image

PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine

Katika somo la 14 umejifunza namna ambavyo unaweza kuongeza taarifa kwenye database kwa kutumia HTML form. Katika somo hili tutakwenda kutengeneza project, kwa ajili ya kuchat public na watu mbalimbali.

 

kabla hatujaendlea na somo hili nataka kwanza nikufahamishe jambo. tambuwa kuwa project hii ni kukupa tu mwangaza kuhusu kutengeneza ukurasa wa kuchat. Tutakwenda kutengeneza system iliyo rahisi sana kulingana na kile tulichokisoma tu. hii itakuwa system rahisi sana, iliyokusudiwa kuonyesha tu namna ambavtyo mambo yanavyokwenda. Tutajifunza kutengeneza system kama hizi zilizo madhubuti katika course itakayofuata ya PHP LEVEL 3.

 

Sehemu kuu za project hii:

Project hii itakuwa katika sehemu kuu 4 yaani itakuwa na mafaili manne. katika mpangilio ufuatao:-

  1. Ukurasa kwa ajili ya kujisajili

  2. Ukurasa kwa ajili ya ku login

  3. Ukurasa kwa ajili ya kutuma na kupokea meseji

  4. ukurasa wa ku logout

 

Hivyo basi system hii itafanya kazi katika kurasa kuu hizo. kwanza mtu atajisajili, baada ya kujisajili atapelekwa kwenye ukurasa wa ku log in, kisha mchakato ukikamlika atapelekwa kwenye dashboard kwa ajili ya kuona meseji zilizotumwa na kutuma na yeye.

 

  1. Kuandaa database

Katika database yetu ya hotel, ingia kwenye uwanja wa SQL kisha pest code hizi kutengeneza table yenye jina users

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `users` (

 `id` int(11) NOT NULL,

 `name` varchar(255) NOT NULL,

 `email` varchar(255) NOT NULL,

 `password` varchar(255) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

 

Ingia kwenye seting za table kisha edit id, iweke PRIMARY kisha weka tiki kwenye AI ili kuifanya autoincrement. Rejea mafunzo ya database level 1. Table hii kazi yake ni kuhifadhi taarifa za watumiaji wa system. Kuna id, name kuhufadhi majina, kuna email kwa ajili ya kuhifadhi email zao na password kwa ajili ya kuuhifadhi password za user.

 

Kisha pest code zifuatazo kutengeneza table yenye jina la message hii ni kwa ajili ya kuhifadhi meseji zote zinazotumwa.

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `message` (

 `id` int(100) NOT NULL,

 `sms` text NOT NULL,

 `sender` varchar(255) NOT NULL,

 `date` varchar(255) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

 

Table hii ya meseji ina id, sms kwa ajili ya kuhifadhi meseji senyewe, pia kuna sender hili ni jina la aliyetuma hiyo meseji, na date ni kwa ajili ya kuhifadhi tarehe na muda wa hiyo meseji.  

 

 

  1. Ukurasa wa kujisajili (reg.php)

Tengeneza faili liite reg.php kisha pest code hizi

h1><b>Registration form</b></h1>

<form method="post" action="">

   <input type="hidden" name="add" value="1">

   <label>Name</label><br>

   <input type="text" placeholder="Jina lako"  name="name"><br>

   <label>email</label><br>

   <input type="email" placeholder="Weka Email"  name="email"><br>

   <label>Password</label><br>

   <input type="password" placeholder="Weka password "  name="password"><br>

  <input type="submit" value="save">

</form>

 

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

 

if(isset($_POST["add"])){

   //prepare variable

   $name = ($_POST['name']);

   $email = ($_POST['email']);

   $pass = ($_POST['password']);

   //connect database

   $conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

   //insert data in database

   $sql = "INSERT INTO users (name, email, password) VALUES ('$name', '$email', '$pass')";

   if (mysqli_query($conn, $sql)) {

       header("location: login.php");

   } else {

       echo "Error: " . $sql . "<br>" . mysqli_error($conn);

   }

   mysqli_close($conn);

}

 

?>

 

Code hizi hazina utofauti sana na tulizozipitia katika somo lililopita. Ni ukurasa hii ni sawa na ule ukurasa wa kuongeza data kwa kutumia html form. Hap kilichobadilika lamda kwenye user input kuna password na email. mambo mengine yaliobalia ni sawa na kutengeneza form ya ku add data kama tulivyoona katika somo lililopita.

 

Baada ya mchakato huu wa kujisajili kukamilika mtu atapelekwa moja kwa moja kwenye ukurasa wa ku login header("location: login.php") hapo atatakiwa ku log in kwa kutumia name na email.

 

  1. Ukurasa wa ku login (login.php)

Tengeneza ukurasa mwengine wa php na upe jina la login.php. Kisha pest code hizi

<?php error_reporting (E_ALL ^ E_NOTICE); ?>

<?php

 

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

 

if(isset($_POST["save"])) {

//prepare variable

$name = ($_POST['name']);

$pass = ($_POST['password']);}

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `users` ");

while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

   ?>

   <?php

   if ($fetch['name'] == $name & $fetch['password'] == $pass  ){

       header("location: dashboard.php?name=$name");

   }else echo "";

   ?>

<?php }?>

<h1><b>Login form</b></h1>

<form method="post" action="login.php">

   <input type="hidden" name="save" value="1">

   <label>Name</label><br>

   <input type="text" placeholder="Jina lako"  name="name"><br>

   <label>Password</label><br>

   <input type="password" placeholder="Weka password "  name="password"><br>

   <input type="submit" value="Submit">

</form>

 

 

...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 243


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable Soma Zaidi...

PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database
Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database Soma Zaidi...

PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP. Soma Zaidi...

PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css. Soma Zaidi...

PHP - somo la 39: Jinsi ya kutengeneza mafaili na mafolda kwenye server kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form Soma Zaidi...

PHP somo la 80: Authentication header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog
Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog. Soma Zaidi...

PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali Soma Zaidi...

PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP. Soma Zaidi...

PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia Soma Zaidi...