Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Katika somo hili utajifunza jinsi yakutengeneza database kwa kutumia PHP.
Katika somo la pili tiliona namna ya kuunganisha databe na PHP. Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia php. Somo hili linategemea sana somo lililotangulia. hapa tutakwenda kutengeneza database ambayo tutaiita mafunzo. unaweza pia kutengeneza kulingana na unavyotaka wewe.
Ili uweze kutengeneza database kwa kutumia PHP kwana unatakiwa ujuwe jinsi ya ku open connection kwenye server na kisha kuunganisha connection hiyo na PHP kama tulivyojifunza somo lililotangaulia. baada ya kukonnect server sasa tutakwenda kutengeneza database.
kama ulishiriki vyema somo lililopita utakuwa umeelewa nama ya kuuganisha php na server.
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
// kufanya connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password);
// kuangalia connection
if (!$conn) {
die("You are not connected: " . mysqli_connect_error());
}
echo "You are connected";
?>
Kama umeshafika hapo kuna kazi ya ziada unatakiwa uifanya. Kwanza ni kuandaa variable kwa ajili ya kutengeneza database. Pia unatakiwa ujuwe SQL command ya kutengeneza database. rejea mafunzo ya database. Kama mambo yapo kama hivyo wacha nikujuze tena kuwa tunatengeneza database kwenye MySQL kwa kutumia SQL kwa “CREATE DATABASE
” kisha utahiyajika kutaja jina la database unalotaka kutengeneza. Mfano tunataka kutengeneza database inayoitwa mafunzo. hivyo tutasema CREATE DATABASE mafunzo
Baada ya hapo unatakiwa utengeneze sasa PHP variable kwa ajili ya kuwakilisha CREATE DATABASE mafunzo Kwa mara nyingi variable inayotumika ni $sql ila unaweza tumia yeyote ile unayotaka mfan ukasema $chai. Kama tayari unaelewa jinsi ya kuandaa variable hapa hutapata shida. hivyo variable yetu itasomeka:-
$sql = "CREATE DATABASE mafunzo";
Baada ya hapo kinachofuata ni kuweka meseji kwa ajili ya kutujuza kama database imeshatengenezwa ama laa. k">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa. Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database. Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
PHP somo la 82: Content-Disposition
PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php
PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO