Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza ORM ya msingi kwa kutumia PHP na MySQL, ambayo itakuwezesha kufanya operesheni za CRUD (Create, Read, Update, Delete) kwa urahisi.
Kama ilivyo kwenye mfano wa awali, tunahitaji class ya Database ambayo itashughulikia connection na MySQL. Hii itakuwa ni Singleton pattern kama ilivyokuwa awali:
class Database {
private static $instance = null;
private $conn;
private function __construct() {
$this->conn = new mysqli("localhost", "root", "", "shop");
if ($this->conn->connect_error) {
die("Connection failed: " . $this->conn->connect_error);
}
}
public static function getInstance() {
if (!self::$instance) {
self::$instance = new Database();
}
return self::$instance;
}
public function getConnection() {
return $this->conn;
}
}
Hapa tunaunda class Model, ambayo inashughulikia CRUD operations kwa kutumia prepared statements ili kuepuka SQL Injection. Class hii ina methods za kufanya kazi na tables kwa kutumia jina la table kama parameter:
class Model {
protected $db;
protected $table;
public function __construct($table) {
$this->db = Database::getInstance()->getConnection();
$this->table = $table; // Dynamically set the table name
}
public function create($data) {
$columns = implode(", ", array_keys($data));
$placeholders = implode(", ", array_fill(0, count($data), "?"));
$stmt = $this->db->prepare("INSERT INTO {$this->table} ($columns) VALUES ($placeholders)");
$stmt->bind_param(str_repeat("s", count($data)), ...array_values($data));
return $stmt->execute();
}
public function all() {
$stmt = $this->db->prepare("SELECT * FROM {$this->table}");
$stmt->execute();
return $stmt->get_result()->fetch_all(MYSQLI_ASSOC);
}
}
Hapa tunatumia prepared statements ili kuhakikisha usalama wa SQL (kama kuepuka SQL injection), na pia tunatekeleza Object-Oriented Programming (OOP).
public function __construct($table) {
$this->db = Database::getInstance()->getConnection();
$this->table = $table; // Dynamically set the table name
}
public function create($data) {
$columns = implode(", ", array_keys($data));
$placeholders = implode(", ", array_fill(0, count($data), "?"));
$stmt = $this->db->prepare("INSERT INTO {$this->table} ($columns) VALUES ($placeholders)");
$stmt->bind_param(str_repeat("s", count($data)), ...array_values($data));
return $stmt->execute();
}
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.
Soma Zaidi...