Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Katika somo hili utajifunza jinsi yakutengeneza database kwa kutumia PHP.
Katika somo la pili tiliona namna ya kuunganisha databe na PHP. Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia php. Somo hili linategemea sana somo lililotangulia. hapa tutakwenda kutengeneza database ambayo tutaiita mafunzo. unaweza pia kutengeneza kulingana na unavyotaka wewe.
Ili uweze kutengeneza database kwa kutumia PHP kwana unatakiwa ujuwe jinsi ya ku open connection kwenye server na kisha kuunganisha connection hiyo na PHP kama tulivyojifunza somo lililotangaulia. baada ya kukonnect server sasa tutakwenda kutengeneza database.
kama ulishiriki vyema somo lililopita utakuwa umeelewa nama ya kuuganisha php na server.
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
// kufanya connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password);
// kuangalia connection
if (!$conn) {
die("You are not connected: " . mysqli_connect_error());
}
echo "You are connected";
?>
Kama umeshafika hapo kuna kazi ya ziada unatakiwa uifanya. Kwanza ni kuandaa variable kwa ajili ya kutengeneza database. Pia unatakiwa ujuwe SQL command ya kutengeneza database. rejea mafunzo ya database. Kama mambo yapo kama hivyo wacha nikujuze tena kuwa tunatengeneza database kwenye MySQL kwa kutumia SQL kwa “CREATE DATABASE
” kisha utahiyajika kutaja jina la database unalotaka kutengeneza. Mfano tunataka kutengeneza database inayoitwa mafunzo. hivyo tutasema CREATE DATABASE mafunzo
Baada ya hapo unatakiwa utengeneze sasa PHP variable kwa ajili ya kuwakilisha CREATE DATABASE mafunzo Kwa mara nyingi variable inayotumika ni $sql ila unaweza tumia yeyote ile unayotaka mfan ukasema $chai. Kama tayari unaelewa jinsi ya kuandaa variable hapa hutapata shida. hivyo variable yetu itasomeka:-
$sql = "CREATE DATABASE mafunzo";
Baada ya hapo kinachofuata ni kuweka meseji kwa ajili ya kutujuza kama database imeshatengenezwa ama laa. kufanya hivi tutatumia if else statemen">...
Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Sponsored links
PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.
PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP
PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php
PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Ndio Hapana Save post
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 224
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Kitau cha Fiqh
Post zifazofanana:-
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting. Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming. Soma Zaidi...
Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP. Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa. Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database. Soma Zaidi...
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude() Soma Zaidi...