Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Jinsiya kutuma email yenye html
Sas wakati mwingine utahitaji kutuma email ambayo ndnai yakeina html. Kufanya hivi kwanza utahitajika kutoa taarifa kwneye smtp server kuwa emailina html. Utaweka true. Mfano $mail->isHTML(true);. Baad aya hapo utaadika ujumbe wako wa htmlkwenye body.
mfano
$mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';
Sasa kwa sababu za kisalama baadhiya email server provider wanaweza kuzuia kufungua htmlkwenye email mpaka pale mmiliki atakaporuhusu. Hivyo basi ni vyemakuweka ujumbe mbadala. Yaaniendapo mtu hataruhusu htmlzifungukekwneyeemailyake basi tutamunyeshaplain texttu. Ujumbe huu mbadala tutauweka kwa kutumia altBody()
Mfano:
$mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';
Code zote zitaonekana hivi:
<?php
use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;
use PHPMailer\PHPMailer\Exception;
require 'vendor/autoload.php';
$mail = new PHPMailer(true);
try {
$mail->isSMTP();
$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';
$mail->SMTPAuth = true;
$mail->Username = 'paste one generated by Mailtrap';
$mail->Password = 'paste one generated by Mailtrap';
$mail->SMTPSecure = 'tls';
$mail->Port = 2525;
// Sender and recipient settings
$mail->setFrom('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');
$mail->addAddress('recipient1@mailtrap.io', 'Tim');
// Email content
$mail->isHTML(true);
$mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";
$mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';
$mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';
if(!$mail->send()) {
echo 'Message could not be sent.';
echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;
} else {
echo 'Message has been sent';
}
} catch (Exception $e) {
echo "Message could not be sent. Mailer Error: {$mail->ErrorInfo}";
}
?>
Jinsi ya kuweka attachment:
Sasa mfano unatakakuweka pdf, ama faili lolote kwenye email yako. Tutatumia addAttachment() utaweka location ya hilo faili ama linkyake.
Mfano:
$mail->addAttachment('pathf', 'file.pdf');
Mfano tuna pdf faili letu kwenye folda linaloitwa files,na faili letu linaitwa test.pdf. Hivyo tutaliweka katika namna hii.
$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');
Pia kama mafaili ni zaidi ya moja utayaweka kwa mtindo kama huo
Mfano:
$mail->addAttachment('files/test1.pdf', 'test1.pdf');
$mail->addAttachment('files/test2.pdf', 'test2.pdf');
$mail->addAttachment('files/tes3t.pdf', 'test3.pdf');
Jinsi ya kuweka picha
Sasa wkati mwingine unahitaji kwenye email yakouweze ku display picha.saahapa kua utaratibu mwingine tofauti na vile ambavyo tunafahamu kwenye html.hapa tutatumia addEmbeddedImage() tutaweka path yaani location ya hiyopicha. Kisha tutaweka 'image_cid'
Mfano
Piacha yetu ipo kwenye folda linaloitwa files na picha yetu inaitwa email.jpeg
Kisha wakati wakuitumia tataweka <img src="cid:image_cid"> sio lazima kutumia image_cid unawezakutumia kitamblisho cochote. Mfano tunataka kuweka picha mbili kwenye email yetu. Hapo kilamoja itakuwa na cid yakwake
$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');
$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');
$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';
Wacha tuonecode zote:
<?php
use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;
require 'vendor/autoload.php';
$mail = new PHPMailer(true); // Enables exceptions
$mail->isSMTP();
$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';
$mail->SMTPAuth = true;
$mail->Username = 'api';
$mail->Password = 'af57db7937f19811dca7610d96776d14';
$mail->SMTPSecure = 'tls';
$mail->Port = 587;
$mail->setFrom('info@demomailtrap.com', 'Bongoclass');
$mail->addReplyTo('admin@demomailtrap.com', 'John Doe');
$mail->addAddress('skyclassbongo@gmail.com', 'Recipient Name');
$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');
$mail->isHTML(true);
$mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";
$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');
$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');
$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';
$mail->AltBody = 'This is the plain text version of the email content';
if(!$mail->send()){
echo 'Message could not be sent.';
echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;
}else{
echo 'Message has been sent';
}
Mwisho:
Huu ndio mwisho wa somo letu la kutuma email kwa kutumia phpmailer. Nichukuwe nafasi hii pia kukukaribisha kwenye somo linalofuata ambalo tutakwend akujifunza kuhusu kutengeneza pdf kwa kutumia php
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post
Soma Zaidi...