Navigation Menu



image

PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine

Katika somo la 14 umejifunza namna ambavyo unaweza kuongeza taarifa kwenye database kwa kutumia HTML form. Katika somo hili tutakwenda kutengeneza project, kwa ajili ya kuchat public na watu mbalimbali.

 

kabla hatujaendlea na somo hili nataka kwanza nikufahamishe jambo. tambuwa kuwa project hii ni kukupa tu mwangaza kuhusu kutengeneza ukurasa wa kuchat. Tutakwenda kutengeneza system iliyo rahisi sana kulingana na kile tulichokisoma tu. hii itakuwa system rahisi sana, iliyokusudiwa kuonyesha tu namna ambavtyo mambo yanavyokwenda. Tutajifunza kutengeneza system kama hizi zilizo madhubuti katika course itakayofuata ya PHP LEVEL 3.

 

Sehemu kuu za project hii:

Project hii itakuwa katika sehemu kuu 4 yaani itakuwa na mafaili manne. katika mpangilio ufuatao:-

  1. Ukurasa kwa ajili ya kujisajili

  2. Ukurasa kwa ajili ya ku login

  3. Ukurasa kwa ajili ya kutuma na kupokea meseji

  4. ukurasa wa ku logout

 

Hivyo basi system hii itafanya kazi katika kurasa kuu hizo. kwanza mtu atajisajili, baada ya kujisajili atapelekwa kwenye ukurasa wa ku log in, kisha mchakato ukikamlika atapelekwa kwenye dashboard kwa ajili ya kuona meseji zilizotumwa na kutuma na yeye.

 

  1. Kuandaa database

Katika database yetu ya hotel, ingia kwenye uwanja wa SQL kisha pest code hizi kutengeneza table yenye jina users

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `users` (

 `id` int(11) NOT NULL,

 `name` varchar(255) NOT NULL,

 `email` varchar(255) NOT NULL,

 `password` varchar(255) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

 

Ingia kwenye seting za table kisha edit id, iweke PRIMARY kisha weka tiki kwenye AI ili kuifanya autoincrement. Rejea mafunzo ya database level 1. Table hii kazi yake ni kuhifadhi taarifa za watumiaji wa system. Kuna id, name kuhufadhi majina, kuna email kwa ajili ya kuhifadhi email zao na password kwa ajili ya kuuhifadhi password za user.

 

Kisha pest code zifuatazo kutengeneza table yenye jina la message hii ni kwa ajili ya kuhifadhi meseji zote zinazotumwa.

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `message` (

 `id` int(100) NOT NULL,

 `sms` text NOT NULL,

 `sender` varchar(255) NOT NULL,

 `date` varchar(255) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

 

Table hii ya meseji ina id, sms kwa ajili ya kuhifadhi meseji senyewe, pia kuna sender hili ni jina la aliyetuma hiyo meseji, na date ni kwa ajili ya kuhifadhi tarehe na muda wa hiyo meseji.  

 

 

  1. Ukurasa wa kujisajili (reg.php)

Tengeneza faili liite reg.php kisha pest code hizi

h1><b>Registration form</b></h1>

<form method="post" action="">

   <input type="hidden" name="add" value="1">

   <label>Name</label><br>

   <input type="text" placeholder="Jina lako"  name="name"><br>

   <label>email</label><br>

   <input type="email" placeholder="Weka Email"  name="email"><br>

   <label>Password</label><br>

   <input type="password" placeholder="Weka password "  name="password"><br>

  <input type="submit" value="save">

</form>

 

<?php

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

 

if(isset($_POST["add"])){

   //prepare variable

   $name = ($_POST['name']);

   $email = ($_POST['email']);

   $pass = ($_POST['password']);

   //connect database

   $conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

   //insert data in database

   $sql = "INSERT INTO users (name, email, password) VALUES ('$name', '$email', '$pass')";

   if (mysqli_query($conn, $sql)) {

       header("location: login.php");

   } else {

       echo "Error: " . $sql . "<br>" . mysqli_error($conn);

   }

   mysqli_close($conn);

}

 

?>

 

Code hizi hazina utofauti sana na tulizozipitia katika somo lililopita. Ni ukurasa hii ni sawa na ule ukurasa wa kuongeza data kwa kutumia html form. Hap kilichobadilika lamda kwenye user input kuna password na email. mambo mengine yaliobalia ni sawa na kutengeneza form ya ku add data kama tulivyoona katika somo lililopita.

 

Baada ya mchakato huu wa kujisajili kukamilika mtu atapelekwa moja kwa moja kwenye ukurasa wa ku login header("location: login.php") hapo atatakiwa ku log in kwa kutumia name na email.

 

  1. Ukurasa wa ku login (login.php)

Tengeneza ukurasa mwengine wa php na upe jina la login.php. Kisha pest code hizi

<?php error_reporting (E_ALL ^ E_NOTICE); ?>

<?php

 

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";

 

 

if(isset($_POST["save"])) {

//prepare variable

$name = ($_POST['name']);

$pass = ($_POST['password']);}

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);

$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `users` ");

while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){

   ?>

   <?php

   if ($fetch['name'] == $name & $fetch['password'] == $pass  ){

       header("location: dashboard.php?name=$name");

   }else echo "";

   ?>

<?php }?>

<h1><b>Login form</b></h1>

<form method="post" action="login.php">

   <input type="hidden" name="save" value="1">

   <label>Name</label><br>

   <input type="text" placeholder="Jina lako"  name="name"><br>

   <label>Password</label><br>

   <input type="password" placeholder="Weka password "  name="password"><br>

   <input type="submit" value="Submit">

</form>

 

 

...



Nicheki WhatsApp kwa maswali





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Project File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 410


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

PHP somo la 79: Custom header
Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake Soma Zaidi...

PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?
Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake Soma Zaidi...

PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO
Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete. Soma Zaidi...

PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php
Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php Soma Zaidi...

PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer
Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy Soma Zaidi...

PHP somo la 91: Mambo ya kuzingatia unapokuwa unashughulika na data za json
Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json Soma Zaidi...

PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php Soma Zaidi...

PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP
Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake. Soma Zaidi...

PHP somo la 82: Content-Disposition
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition Soma Zaidi...

PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake. Soma Zaidi...

PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post
Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json Soma Zaidi...

PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database
Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database Soma Zaidi...