Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Katika somo hili utajifunza jinsi yakutengeneza database kwa kutumia PHP.
Katika somo la pili tiliona namna ya kuunganisha databe na PHP. Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia php. Somo hili linategemea sana somo lililotangulia. hapa tutakwenda kutengeneza database ambayo tutaiita mafunzo. unaweza pia kutengeneza kulingana na unavyotaka wewe.
Ili uweze kutengeneza database kwa kutumia PHP kwana unatakiwa ujuwe jinsi ya ku open connection kwenye server na kisha kuunganisha connection hiyo na PHP kama tulivyojifunza somo lililotangaulia. baada ya kukonnect server sasa tutakwenda kutengeneza database.
kama ulishiriki vyema somo lililopita utakuwa umeelewa nama ya kuuganisha php na server.
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
// kufanya connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password);
// kuangalia connection
if (!$conn) {
die("You are not connected: " . mysqli_connect_error());
}
echo "You are connected";
?>
Kama umeshafika hapo kuna kazi ya ziada unatakiwa uifanya. Kwanza ni kuandaa variable kwa ajili ya kutengeneza database. Pia unatakiwa ujuwe SQL command ya kutengeneza database. rejea mafunzo ya database. Kama mambo yapo kama hivyo wacha nikujuze tena kuwa tunatengeneza database kwenye MySQL kwa kutumia SQL kwa “CREATE DATABASE
” kisha utahiyajika kutaja jina la database unalotaka kutengeneza. Mfano tunataka kutengeneza database inayoitwa mafunzo. hivyo tutasema CREATE DATABASE mafunzo
Baada ya hapo unatakiwa utengeneze sasa PHP variable kwa ajili ya kuwakilisha CREATE DATABASE mafunzo Kwa mara nyingi variable inayotumika ni $sql ila unaweza tumia yeyote ile unayotaka mfan ukasema $chai. Kama tayari unaelewa jinsi ya kuandaa variable hapa hutapata shida. hivyo variable yetu itasomeka:-
$sql = "CREATE DATABASE mafunzo";
Baada ya hapo kinachofuata ni kuweka meseji kwa ajili ya kutujuza kama database imeshatengenezwa ama laa. k">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja. Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database. Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost. Download App Yetu
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Kitabu cha Afya
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
PHP somo la 59: static property kwenye PHP
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP
PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP
PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
PHP somo la 75: Content-Type Header
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP
PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer