picha

PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Katika somo hili utajifunza jinsi yakutengeneza database kwa kutumia PHP.

 

 

Katika somo la pili tiliona namna ya kuunganisha databe na PHP.  Katika somo hili tutajifunza jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia php. Somo hili linategemea sana somo lililotangulia. hapa tutakwenda kutengeneza database ambayo tutaiita mafunzo. unaweza pia kutengeneza kulingana na unavyotaka wewe.


 

Ili uweze kutengeneza database kwa kutumia PHP kwana unatakiwa ujuwe jinsi ya ku open connection kwenye server na kisha kuunganisha connection hiyo na PHP kama tulivyojifunza somo lililotangaulia. baada ya kukonnect server sasa tutakwenda kutengeneza database.


 

kama ulishiriki vyema somo lililopita utakuwa umeelewa nama ya kuuganisha php na server.

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

 

// kufanya connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password);

 

// kuangalia connection

if (!$conn) {

   die("You are not connected: " mysqli_connect_error());

}

echo "You are connected";

?>

 

Kama umeshafika hapo kuna kazi ya ziada unatakiwa uifanya. Kwanza ni kuandaa variable kwa ajili ya kutengeneza database. Pia unatakiwa ujuwe SQL command ya kutengeneza database. rejea mafunzo ya database. Kama mambo yapo kama hivyo wacha nikujuze tena kuwa tunatengeneza database kwenye MySQL kwa kutumia SQL kwa “CREATE DATABASE

” kisha utahiyajika kutaja jina la database unalotaka kutengeneza. Mfano tunataka kutengeneza database inayoitwa mafunzo. hivyo tutasema CREATE DATABASE mafunzo

 

Baada ya hapo unatakiwa utengeneze sasa PHP variable kwa ajili ya kuwakilisha CREATE DATABASE mafunzo Kwa mara nyingi variable inayotumika ni $sql ila unaweza tumia yeyote ile unayotaka mfan ukasema $chai. Kama tayari unaelewa jinsi ya kuandaa variable hapa hutapata shida. hivyo variable yetu itasomeka:-

$sql = "CREATE DATABASE mafunzo"


 

Baada ya hapo kinachofuata ni kuweka meseji kwa ajili ya kutujuza kama database imeshatengenezwa ama laa. k">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-18 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 1146

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 ai web app    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 web hosting    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia

Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

Soma Zaidi...
PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

Soma Zaidi...
PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

Soma Zaidi...
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

Soma Zaidi...