Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
.env Katika PHP.env katika PHPFaili la .env ni sehemu muhimu ya miradi ya PHP kwa ajili ya kuhifadhi mipangilio na taarifa za siri kama vile funguo za API, jina la mtumiaji wa database, nenosiri, na mazingira ya matumizi (environment: development, production, nk). Somo hili litaelezea kazi za faili hili, jinsi ya kuinstall, sheria za uandishi wake, matumizi yake, na kama ni global variable.
.envFaili la .env hutumika kwa madhumuni yafuatayo:
development, staging, au production..env halipaswi kuongezwa kwenye git repositories, hivyo linaweka taarifa nyeti mbali na maktaba ya umma..envFaili la .env linahitaji "environment variable loader" kama vile vlucas/phpdotenv. Fuata hatua hizi:
Sanidi Composer ikiwa bado hujafanya hivyo:
composer require vlucas/phpdotenv
Unda faili la .env:
.env:
touch .env
Andika mipangilio yako kwenye faili la .env: Mfano wa mipangilio:
APP_NAME=MyApp
APP_ENV=development
DB_HOST=127.0.0.1
DB_PORT=3306
DB_DATABASE=my_database
DB_USERNAME=root
DB_PASSWORD=secret
Load faili la .env kwenye mradi wako wa PHP: Katika faili kuu (mfano, index.php au bootstrap.php):
require __DIR__ . '/vendor/autoload.php';
use Dotenv\Dotenv;
$dotenv = Dotenv:">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.
Soma Zaidi...