Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
.env Katika PHP.env katika PHPFaili la .env ni sehemu muhimu ya miradi ya PHP kwa ajili ya kuhifadhi mipangilio na taarifa za siri kama vile funguo za API, jina la mtumiaji wa database, nenosiri, na mazingira ya matumizi (environment: development, production, nk). Somo hili litaelezea kazi za faili hili, jinsi ya kuinstall, sheria za uandishi wake, matumizi yake, na kama ni global variable.
.envFaili la .env hutumika kwa madhumuni yafuatayo:
development, staging, au production..env halipaswi kuongezwa kwenye git repositories, hivyo linaweka taarifa nyeti mbali na maktaba ya umma..envFaili la .env linahitaji "environment variable loader" kama vile vlucas/phpdotenv. Fuata hatua hizi:
Sanidi Composer ikiwa bado hujafanya hivyo:
composer require vlucas/phpdotenv
Unda faili la .env:
.env:
touch .env
Andika mipangilio yako kwenye faili la .env: Mfano wa mipangilio:
APP_NAME=MyApp
APP_ENV=development
DB_HOST=127.0.0.1
DB_PORT=3306
DB_DATABASE=my_database
DB_USERNAME=root
DB_PASSWORD=secret
Load faili la .env kwenye mradi wako wa PHP: Katika faili kuu (mfano, index.php au bootstrap.php):
require __DIR__ . '/vendor/autoload.php';
use Dotenv\Dotenv;
$dotenv = Dotenv:">...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Viazi mbatata ni katika vyakula ambavyo hupatikana karibia dunia yote. Viazi hivi vimekuwa ni lishe kubwa sana. Ila je unajuwa hasa ni faida gani za kiafya hupatikana kwenye viazi hivi?
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()
Soma Zaidi...