PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

Jinsiya kutuma email yenye html

Sas wakati mwingine utahitaji kutuma email ambayo ndnai yakeina html. Kufanya hivi kwanza utahitajika kutoa taarifa kwneye smtp server kuwa emailina html. Utaweka true. Mfano $mail->isHTML(true);. Baad aya hapo utaadika ujumbe wako wa htmlkwenye body. 

mfano

$mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';

 

Sasa kwa sababu za kisalama baadhiya email server provider wanaweza kuzuia kufungua htmlkwenye email mpaka pale mmiliki atakaporuhusu. Hivyo basi ni vyemakuweka ujumbe mbadala. Yaaniendapo mtu hataruhusu htmlzifungukekwneyeemailyake basi tutamunyeshaplain texttu. Ujumbe huu mbadala tutauweka kwa kutumia altBody() 

Mfano:

$mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';

 

Code zote zitaonekana hivi:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

use PHPMailer\PHPMailer\Exception;

 

require 'vendor/autoload.php';

 

$mail = new PHPMailer(true);

 

try {

   $mail->isSMTP();

   $mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

   $mail->SMTPAuth = true;

   $mail->Username = 'paste one generated by Mailtrap';

   $mail->Password = 'paste one generated by Mailtrap';

   $mail->SMTPSecure = 'tls';

   $mail->Port = 2525;

 

   // Sender and recipient settings

   $mail->setFrom('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

   $mail->addAddress('recipient1@mailtrap.io', 'Tim');

 

   // Email content

   $mail->isHTML(true);

   $mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";

   $mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';

   $mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';

 

   if(!$mail->send()) {

       echo 'Message could not be sent.';

       echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;

   } else {

       echo 'Message has been sent';

   }

} catch (Exception $e) {

   echo "Message could not be sent. Mailer Error: {$mail->ErrorInfo}";

}

?>



 

Jinsi ya kuweka attachment:

Sasa mfano unatakakuweka pdf, ama faili lolote kwenye email yako. Tutatumia addAttachment() utaweka location ya hilo faili ama linkyake.

Mfano:

$mail->addAttachment('pathf', 'file.pdf');

Mfano tuna pdf faili letu kwenye folda linaloitwa files,na faili letu linaitwa test.pdf. Hivyo tutaliweka katika namna hii.

$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');

Pia kama mafaili ni zaidi ya moja utayaweka kwa mtindo kama huo

Mfano:

$mail->addAttachment('files/test1.pdf', 'test1.pdf');

$mail->addAttachment('files/test2.pdf', 'test2.pdf');

$mail->addAttachment('files/tes3t.pdf', 'test3.pdf');

 

Jinsi ya kuweka picha

Sasa wkati mwingine unahitaji kwenye email yakouweze ku display picha.saahapa kua utaratibu mwingine tofauti na vile ambavyo tunafahamu kwenye html.hapa tutatumia addEmbeddedImage() tutaweka path yaani location ya hiyopicha. Kisha tutaweka 'image_cid'

Mfano

Piacha yetu ipo kwenye folda linaloitwa files na picha yetu inaitwa email.jpeg

Kisha wakati wakuitumia tataweka <img src="cid:image_cid"> sio lazima kutumia image_cid unawezakutumia kitamblisho cochote. Mfano tunataka kuweka picha mbili kwenye email yetu. Hapo kilamoja itakuwa na cid yakwake

$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');

$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');

$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';


 

Wacha tuonecode zote:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

require 'vendor/autoload.php';

 

$mail = new PHPMailer(true); // Enables exceptions

 

$mail->isSMTP();

$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

$mail->SMTPAuth = true;

$mail->Username = 'api';

$mail->Password = 'af57db7937f19811dca7610d96776d14';

$mail->SMTPSecure = 'tls';

$mail->Port = 587;

 

$mail->setFrom('info@demomailtrap.com', 'Bongoclass');

$mail->addReplyTo('admin@demomailtrap.com', 'John Doe');

$mail->addAddress('skyclassbongo@gmail.com', 'Recipient Name');

$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');

$mail->isHTML(true);

$mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";

$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');

$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');

$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';

$mail->AltBody = 'This is the plain text version of the email content';

 

 

 

if(!$mail->send()){

   echo 'Message could not be sent.';

   echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;

}else{

   echo 'Message has been sent';

}

 

Mwisho:

Huu ndio mwisho wa somo letu la kutuma email kwa kutumia phpmailer. Nichukuwe nafasi hii pia kukukaribisha kwenye somo linalofuata ambalo tutakwend akujifunza kuhusu kutengeneza pdf kwa kutumia php

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 8872

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php

Soma Zaidi...
PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop

Soma Zaidi...
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Soma Zaidi...
PHP somo la 82: Content-Disposition

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

Soma Zaidi...
PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Soma Zaidi...