Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
.env
Katika PHP.env
katika PHPFaili la .env
ni sehemu muhimu ya miradi ya PHP kwa ajili ya kuhifadhi mipangilio na taarifa za siri kama vile funguo za API, jina la mtumiaji wa database, nenosiri, na mazingira ya matumizi (environment: development
, production
, nk). Somo hili litaelezea kazi za faili hili, jinsi ya kuinstall, sheria za uandishi wake, matumizi yake, na kama ni global variable.
.env
Faili la .env
hutumika kwa madhumuni yafuatayo:
development
, staging
, au production
..env
halipaswi kuongezwa kwenye git
repositories, hivyo linaweka taarifa nyeti mbali na maktaba ya umma..env
Faili la .env
linahitaji "environment variable loader" kama vile vlucas/phpdotenv. Fuata hatua hizi:
Sanidi Composer ikiwa bado hujafanya hivyo:
composer require vlucas/phpdotenv
Unda faili la .env
:
.env
:
touch .env
Andika mipangilio yako kwenye faili la .env
: Mfano wa mipangilio:
APP_NAME=MyApp
APP_ENV=development
DB_HOST=127.0.0.1
DB_PORT=3306
DB_DATABASE=my_database
DB_USERNAME=root
DB_PASSWORD=secret
Load faili la .env
kwenye mradi wako wa PHP: Katika faili kuu (mfano, index.php
au bootstrap.php
):
require __DIR__ . '/vendor/autoload.php';
use Dotenv\Dotenv;
$dotenv = Dotenv:">
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
Soma Zaidi...hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...