Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
.env
Katika PHP.env
katika PHPFaili la .env
ni sehemu muhimu ya miradi ya PHP kwa ajili ya kuhifadhi mipangilio na taarifa za siri kama vile funguo za API, jina la mtumiaji wa database, nenosiri, na mazingira ya matumizi (environment: development
, production
, nk). Somo hili litaelezea kazi za faili hili, jinsi ya kuinstall, sheria za uandishi wake, matumizi yake, na kama ni global variable.
.env
Faili la .env
hutumika kwa madhumuni yafuatayo:
development
, staging
, au production
..env
halipaswi kuongezwa kwenye git
repositories, hivyo linaweka taarifa nyeti mbali na maktaba ya umma..env
Faili la .env
linahitaji "environment variable loader" kama vile vlucas/phpdotenv. Fuata hatua hizi:
Sanidi Composer ikiwa bado hujafanya hivyo:
composer require vlucas/phpdotenv
Unda faili la .env
:
.env
:
touch .env
Andika mipangilio yako kwenye faili la .env
: Mfano wa mipangilio:
APP_NAME=MyApp
APP_ENV=development
DB_HOST=127.0.0.1
DB_PORT=3306
DB_DATABASE=my_database
DB_USERNAME=root
DB_PASSWORD=secret
Load faili la .env
kwenye mradi wako wa PHP: Katika faili kuu (mfano, index.php
au bootstrap.php
):
require __DIR__ . '/vendor/autoload.php';
use Dotenv\Dotenv;
$dotenv = Dotenv::createImmutable(__DIR__);
$dote">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowHuu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
Soma Zaidi...Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...