Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Utangulizi wa ORM katika PHP na MySQL
ORM ni kifupi cha Object-Relational Mapping. Ni mbinu inayotumika kuunganisha mfumo wa database ya uhusiano (Relational Database) na programu inayotumia lugha ya Object-Oriented Programming (OOP). Kwa kutumia ORM, badala ya kuandika queries za SQL moja kwa moja, unatumia objects na methods za PHP kushughulikia data kutoka kwenye database.
ORM ina kazi mbalimbali, zikiwemo:
ORM inafanya kazi kwa kubadilisha database tables kuwa objects ndani ya PHP. Kwa mfano:
$query = "SELECT * FROM customers WHERE id = 1";
$result = mysqli_query($conn, $query);
$customer = mysqli_fetch_assoc($result);
echo $customer['name'];
$customer = Customer::find(1);
echo $customer->name;
Hapa, ORM inachukua data kutoka MySQL na kuibadilisha kuwa object ya PHP inayoitwa Customer
.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.
Soma Zaidi...