasa hasa Magonjwa ya mfumo wa hewa kwa hiyo nayo upewa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Aina za kuungua

Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)

Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.

Soma Zaidi...