Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Katika somo hili utajifunza jinsi yakutengeneza database kwa kutumia PHP.
Katika somo la pili tiliona namna ya kuunganisha databe na PHP. Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia php. Somo hili linategemea sana somo lililotangulia. hapa tutakwenda kutengeneza database ambayo tutaiita mafunzo. unaweza pia kutengeneza kulingana na unavyotaka wewe.
Ili uweze kutengeneza database kwa kutumia PHP kwana unatakiwa ujuwe jinsi ya ku open connection kwenye server na kisha kuunganisha connection hiyo na PHP kama tulivyojifunza somo lililotangaulia. baada ya kukonnect server sasa tutakwenda kutengeneza database.
kama ulishiriki vyema somo lililopita utakuwa umeelewa nama ya kuuganisha php na server.
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
// kufanya connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password);
// kuangalia connection
if (!$conn) {
die("You are not connected: " . mysqli_connect_error());
}
echo "You are connected";
?>
Kama umeshafika hapo kuna kazi ya ziada unatakiwa uifanya. Kwanza ni kuandaa variable kwa ajili ya kutengeneza database. Pia unatakiwa ujuwe SQL command ya kutengeneza database. rejea mafunzo ya database. Kama mambo yapo kama hivyo wacha nikujuze tena kuwa tunatengeneza database kwenye MySQL kwa kutumia SQL kwa “CREATE DATABASE
” kisha utahiyajika kutaja jina la database unalotaka kutengeneza. Mfano tunataka kutengeneza database inayoitwa mafunzo. hivyo tutasema CREATE DATABASE mafunzo
Baada ya hapo unatakiwa utengeneze sasa PHP variable kwa ajili ya kuwakilisha CREATE DATABASE mafunzo Kwa mara nyingi variable inayotumika ni $sql ila unaweza tumia yeyote ile unayotaka mfan ukasema $chai. Kama tayari unaelewa jinsi ya kuandaa variable hapa hutapata shida. hivyo variable yetu itasomeka:-
$sql = "CREATE DATABASE mafunzo";
Baada ya hapo kinachofuata ni kuweka meseji kwa ajili ya kutujuza kama database imeshatengenezwa ama laa. k">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude() Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost. Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Madrasa kiganjani
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php
PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP
PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP
PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP
PHP somo la 54: PHP OOP class constant
PHP somo la 91: Mambo ya kuzingatia unapokuwa unashughulika na data za json
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM