PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. unaweza kutuma na kupokea sms kwa kutumia PHP ila katika somo hili tutajifunza tu jinsi ya kutuma sms. Kitu cha msingi unachotakiwa kukijuwa ni kuwa kutuma sms  ni gharama kuliko kutuma email. Kwa kuwa kutuma sms utahitajika kuwa na API pamoja na TOKEN. 

 

Kwa nini tunahitaji kutuma sms

  1. Kwa ajili ya kuwataarifu na kuwakumbusha wateja

  2. Kwa ajili ya kutuma OTP

  3. Kwa ajili ya kutangaza biashara yako

  4. Kufanya huduma ya bulk sms

 

Kabla ya kuanza somo hakikisha umefanya yafuatayo:-

  1. Umeshapata API na TOKEN hizi unaweza kuzipata kwa kujisajili kwenye pltform zinazofanya huduma hii. Kuna platform nyingi ikiwemo twilio ambayo ni maarufu sana. Katika somo hili tutatumia sinch unaweza kujiunga kupitia sinch.com utaanza na Free account. Baada ya kujisajili utanunua namba ya kutumia. Kisha utapewa token na Api baada ya hapo njoo tuendelee na somo. 

  2. Hakikisha unatumia PHP version ya 7.4.3 ama zaidi ya hapo. 

  3. Hakukuwa server yako inatumia cURL

 

Baada ya kukamilisha mahitaji hayo utakuwa tayari kuendelea pamoja nami. Kumbuka utakughatimu kiasi cha pesa kukamilisha setting hizo kama kupata namba,  API na token. 

 

Utumaji wa sms kutoka kwenye web

Kuna njia mbili nitakwenda kuzifundisha hapa za kutuma sms kupitia web.  Njia ya kwanza ni kwa kutumia html anchor kwenye link ambayobinafunguwa sms app. Njia hii itatumia sms kwa kupitia simu yako mwenyewe. Njia hii haina gharama za ziada,  yenyewe inatumia bando lako la kawaida. Wala pia haihitaji kujisajili kwenye platform nyinginezo za kupata API na TOKEN. 

 

Njia ya pili ni kwa kutumia cURL ambapo tutakwenda kutumia sinch platform. Njia hii ndio itahitaji API na TOKEN. Njia hiibjna gharama na inatumia sms moja kwa moja kwenye website na sio kupitia sms app. 

 

Kwa kutumia html anchor tag. 

Hapa kwanza tutatengeneza html form ya kuandika ujumbe wetu. Kisha tutaweka ukurasa wa kutumia ambapo mtu atabofya batani ya kutuma. Batani hiyo itakuwa na anchor tag. Anchor tag ni tag hii itakuwa na attribute kama sms ili kuweza kutuma sms pia itakuwa na body ambapo hukaa ujumbe. 

 

 

  1. sms.html

Hii ni html form ambayo itakuwa na input mbili tu ambazo ni namba ya simu, na body ambapo utaweza kuandika sms. Kwenye ndamba ya simu endapo zitakuwa nyingi utatengenisha kwa alama ya (;)

 

 

 

   

   

sms

 

   

 

 

 

   Phone Number

   
 

   Message Body

   

   

 

 

 

sms.php 

Hapa kutakuwa na code za php ambazo zitachukuwa namba ya simu na ujumbe na kuziingiza kwenye anchor attribute. Kisha mtu akibofta neno tuma app ya sms itafunguka ikiwa na ujumbe pamoja na namba za siku. Unachotakiwa ni kutuma kawaida.

$phone_number = $_POST['phone'];

$sms_body = $_POST['body'];

?>

 

 

 

   

   

sms

   

 

 

?&body=">TUMA

 

 

 

 

Kwa kutumia cURL

Hapa sasa ndipo tunakwenda kutumia API, NAMBA, pamoja na P">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 917

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 web hosting    πŸ‘‰2 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰3 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

Soma Zaidi...
PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer

Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy

Soma Zaidi...
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.

Soma Zaidi...
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Soma Zaidi...