PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Jinsiya kutuma email yenye html
Sas wakati mwingine utahitaji kutuma email ambayo ndnai yakeina html. Kufanya hivi kwanza utahitajika kutoa taarifa kwneye smtp server kuwa emailina html. Utaweka true. Mfano $mail->isHTML(true);. Baad aya hapo utaadika ujumbe wako wa htmlkwenye body.
mfano
$mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';
Sasa kwa sababu za kisalama baadhiya email server provider wanaweza kuzuia kufungua htmlkwenye email mpaka pale mmiliki atakaporuhusu. Hivyo basi ni vyemakuweka ujumbe mbadala. Yaaniendapo mtu hataruhusu htmlzifungukekwneyeemailyake basi tutamunyeshaplain texttu. Ujumbe huu mbadala tutauweka kwa kutumia altBody()
Mfano:
$mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';
Code zote zitaonekana hivi:
<?php
use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;
use PHPMailer\PHPMailer\Exception;
require 'vendor/autoload.php';
$mail = new PHPMailer(true);
try {
$mail->isSMTP();
$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';
$mail->SMTPAuth = true;
$mail->Username = 'paste one generated by Mailtrap';
$mail->Password = 'paste one generated by Mailtrap';
$mail->SMTPSecure = 'tls';
$mail->Port = 2525;
// Sender and recipient settings
$mail->setFrom('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');
$mail->addAddress('recipient1@mailtrap.io', 'Tim');
// Email content
$mail->isHTML(true);
$mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";
$mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';
$mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';
if(!$mail->send()) {
echo 'Message could not be sent.';
echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;
} else {
echo 'Message has been sent';
}
} catch (Exception $e) {
echo "Message could not be sent. Mailer Error: {$mail->ErrorInfo}";
}
?>
Jinsi ya kuweka attachment:
Sasa mfano unatakakuweka pdf, ama faili lolote kwenye email yako. Tutatumia addAttachment() utaweka location ya hilo faili ama linkyake.
Mfano:
$mail->addAttachment('pathf', 'file.pdf');
Mfano tuna pdf faili letu kwenye folda linaloitwa files,na faili letu linaitwa test.pdf. Hivyo tutaliweka katika namna hii.
$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');
Pia kama mafaili ni zaidi ya moja utayaweka kwa mtindo kama huo
Mfano:
$mail->addAttachment('files/test1.pdf', 'test1.pdf');
$mail->addAttachment('files/test2.pdf', 'test2.pdf');
$mail->addAttachment('files/tes3t.pdf', 'test3.pdf');
Jinsi ya kuweka picha
Sasa wkati mwingine unahitaji kwenye email yakouweze ku display picha.saahapa kua utaratibu mwingine tofauti na vile ambavyo tunafahamu kwenye html.hapa tutatumia addEmbeddedImage() tutaweka path yaani location ya hiyopicha. Kisha tutaweka 'image_cid'
Mfano
Piacha yetu ipo kwenye folda linaloitwa files na picha yetu inaitwa email.jpeg
Kisha wakati wakuitumia tataweka <img src="cid:image_cid"> sio lazima kutumia image_cid unawezakutumia kitamblisho cochote. Mfano tunataka kuweka picha mbili kwenye email yetu. Hapo kilamoja itakuwa na cid yakwake
$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');
$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');
$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';
Wacha tuonecode zote:
<?php
use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;
require 'vendor/autoload.php';
$mail = new PHPMailer(true); // Enables exceptions
$mail->isSMTP();
$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';
$mail->SMTPAuth = true;
$mail->Username = 'api';
$mail->Password = 'af57db7937f19811dca7610d96776d14';
$mail->SMTPSecure = 'tls';
$mail->Port = 587;
$mail->setFrom('info@demomailtrap.com', 'Bongoclass');
$mail->addReplyTo('admin@demomailtrap.com', 'John Doe');
$mail->addAddress('skyclassbongo@gmail.com', 'Recipient Name');
$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');
$mail->isHTML(true);
$mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";
$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');
$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');
$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';
$mail->AltBody = 'This is the plain text version of the email content';
if(!$mail->send()){
echo 'Message could not be sent.';
echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;
}else{
echo 'Message has been sent';
}
Mwisho:
Huu ndio mwisho wa somo letu la kutuma email kwa kutumia phpmailer. Nichukuwe nafasi hii pia kukukaribisha kwenye somo linalofuata ambalo tutakwend akujifunza kuhusu kutengeneza pdf kwa kutumia php
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 web hosting 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi
Soma Zaidi...PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
Soma Zaidi...PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
Soma Zaidi...PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia
Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...PHP somo la 76: Aina za cache header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header
Soma Zaidi...