Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza ORM ya msingi kwa kutumia PHP na MySQL, ambayo itakuwezesha kufanya operesheni za CRUD (Create, Read, Update, Delete) kwa urahisi.
Kama ilivyo kwenye mfano wa awali, tunahitaji class ya Database ambayo itashughulikia connection na MySQL. Hii itakuwa ni Singleton pattern kama ilivyokuwa awali:
class Database {
private static $instance = null;
private $conn;
private function __construct() {
$this->conn = new mysqli("localhost", "root", "", "shop");
if ($this->conn->connect_error) {
die("Connection failed: " . $this->conn->connect_error);
}
}
public static function getInstance() {
if (!self::$instance) {
self::$instance = new Database();
}
return self::$instance;
}
public function getConnection() {
return $this->conn;
}
}
Hapa tunaunda class Model, ambayo inashughulikia CRUD operations kwa kutumia prepared statements ili kuepuka SQL Injection. Class hii ina methods za kufanya kazi na tables kwa kutumia jina la table kama parameter:
class Model {
protected $db;
protected $table;
public function __construct($table) {
$this->db = Database::getInstance()->getConnection();
$this->table = $table; // Dynamically set the table name
}
public function create($data) {
$columns = implode(", ", array_keys($data));
$placeholders = implode(", ", array_fill(0, count($data), "?"));
$stmt = $this->db->prepare("INSERT INTO {$this->table} ($columns) VALUES ($placeholders)");
$stmt->bind_param(str_repeat("s", count($data)), ...array_values($data));
return $stmt->execute();
}
public function all() {
$stmt = $this->db->prepare("SELECT * FROM {$this->table}");
$stmt->execute();
return $stmt->get_result()->fetch_all(MYSQLI_ASSOC);
}
}
Hapa tunatumia prepared statements ili kuhakikisha usalama wa SQL (kama kuepuka SQL injection), na pia tunatekeleza Object-Oriented Programming (OOP).
public function __construct($table) {
$this->db = Database::getInstance()->getConnection();
$this->table = $table; // Dynamically set the table name
}
public function create($data) {
$columns = implode(", ", array_keys($data));
$placeholders = implode(", ", array_fill(0, count($data), "?"));
$stmt = $this->db->prepare("INSERT INTO {$this->table} ($columns) VALUES ($placeholders)");
$stmt->bind_param(str_repeat("s", count($data)), ...array_values($data));
return $stmt->execute();
}
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function
Soma Zaidi...katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
Soma Zaidi...