Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Utangulizi wa ORM katika PHP na MySQL
ORM ni kifupi cha Object-Relational Mapping. Ni mbinu inayotumika kuunganisha mfumo wa database ya uhusiano (Relational Database) na programu inayotumia lugha ya Object-Oriented Programming (OOP). Kwa kutumia ORM, badala ya kuandika queries za SQL moja kwa moja, unatumia objects na methods za PHP kushughulikia data kutoka kwenye database.
ORM ina kazi mbalimbali, zikiwemo:
ORM inafanya kazi kwa kubadilisha database tables kuwa objects ndani ya PHP. Kwa mfano:
$query = "SELECT * FROM customers WHERE id = 1";
$result = mysqli_query($conn, $query);
$customer = mysqli_fetch_assoc($result);
echo $customer['name'];
$customer = Customer::find(1);
echo $customer->name;
Hapa, ORM inachukua data kutoka MySQL na kuibadilisha kuwa object ya PHP inayoitwa Customer
.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP
Soma Zaidi...