PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

KUTUMA EMAIL:

Katika somo hili tunakqenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php. Kuna njia kama tatu za kutuma email kwa kutumia php. Ila katika somo hili .nitakufundisha njia moja ambayo ni kwa kutumai mail().

 

Njia hii ni nyepesi, ila itahitaji uwe umeshahost. Haifanyikazi kwenye localhost. Hivyo hakikisha unahost faili lako live ndipo liweze kufanya kazi.

 

Function hii ina sehemu kuu tano yaani parameta 5 ambazo ni:-

  1. To

  2. From

  3. Header

  4. Message

  5. Subject

 

To hii itabeba email ya mpokeaji wa hiyo email. From hutumika kubeba email ya mtumaji. Header hii hubeba meta information.kama wapi ukumbe umetoka, na wapi utaweza ku reply. Massage hapa ndipo ambapo utaandika meseji yako. Subject hubeba kicha cha habari. 

 

Mfano:

mail($to,$subject,$message, $headers)

  1. Wacha tuone jinsi ya kutuma plain text email:

<?php

$from = "non-reply@bongoclass.com";

$to = "josh@example.com";

$subject = "greetings from Bongoclass";

$message = "haloo karibu bongoclass";

$headers = "From:" . $from;

if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {

   echo "Email imetumwa";

} else {

   echo "Email imeshindwa kwenda";

}

?>

 

Hapo kwenye josh@example.com utaweka emaili ya unayemtumia na hapo kwenye non-reply@bongoclass.com  utaweka emaili ya mtumaji. Nimrtumia if() ili kcheki kama ujumbe umetumwa ama laa. Kama umetumwa basi italeta ujumbe kuwa email imetuwa.      

 

  1. Jinsi ya kutuma html

Sasa kama unataka kuboresha muonekano wa meseji yako jinsi itakavyoonekana na ukataka kutumia style, wama kutumia html hapa nitakwenda kukujuza. Html zitatakiw akukaa hapo kwenye ujumbe. Ila changamoto ni kuwa kwa code zetu hapo juu utatuma html file kama text file hivyo haitakuwa na muonekano wa ujumbe bali ni code.

 

Ili kutatuwa tatizo hilo tutatakiwa kuongeza metadata info kwenye header. Tutakwenda kutumia utf-8. $headers = "From:" . $from .

   "Content-type:text/html;charset=UTF-8" . " ";

Kisha tutaweka html code kwenye message. Hivyo faili letu litaonekana hivi:-

<?php

$from = "non-reply@bongoclass.com";

$to = "josh@example.com";

$subject = "greetings from Bongoclass";

$message = "<html>

<head>

   <title>Karibu Bongoclass</title>

</head>

<body>

<h1>tunakutakia siku njema</h1>

<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed #FB4314; width: 100%;">

   <tr>

       <th>Web:</th><td>Bongoclass</td>

   </tr>

   <tr style="background-color: #e0e0e0;">

       <th>Email:</th><td>mafunzo@bongoclass.com</td>

   </tr>

   <tr>

       <th>url:</th><td><a href="http://www.bongoclass.com">www.bongoclass.com</a></td>

   </tr>

</table>

</body>

</html>";

$headers = "From:" . $from ." ".

   "Content-type:text/html;charset=UTF-8";

if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {

   echo "Email imetumwa";

} else {

   echo "Email imeshindwa kwenda";

}

?>

 

2. Kutuma ujumbe kutoka kwenye html file

Sasa endapo ujumbe wako upo kwenye faili la html, na unataka kutuma faili kama lilivyo ili huko ambape maudhui ya faili hilo. Kufanya hivi tutatumia zile function za mafaili kama tulivyojifunza kwenye masomo yaliotangulia.

 

Sasa tutatengeneza html file kisha tutaliita mail.html

mail.html

<html>

<head>

   <title>Karibu Bongoclass</title>

</head>

<body>

<h1>tunakutakia siku njema</h1>

<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed ">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 733

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 100: Jinsi ya kutumia sql moja kwa moja kwenye ORM ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project

Soma Zaidi...
PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Soma Zaidi...
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

Soma Zaidi...
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

Soma Zaidi...
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...