Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza ORM ya msingi kwa kutumia PHP na MySQL, ambayo itakuwezesha kufanya operesheni za CRUD (Create, Read, Update, Delete) kwa urahisi.
Kama ilivyo kwenye mfano wa awali, tunahitaji class ya Database ambayo itashughulikia connection na MySQL. Hii itakuwa ni Singleton pattern kama ilivyokuwa awali:
class Database {
private static $instance = null;
private $conn;
private function __construct() {
$this->conn = new mysqli("localhost", "root", "", "shop");
if ($this->conn->connect_error) {
die("Connection failed: " . $this->conn->connect_error);
}
}
public static function getInstance() {
if (!self::$instance) {
self::$instance = new Database();
}
return self::$instance;
}
public function getConnection() {
return $this->conn;
}
}
Hapa tunaunda class Model, ambayo inashughulikia CRUD operations kwa kutumia prepared statements ili kuepuka SQL Injection. Class hii ina methods za kufanya kazi na tables kwa kutumia jina la table kama parameter:
class Model {
protected $db;
protected $table;
public function __construct($table) {
$this->db = Database::getInstance()->getConnection();
$this->table = $table; // Dynamically set the table name
}
public function create($data) {
$columns = implode(", ", array_keys($data));
$placeholders = implode(", ", array_fill(0, count($data), "?"));
$stmt = $this->db->prepare("INSERT INTO {$this->table} ($columns) VALUES ($placeholders)");
$stmt->bind_param(str_repeat("s", count($data)), ...array_values($data));
return $stmt->execute();
}
public function all() {
$stmt = $this->db->prepare("SELECT * FROM {$this->table}");
$stmt->execute();
return $stmt->get_result()->fetch_all(MYSQLI_ASSOC);
}
}
Hapa tunatumia prepared statements ili kuhakikisha usalama wa SQL (kama kuepuka SQL injection), na pia tunatekeleza Object-Oriented Programming (OOP).
public function __construct($table) {
$this->db = Database::getInstance()->getConnection();
$this->table = $table; // Dynamically set the table name
}
public function create($data) {
$columns = implode(", ", array_keys($data));
$placeholders = implode(", ", array_fill(0, count($data), "?"));
$stmt = $this->db->prepare("INSERT INTO {$this->table} ($columns) VALUES ($placeholders)");
$stmt->bind_param(str_repeat("s", count($data)), ...array_values($data));
return $stmt->execute();
}
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...