Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Jinsiya kutuma email yenye html
Sas wakati mwingine utahitaji kutuma email ambayo ndnai yakeina html. Kufanya hivi kwanza utahitajika kutoa taarifa kwneye smtp server kuwa emailina html. Utaweka true. Mfano $mail->isHTML(true);. Baad aya hapo utaadika ujumbe wako wa htmlkwenye body.
mfano
$mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';
Sasa kwa sababu za kisalama baadhiya email server provider wanaweza kuzuia kufungua htmlkwenye email mpaka pale mmiliki atakaporuhusu. Hivyo basi ni vyemakuweka ujumbe mbadala. Yaaniendapo mtu hataruhusu htmlzifungukekwneyeemailyake basi tutamunyeshaplain texttu. Ujumbe huu mbadala tutauweka kwa kutumia altBody()
Mfano:
$mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';
Code zote zitaonekana hivi:
<?php
use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;
use PHPMailer\PHPMailer\Exception;
require 'vendor/autoload.php';
$mail = new PHPMailer(true);
try {
$mail->isSMTP();
$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';
$mail->SMTPAuth = true;
$mail->Username = 'paste one generated by Mailtrap';
$mail->Password = 'paste one generated by Mailtrap';
$mail->SMTPSecure = 'tls';
$mail->Port = 2525;
// Sender and recipient settings
$mail->setFrom('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');
$mail->addAddress('recipient1@mailtrap.io', 'Tim');
// Email content
$mail->isHTML(true);
$mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";
$mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';
$mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';
if(!$mail->send()) {
echo 'Message could not be sent.';
echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;
} else {
echo 'Message has been sent';
}
} catch (Exception $e) {
echo "Message could not be sent. Mailer Error: {$mail->ErrorInfo}";
}
?>
Jinsi ya kuweka attachment:
Sasa mfano unatakakuweka pdf, ama faili lolote kwenye email yako. Tutatumia addAttachment() utaweka location ya hilo faili ama linkyake.
Mfano:
$mail->addAttachment('pathf', 'file.pdf');
Mfano tuna pdf faili letu kwenye folda linaloitwa files,na faili letu linaitwa test.pdf. Hivyo tutaliweka katika namna hii.
$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');
Pia kama mafaili ni zaidi ya moja utayaweka kwa mtindo kama huo
Mfano:
$mail->addAttachment('files/test1.pdf', 'test1.pdf');
$mail->addAttachment('files/test2.pdf', 'test2.pdf');
$mail->addAttachment('files/tes3t.pdf', 'test3.pdf');
Jinsi ya kuweka picha
Sasa wkati mwingine unahitaji kwenye email yakouweze ku display picha.saahapa kua utaratibu mwingine tofauti na vile ambavyo tunafahamu kwenye html.hapa tutatumia addEmbeddedImage() tutaweka path yaani location ya hiyopicha. Kisha tutaweka 'image_cid'
Mfano
Piacha yetu ipo kwenye folda linaloitwa files na picha yetu inaitwa email.jpeg
Kisha wakati wakuitumia tataweka <img src="cid:image_cid"> sio lazima kutumia image_cid unawezakutumia kitamblisho cochote. Mfano tunataka kuweka picha mbili kwenye email yetu. Hapo kilamoja itakuwa na cid yakwake
$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');
$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');
$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';
Wacha tuonecode zote:
<?php
use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;
require 'vendor/autoload.php';
$mail = new PHPMailer(true); // Enables exceptions
$mail->isSMTP();
$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';
$mail->SMTPAuth = true;
$mail->Username = 'api';
$mail->Password = 'af57db7937f19811dca7610d96776d14';
$mail->SMTPSecure = 'tls';
$mail->Port = 587;
$mail->setFrom('info@demomailtrap.com', 'Bongoclass');
$mail->addReplyTo('admin@demomailtrap.com', 'John Doe');
$mail->addAddress('skyclassbongo@gmail.com', 'Recipient Name');
$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');
$mail->isHTML(true);
$mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";
$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');
$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');
$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';
$mail->AltBody = 'This is the plain text version of the email content';
if(!$mail->send()){
echo 'Message could not be sent.';
echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;
}else{
echo 'Message has been sent';
}
Mwisho:
Huu ndio mwisho wa somo letu la kutuma email kwa kutumia phpmailer. Nichukuwe nafasi hii pia kukukaribisha kwenye somo linalofuata ambalo tutakwend akujifunza kuhusu kutengeneza pdf kwa kutumia php
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...