image

PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

Jinsiya kutuma email yenye html

Sas wakati mwingine utahitaji kutuma email ambayo ndnai yakeina html. Kufanya hivi kwanza utahitajika kutoa taarifa kwneye smtp server kuwa emailina html. Utaweka true. Mfano $mail->isHTML(true);. Baad aya hapo utaadika ujumbe wako wa htmlkwenye body. 

mfano

$mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';

 

Sasa kwa sababu za kisalama baadhiya email server provider wanaweza kuzuia kufungua htmlkwenye email mpaka pale mmiliki atakaporuhusu. Hivyo basi ni vyemakuweka ujumbe mbadala. Yaaniendapo mtu hataruhusu htmlzifungukekwneyeemailyake basi tutamunyeshaplain texttu. Ujumbe huu mbadala tutauweka kwa kutumia altBody() 

Mfano:

$mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';

 

Code zote zitaonekana hivi:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

use PHPMailer\PHPMailer\Exception;

 

require 'vendor/autoload.php';

 

$mail = new PHPMailer(true);

 

try {

   $mail->isSMTP();

   $mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

   $mail->SMTPAuth = true;

   $mail->Username = 'paste one generated by Mailtrap';

   $mail->Password = 'paste one generated by Mailtrap';

   $mail->SMTPSecure = 'tls';

   $mail->Port = 2525;

 

   // Sender and recipient settings

   $mail->setFrom('info@mailtrap.io', 'Mailtrap');

   $mail->addAddress('recipient1@mailtrap.io', 'Tim');

 

   // Email content

   $mail->isHTML(true);

   $mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";

   $mail->Body = '<h1>Karibu Bongoclass</h1><p>Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia</p>';

   $mail->AltBody = 'Karibu Bongoclass. Utaweza kujifunza mengi katika teknolojia';

 

   if(!$mail->send()) {

       echo 'Message could not be sent.';

       echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;

   } else {

       echo 'Message has been sent';

   }

} catch (Exception $e) {

   echo "Message could not be sent. Mailer Error: {$mail->ErrorInfo}";

}

?>



 

Jinsi ya kuweka attachment:

Sasa mfano unatakakuweka pdf, ama faili lolote kwenye email yako. Tutatumia addAttachment() utaweka location ya hilo faili ama linkyake.

Mfano:

$mail->addAttachment('pathf', 'file.pdf');

Mfano tuna pdf faili letu kwenye folda linaloitwa files,na faili letu linaitwa test.pdf. Hivyo tutaliweka katika namna hii.

$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');

Pia kama mafaili ni zaidi ya moja utayaweka kwa mtindo kama huo

Mfano:

$mail->addAttachment('files/test1.pdf', 'test1.pdf');

$mail->addAttachment('files/test2.pdf', 'test2.pdf');

$mail->addAttachment('files/tes3t.pdf', 'test3.pdf');

 

Jinsi ya kuweka picha

Sasa wkati mwingine unahitaji kwenye email yakouweze ku display picha.saahapa kua utaratibu mwingine tofauti na vile ambavyo tunafahamu kwenye html.hapa tutatumia addEmbeddedImage() tutaweka path yaani location ya hiyopicha. Kisha tutaweka 'image_cid'

Mfano

Piacha yetu ipo kwenye folda linaloitwa files na picha yetu inaitwa email.jpeg

Kisha wakati wakuitumia tataweka <img src="cid:image_cid"> sio lazima kutumia image_cid unawezakutumia kitamblisho cochote. Mfano tunataka kuweka picha mbili kwenye email yetu. Hapo kilamoja itakuwa na cid yakwake

$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');

$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');

$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';


 

Wacha tuonecode zote:

<?php

use PHPMailer\PHPMailer\PHPMailer;

require 'vendor/autoload.php';

 

$mail = new PHPMailer(true); // Enables exceptions

 

$mail->isSMTP();

$mail->Host = 'live.smtp.mailtrap.io';

$mail->SMTPAuth = true;

$mail->Username = 'api';

$mail->Password = 'af57db7937f19811dca7610d96776d14';

$mail->SMTPSecure = 'tls';

$mail->Port = 587;

 

$mail->setFrom('info@demomailtrap.com', 'Bongoclass');

$mail->addReplyTo('admin@demomailtrap.com', 'John Doe');

$mail->addAddress('skyclassbongo@gmail.com', 'Recipient Name');

$mail->addAttachment('files/test.pdf', 'test.pdf');

$mail->isHTML(true);

$mail->Subject = "PHPMailer SMTP test";

$mail->addEmbeddedImage('files/email.jpeg', 'image1');

$mail->addEmbeddedImage('files/mbu.png', 'image2');

$mail->Body = '<p>haloo karibu saba.<b>wewe ni rafiki<u>waa kweli</u></b></p><img src="cid:image1"><br> Mail body in HTML <img src="cid:image2">';

$mail->AltBody = 'This is the plain text version of the email content';

 

 

 

if(!$mail->send()){

   echo 'Message could not be sent.';

   echo 'Mailer Error: ' . $mail->ErrorInfo;

}else{

   echo 'Message has been sent';

}

 

Mwisho:

Huu ndio mwisho wa somo letu la kutuma email kwa kutumia phpmailer. Nichukuwe nafasi hii pia kukukaribisha kwenye somo linalofuata ambalo tutakwend akujifunza kuhusu kutengeneza pdf kwa kutumia php

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-06-03 19:31:36 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 8430


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming. Soma Zaidi...

PHP somo la 79: Custom header
Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake Soma Zaidi...

PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable. Soma Zaidi...

PHP somo la 83: Server Variables
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog
Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu. Soma Zaidi...

PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma
Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP Soma Zaidi...

PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa. Soma Zaidi...

PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php Soma Zaidi...

PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blo post kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html
Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako Soma Zaidi...

PHP somo la 73: Maana ya http header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header. Soma Zaidi...

PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?
Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake Soma Zaidi...