PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. unaweza kutuma na kupokea sms kwa kutumia PHP ila katika somo hili tutajifunza tu jinsi ya kutuma sms. Kitu cha msingi unachotakiwa kukijuwa ni kuwa kutuma sms  ni gharama kuliko kutuma email. Kwa kuwa kutuma sms utahitajika kuwa na API pamoja na TOKEN. 

 

Kwa nini tunahitaji kutuma sms

  1. Kwa ajili ya kuwataarifu na kuwakumbusha wateja

  2. Kwa ajili ya kutuma OTP

  3. Kwa ajili ya kutangaza biashara yako

  4. Kufanya huduma ya bulk sms

 

Kabla ya kuanza somo hakikisha umefanya yafuatayo:-

  1. Umeshapata API na TOKEN hizi unaweza kuzipata kwa kujisajili kwenye pltform zinazofanya huduma hii. Kuna platform nyingi ikiwemo twilio ambayo ni maarufu sana. Katika somo hili tutatumia sinch unaweza kujiunga kupitia sinch.com utaanza na Free account. Baada ya kujisajili utanunua namba ya kutumia. Kisha utapewa token na Api baada ya hapo njoo tuendelee na somo. 

  2. Hakikisha unatumia PHP version ya 7.4.3 ama zaidi ya hapo. 

  3. Hakukuwa server yako inatumia cURL

 

Baada ya kukamilisha mahitaji hayo utakuwa tayari kuendelea pamoja nami. Kumbuka utakughatimu kiasi cha pesa kukamilisha setting hizo kama kupata namba,  API na token. 

 

Utumaji wa sms kutoka kwenye web

Kuna njia mbili nitakwenda kuzifundisha hapa za kutuma sms kupitia web.  Njia ya kwanza ni kwa kutumia html anchor kwenye link ambayobinafunguwa sms app. Njia hii itatumia sms kwa kupitia simu yako mwenyewe. Njia hii haina gharama za ziada,  yenyewe inatumia bando lako la kawaida. Wala pia haihitaji kujisajili kwenye platform nyinginezo za kupata API na TOKEN. 

 

Njia ya pili ni kwa kutumia cURL ambapo tutakwenda kutumia sinch platform. Njia hii ndio itahitaji API na TOKEN. Njia hiibjna gharama na inatumia sms moja kwa moja kwenye website na sio kupitia sms app. 

 

Kwa kutumia html anchor tag. 

Hapa kwanza tutatengeneza html form ya kuandika ujumbe wetu. Kisha tutaweka ukurasa wa kutumia ambapo mtu atabofya batani ya kutuma. Batani hiyo itakuwa na anchor tag. Anchor tag ni tag hii itakuwa na attribute kama sms ili kuweza kutuma sms pia itakuwa na body ambapo hukaa ujumbe. 

 

 

  1. sms.html

Hii ni html form ambayo itakuwa na input mbili tu ambazo ni namba ya simu, na body ambapo utaweza kuandika sms. Kwenye ndamba ya simu endapo zitakuwa nyingi utatengenisha kwa alama ya (;)

 

 

 

   

   

sms

 

   

 

 

 

   Phone Number

   
 

   Message Body

   

   

 

 

 

sms.php 

Hapa kutakuwa na code za php ambazo zitachukuwa namba ya simu na ujumbe na kuziingiza kwenye anchor attribute. Kisha mtu akibofta neno tuma app ya sms itafunguka ikiwa na ujumbe pamoja na namba za siku. Unachotakiwa ni kutuma kawaida.

$phone_number = $_POST['phone'];

$sms_body = $_POST['body'];

?>

 

 

 

   

   

sms

   

 

 

?&body=">TUMA

 

 

 

 

Kwa kutumia cURL

Hapa sasa ndipo tunakwenda kutumia API, NAMBA, pamoja na P">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 445

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰2 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰3 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 59: static property kwenye PHP

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

Soma Zaidi...
PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

Soma Zaidi...
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Soma Zaidi...
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: PHP OOP class constant

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine

Soma Zaidi...
PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer

Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy

Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Soma Zaidi...