Menu



PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

KUTUMA EMAIL:

Katika somo hili tunakqenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php. Kuna njia kama tatu za kutuma email kwa kutumia php. Ila katika somo hili .nitakufundisha njia moja ambayo ni kwa kutumai mail().

 

Njia hii ni nyepesi, ila itahitaji uwe umeshahost. Haifanyikazi kwenye localhost. Hivyo hakikisha unahost faili lako live ndipo liweze kufanya kazi.

 

Function hii ina sehemu kuu tano yaani parameta 5 ambazo ni:-

  1. To

  2. From

  3. Header

  4. Message

  5. Subject

 

To hii itabeba email ya mpokeaji wa hiyo email. From hutumika kubeba email ya mtumaji. Header hii hubeba meta information.kama wapi ukumbe umetoka, na wapi utaweza ku reply. Massage hapa ndipo ambapo utaandika meseji yako. Subject hubeba kicha cha habari. 

 

Mfano:

mail($to,$subject,$message, $headers)

  1. Wacha tuone jinsi ya kutuma plain text email:

<?php

$from = "non-reply@bongoclass.com";

$to = "josh@example.com";

$subject = "greetings from Bongoclass";

$message = "haloo karibu bongoclass";

$headers = "From:" . $from;

if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {

   echo "Email imetumwa";

} else {

   echo "Email imeshindwa kwenda";

}

?>

 

Hapo kwenye josh@example.com utaweka emaili ya unayemtumia na hapo kwenye non-reply@bongoclass.com  utaweka emaili ya mtumaji. Nimrtumia if() ili kcheki kama ujumbe umetumwa ama laa. Kama umetumwa basi italeta ujumbe kuwa email imetuwa.      

 

  1. Jinsi ya kutuma html

Sasa kama unataka kuboresha muonekano wa meseji yako jinsi itakavyoonekana na ukataka kutumia style, wama kutumia html hapa nitakwenda kukujuza. Html zitatakiw akukaa hapo kwenye ujumbe. Ila changamoto ni kuwa kwa code zetu hapo juu utatuma html file kama text file hivyo haitakuwa na muonekano wa ujumbe bali ni code.

 

Ili kutatuwa tatizo hilo tutatakiwa kuongeza metadata info kwenye header. Tutakwenda kutumia utf-8. $headers = "From:" . $from .

   "Content-type:text/html;charset=UTF-8" . " ";

Kisha tutaweka html code kwenye message. Hivyo faili letu litaonekana hivi:-

<?php

$from = "non-reply@bongoclass.com";

$to = "josh@example.com";

$subject = "greetings from Bongoclass";

$message = "<html>

<head>

   <title>Karibu Bongoclass</title>

</head>

<body>

<h1>tunakutakia siku njema</h1>

<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed #FB4314; width: 100%;">

   <tr>

       <th>Web:</th><td>Bongoclass</td>

   </tr>

   <tr style="background-color: #e0e0e0;">

       <th>Email:</th><td>mafunzo@bongoclass.com</td>

   </tr>

   <tr>

       <th>url:</th><td><a href="http://www.bongoclass.com">www.bongoclass.com</a></td>

   </tr>

</table>

</body>

</html>";

$headers = "From:" . $from ." ".

   "Content-type:text/html;charset=UTF-8";

if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {

   echo "Email imetumwa";

} else {

   echo "Email imeshindwa kwenda";

}

?>

 

2. Kutuma ujumbe kutoka kwenye html file

Sasa endapo ujumbe wako upo kwenye faili la html, na unataka kutuma faili kama lilivyo ili huko ambape maudhui ya faili hilo. Kufanya hivi tutatumia zile function za mafaili kama tulivyojifunza kwenye masomo yaliotangulia.

 

Sasa tutatengeneza html file kisha tutaliita mail.html

mail.html

<html>

<head>

   <title>Karibu Bongoclass</title>

</head>

<body>

<h1>tunakutakia siku njema</h1>

<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed #FB4314; width: 100%;&q">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 365

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...
PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Soma Zaidi...
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

Soma Zaidi...
PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...