picha

PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine

Katika somo la 14 umejifunza namna ambavyo unaweza kuongeza taarifa kwenye database kwa kutumia HTML form. Katika somo hili tutakwenda kutengeneza project, kwa ajili ya kuchat public na watu mbalimbali.

 

kabla hatujaendlea na somo hili nataka kwanza nikufahamishe jambo. tambuwa kuwa project hii ni kukupa tu mwangaza kuhusu kutengeneza ukurasa wa kuchat. Tutakwenda kutengeneza system iliyo rahisi sana kulingana na kile tulichokisoma tu. hii itakuwa system rahisi sana, iliyokusudiwa kuonyesha tu namna ambavtyo mambo yanavyokwenda. Tutajifunza kutengeneza system kama hizi zilizo madhubuti katika course itakayofuata ya PHP LEVEL 3.

 

Sehemu kuu za project hii:

Project hii itakuwa katika sehemu kuu 4 yaani itakuwa na mafaili manne. katika mpangilio ufuatao:-

  1. Ukurasa kwa ajili ya kujisajili

  2. Ukurasa kwa ajili ya ku login

  3. Ukurasa kwa ajili ya kutuma na kupokea meseji

  4. ukurasa wa ku logout

 

Hivyo basi system hii itafanya kazi katika kurasa kuu hizo. kwanza mtu atajisajili, baada ya kujisajili atapelekwa kwenye ukurasa wa ku log in, kisha mchakato ukikamlika atapelekwa kwenye dashboard kwa ajili ya kuona meseji zilizotumwa na kutuma na yeye.

 

  1. Kuandaa database

Katika database yetu ya hotel, ingia kwenye uwanja wa SQL kisha pest code hizi kutengeneza table yenye jina users

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `users` (

 `id` int(11) NOT NULL,

 `name` varchar(255) NOT NULL,

 `email` varchar(255) NOT NULL,

 `password` varchar(255) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

 

Ingia kwenye seting za table kisha edit id, iweke PRIMARY kisha weka tiki kwenye AI ili kuifanya autoincrement. Rejea mafunzo ya database level 1. Table hii kazi yake ni kuhifadhi taarifa za watumiaji wa system. Kuna id, name kuhufadhi majina, kuna email kwa ajili ya kuhifadhi email zao na password kwa ajili ya kuuhifadhi password za user.

 

Kisha pest code zifuatazo kutengeneza table yenye jina la message hii ni kwa ajili ya kuhifadhi meseji zote zinazotumwa.

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `message` (

 `id` int(100) NOT NULL,

 `sms` text NOT NULL,

 `sender` varchar(255) NOT NULL,

 `date` varchar(255) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

 

Table hii ya meseji ina id, sms kwa ajili ya kuhifadhi meseji senyewe, pia kuna sender hili ni jina la aliyetuma hiyo meseji, na date ni kwa ajili ya kuhifadhi tarehe na muda wa hiyo meseji.  

 

 

  1. Ukurasa wa kujisajili (reg.php)

Tengeneza faili liite reg.php kisha pest code hizi

h1><b>Registration form</b></h1>

<form method="post" action="">

   <input type="hidden" name="add" value="1">

   <label>Name</label><br>

   <input type="text" placeholder="Jina lako"  name="name"><br>

   <label>email</label><br>

   <input type="email" placeholder="Weka Email"  name="email"><br>

   <label>Password</label><br>

   <input type="password" placeholder="Weka password "  name="password"><br>

  <input type="submit" value="save">

</form>

 

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

 

if(isset($_POST["add"])){

   //prepare variable

   $name = ($_POST['name']);

   $email = ($_POST['email']);

   $pass = ($_POST['password']);

   //connect database

   $conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

   //insert data in database

   $sql = "INSERT INTO users (name, email, password) VALUES ('$name', '$email', '$pass')";

   if (mysqli_query($conn, $sql)) {

       header("location: login.php");

   } else {

       echo "Error: " . $sql . "<br>" . mysqli_error($conn);

   }

   mysqli_close($conn);

}

 

?>

 

Code hizi hazina utofauti sana na tulizozipitia katika somo lililopita. Ni ukurasa hii ni sawa na ule ukurasa wa kuongeza data kwa kutumia html form. Hap kilichobadilika lamda kwenye user input kuna password na email. mambo mengine yaliobalia ni sawa na kutengeneza form ya ku add data kama tulivyoona katika somo lililopita.

 

Baada ya mchakato huu wa kujisajili kukamilika mtu atapelekwa moja kwa moja kwenye ukurasa wa ku login header("location: login.php") hapo atatakiwa ku log in kwa kutumia name na email.

 

  1. Ukurasa wa ku login (login.php)

Tengeneza ukurasa mwengine wa php na upe jina la login.php. Kisha pest code hizi

<?php error_reporting (E_ALL ^ E_NOTICE); ?>

<?php

 

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

 

if(isset($_POST["save"])) {

//prepare variable

$name = ($_POST['name']);

$pass = ($_POST['password']);}

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `users` ");

while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

   ?>

   <?php

   if ($fetch['name'] == $name & $fetch['password'] == $pass  ){

       header("location: dashboard.php?name=$name");

   }else echo "";

   ?>

<?php }?>

<h1><b>Login form</b></h1>

<form method="post" action="login.php">

   <input type="hidden" name="save" value="1">

   <label>Name</label><br>

   <input type="text" placeholder="Jina lako"  name="name"><br>

   <label>Password</label><br>

   <input type="password" placeholder="Weka password "  name="password"><br>

   <input type="submit" value="Submit">

</form>

 

 

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-18 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 1203

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address

Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 39: Jinsi ya kutengeneza mafaili na mafolda kwenye server kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Soma Zaidi...
PHP somo la 79: Custom header

Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog

HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog

Soma Zaidi...
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

Soma Zaidi...
PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

Soma Zaidi...
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable

Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.

Soma Zaidi...