PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

Jinsiya kutuma email yenye html

Sas wakati mwingine utahitaji kutuma email ambayo ndnai yakeina html. Kufanya hivi kwanza utahitajika kutoa taarifa kwneye smtp server kuwa emailina html. Utaweka true. Mfano $mail->isHTML(true);. Baad aya hapo utaadika ujumbe wako wa htmlkwenye body. 

mfano

$mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';

 

Sasa kwa sababu za kisalama baadhiya email server provider wanaweza kuzuia kufungua htmlkwenye email mpaka pale mmiliki atakaporuhusu. Hivyo basi ni vyemakuweka ujumbe mbadala. Yaaniendapo mtu hataruhusu htmlzifungukekwneyeemailyake basi tutamunyeshaplain texttu. Ujumbe huu mbadala tutauweka kwa kutumia altBody() 

Mfano:

$mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';

 

Code zote zitaonekana hivi:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

use PHPMailer\PHPMailer\Exception;

 

require 'vendor/autoload.php';

 

$mail = new PHPMailer(true);

 

try {

   $mail->isSMTP();

   $mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

   $mail->SMTPAuth = true;

   $mail->Username = 'paste one generated by Mailtrap';

   $mail->Password = 'paste one generated by Mailtrap';

   $mail->SMTPSecure = 'tls';

   $mail->Port = 2525;

 

   // Sender and recipient settings

   $mail->setFrom('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

   $mail->addAddress('recipient1@mailtrap.io', 'Tim');

 

   // Email content

   $mail->isHTML(true);

   $mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";

   $mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';

   $mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';

 

   if(!$mail->send()) {

       echo 'Message could not be sent.';

       echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;

   } else {

       echo 'Message has been sent';

   }

} catch (Exception $e) {

   echo "Message could not be sent. Mailer Error: {$mail->ErrorInfo}";

}

?>



 

Jinsi ya kuweka attachment:

Sasa mfano unatakakuweka pdf, ama faili lolote kwenye email yako. Tutatumia addAttachment() utaweka location ya hilo faili ama linkyake.

Mfano:

$mail->addAttachment('pathf', 'file.pdf');

Mfano tuna pdf faili letu kwenye folda linaloitwa files,na faili letu linaitwa test.pdf. Hivyo tutaliweka katika namna hii.

$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');

Pia kama mafaili ni zaidi ya moja utayaweka kwa mtindo kama huo

Mfano:

$mail->addAttachment('files/test1.pdf', 'test1.pdf');

$mail->addAttachment('files/test2.pdf', 'test2.pdf');

$mail->addAttachment('files/tes3t.pdf', 'test3.pdf');

 

Jinsi ya kuweka picha

Sasa wkati mwingine unahitaji kwenye email yakouweze ku display picha.saahapa kua utaratibu mwingine tofauti na vile ambavyo tunafahamu kwenye html.hapa tutatumia addEmbeddedImage() tutaweka path yaani location ya hiyopicha. Kisha tutaweka 'image_cid'

Mfano

Piacha yetu ipo kwenye folda linaloitwa files na picha yetu inaitwa email.jpeg

Kisha wakati wakuitumia tataweka <img src="cid:image_cid"> sio lazima kutumia image_cid unawezakutumia kitamblisho cochote. Mfano tunataka kuweka picha mbili kwenye email yetu. Hapo kilamoja itakuwa na cid yakwake

$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');

$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');

$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';


 

Wacha tuonecode zote:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

require 'vendor/autoload.php';

 

$mail = new PHPMailer(true); // Enables exceptions

 

$mail->isSMTP();

$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

$mail->SMTPAuth = true;

$mail->Username = 'api';

$mail->Password = 'af57db7937f19811dca7610d96776d14';

$mail->SMTPSecure = 'tls';

$mail->Port = 587;

 

$mail->setFrom('info@demomailtrap.com', 'Bongoclass');

$mail->addReplyTo('admin@demomailtrap.com', 'John Doe');

$mail->addAddress('skyclassbongo@gmail.com', 'Recipient Name');

$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');

$mail->isHTML(true);

$mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";

$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');

$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');

$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';

$mail->AltBody = 'This is the plain text version of the email content';

 

 

 

if(!$mail->send()){

   echo 'Message could not be sent.';

   echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;

}else{

   echo 'Message has been sent';

}

 

Mwisho:

Huu ndio mwisho wa somo letu la kutuma email kwa kutumia phpmailer. Nichukuwe nafasi hii pia kukukaribisha kwenye somo linalofuata ambalo tutakwend akujifunza kuhusu kutengeneza pdf kwa kutumia php

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 8930

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...
PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

Soma Zaidi...
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

Soma Zaidi...
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()

Soma Zaidi...
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

Soma Zaidi...
PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...