Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Utangulizi wa ORM katika PHP na MySQL
ORM ni kifupi cha Object-Relational Mapping. Ni mbinu inayotumika kuunganisha mfumo wa database ya uhusiano (Relational Database) na programu inayotumia lugha ya Object-Oriented Programming (OOP). Kwa kutumia ORM, badala ya kuandika queries za SQL moja kwa moja, unatumia objects na methods za PHP kushughulikia data kutoka kwenye database.
ORM ina kazi mbalimbali, zikiwemo:
ORM inafanya kazi kwa kubadilisha database tables kuwa objects ndani ya PHP. Kwa mfano:
$query = "SELECT * FROM customers WHERE id = 1";
$result = mysqli_query($conn, $query);
$customer = mysqli_fetch_assoc($result);
echo $customer['name'];
$customer = Customer::find(1);
echo $customer->name;
Hapa, ORM inachukua data kutoka MySQL na kuibadilisha kuwa object ya PHP inayoitwa Customer
.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable
Soma Zaidi...