Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. unaweza kutuma na kupokea sms kwa kutumia PHP ila katika somo hili tutajifunza tu jinsi ya kutuma sms. Kitu cha msingi unachotakiwa kukijuwa ni kuwa kutuma sms ni gharama kuliko kutuma email. Kwa kuwa kutuma sms utahitajika kuwa na API pamoja na TOKEN.
Kwa nini tunahitaji kutuma sms
Kwa ajili ya kuwataarifu na kuwakumbusha wateja
Kwa ajili ya kutuma OTP
Kwa ajili ya kutangaza biashara yako
Kufanya huduma ya bulk sms
Kabla ya kuanza somo hakikisha umefanya yafuatayo:-
Umeshapata API na TOKEN hizi unaweza kuzipata kwa kujisajili kwenye pltform zinazofanya huduma hii. Kuna platform nyingi ikiwemo twilio ambayo ni maarufu sana. Katika somo hili tutatumia sinch unaweza kujiunga kupitia sinch.com utaanza na Free account. Baada ya kujisajili utanunua namba ya kutumia. Kisha utapewa token na Api baada ya hapo njoo tuendelee na somo.
Hakikisha unatumia PHP version ya 7.4.3 ama zaidi ya hapo.
Hakukuwa server yako inatumia cURL
Baada ya kukamilisha mahitaji hayo utakuwa tayari kuendelea pamoja nami. Kumbuka utakughatimu kiasi cha pesa kukamilisha setting hizo kama kupata namba, API na token.
Utumaji wa sms kutoka kwenye web
Kuna njia mbili nitakwenda kuzifundisha hapa za kutuma sms kupitia web. Njia ya kwanza ni kwa kutumia html anchor kwenye link ambayobinafunguwa sms app. Njia hii itatumia sms kwa kupitia simu yako mwenyewe. Njia hii haina gharama za ziada, yenyewe inatumia bando lako la kawaida. Wala pia haihitaji kujisajili kwenye platform nyinginezo za kupata API na TOKEN.
Njia ya pili ni kwa kutumia cURL ambapo tutakwenda kutumia sinch platform. Njia hii ndio itahitaji API na TOKEN. Njia hiibjna gharama na inatumia sms moja kwa moja kwenye website na sio kupitia sms app.
Kwa kutumia html anchor tag.
Hapa kwanza tutatengeneza html form ya kuandika ujumbe wetu. Kisha tutaweka ukurasa wa kutumia ambapo mtu atabofya batani ya kutuma. Batani hiyo itakuwa na anchor tag. Anchor tag ni tag hii itakuwa na attribute kama sms ili kuweza kutuma sms pia itakuwa na body ambapo hukaa ujumbe.
sms.html
Hii ni html form ambayo itakuwa na input mbili tu ambazo ni namba ya simu, na body ambapo utaweza kuandika sms. Kwenye ndamba ya simu endapo zitakuwa nyingi utatengenisha kwa alama ya (;)
sms
Phone Number
Message Body
sms.php
Hapa kutakuwa na code za php ambazo zitachukuwa namba ya simu na ujumbe na kuziingiza kwenye anchor attribute. Kisha mtu akibofta neno tuma app ya sms itafunguka ikiwa na ujumbe pamoja na namba za siku. Unachotakiwa ni kutuma kawaida.
$phone_number = $_POST['phone'];
$sms_body = $_POST['body'];
?>
sms
Kwa kutumia cURL
Hapa sasa ndipo tunakwenda kutumia API, NAMBA, pamoja na PLAN ID na TOKEN. Vitu vyote hivi ">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable
Soma Zaidi...