Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza ORM ya msingi kwa kutumia PHP na MySQL, ambayo itakuwezesha kufanya operesheni za CRUD (Create, Read, Update, Delete) kwa urahisi.
Kama ilivyo kwenye mfano wa awali, tunahitaji class ya Database ambayo itashughulikia connection na MySQL. Hii itakuwa ni Singleton pattern kama ilivyokuwa awali:
class Database {
private static $instance = null;
private $conn;
private function __construct() {
$this->conn = new mysqli("localhost", "root", "", "shop");
if ($this->conn->connect_error) {
die("Connection failed: " . $this->conn->connect_error);
}
}
public static function getInstance() {
if (!self::$instance) {
self::$instance = new Database();
}
return self::$instance;
}
public function getConnection() {
return $this->conn;
}
}
Hapa tunaunda class Model, ambayo inashughulikia CRUD operations kwa kutumia prepared statements ili kuepuka SQL Injection. Class hii ina methods za kufanya kazi na tables kwa kutumia jina la table kama parameter:
class Model {
protected $db;
protected $table;
public function __construct($table) {
$this->db = Database::getInstance()->getConnection();
$this->table = $table; // Dynamically set the table name
}
public function create($data) {
$columns = implode(", ", array_keys($data));
$placeholders = implode(", ", array_fill(0, count($data), "?"));
$stmt = $this->db->prepare("INSERT INTO {$this->table} ($columns) VALUES ($placeholders)");
$stmt->bind_param(str_repeat("s", count($data)), ...array_values($data));
return $stmt->execute();
}
public function all() {
$stmt = $this->db->prepare("SELECT * FROM {$this->table}");
$stmt->execute();
return $stmt->get_result()->fetch_all(MYSQLI_ASSOC);
}
}
Hapa tunatumia prepared statements ili kuhakikisha usalama wa SQL (kama kuepuka SQL injection), na pia tunatekeleza Object-Oriented Programming (OOP).
public function __construct($table) {
$this->db = Database::getInstance()->getConnection();
$this->table = $table; // Dynamically set the table name
}
public function create($data) {
$columns = implode(", ", array_keys($data));
$placeholders = implode(", ", array_fill(0, count($data), "?"));
$stmt = $this->db->prepare("INSERT INTO {$this->table} ($columns) VALUES ($placeholders)");
$stmt->bind_param(str_repeat("s", count($data)), ...array_values($data));
return $stmt->execute();
}
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...