Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Utangulizi wa ORM katika PHP na MySQL
ORM ni kifupi cha Object-Relational Mapping. Ni mbinu inayotumika kuunganisha mfumo wa database ya uhusiano (Relational Database) na programu inayotumia lugha ya Object-Oriented Programming (OOP). Kwa kutumia ORM, badala ya kuandika queries za SQL moja kwa moja, unatumia objects na methods za PHP kushughulikia data kutoka kwenye database.
ORM ina kazi mbalimbali, zikiwemo:
ORM inafanya kazi kwa kubadilisha database tables kuwa objects ndani ya PHP. Kwa mfano:
$query = "SELECT * FROM customers WHERE id = 1";
$result = mysqli_query($conn, $query);
$customer = mysqli_fetch_assoc($result);
echo $customer['name'];
$customer = Customer::find(1);
echo $customer->name;
Hapa, ORM inachukua data kutoka MySQL na kuibadilisha kuwa object ya PHP inayoitwa Customer
.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...