Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
KUTUMA EMAIL:
Katika somo hili tunakqenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php. Kuna njia kama tatu za kutuma email kwa kutumia php. Ila katika somo hili .nitakufundisha njia moja ambayo ni kwa kutumai mail().
Njia hii ni nyepesi, ila itahitaji uwe umeshahost. Haifanyikazi kwenye localhost. Hivyo hakikisha unahost faili lako live ndipo liweze kufanya kazi.
Function hii ina sehemu kuu tano yaani parameta 5 ambazo ni:-
To
From
Header
Message
Subject
To hii itabeba email ya mpokeaji wa hiyo email. From hutumika kubeba email ya mtumaji. Header hii hubeba meta information.kama wapi ukumbe umetoka, na wapi utaweza ku reply. Massage hapa ndipo ambapo utaandika meseji yako. Subject hubeba kicha cha habari.
Mfano:
mail($to,$subject,$message, $headers)
Wacha tuone jinsi ya kutuma plain text email:
<?php
$from = "non-reply@bongoclass.com";
$to = "josh@example.com";
$subject = "greetings from Bongoclass";
$message = "haloo karibu bongoclass";
$headers = "From:" . $from;
if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {
echo "Email imetumwa";
} else {
echo "Email imeshindwa kwenda";
}
?>
Hapo kwenye josh@example.com utaweka emaili ya unayemtumia na hapo kwenye non-reply@bongoclass.com utaweka emaili ya mtumaji. Nimrtumia if() ili kcheki kama ujumbe umetumwa ama laa. Kama umetumwa basi italeta ujumbe kuwa email imetuwa.
Jinsi ya kutuma html
Sasa kama unataka kuboresha muonekano wa meseji yako jinsi itakavyoonekana na ukataka kutumia style, wama kutumia html hapa nitakwenda kukujuza. Html zitatakiw akukaa hapo kwenye ujumbe. Ila changamoto ni kuwa kwa code zetu hapo juu utatuma html file kama text file hivyo haitakuwa na muonekano wa ujumbe bali ni code.
Ili kutatuwa tatizo hilo tutatakiwa kuongeza metadata info kwenye header. Tutakwenda kutumia utf-8. $headers = "From:" . $from .
"Content-type:text/html;charset=UTF-8" . " ";
Kisha tutaweka html code kwenye message. Hivyo faili letu litaonekana hivi:-
<?php
$from = "non-reply@bongoclass.com";
$to = "josh@example.com";
$subject = "greetings from Bongoclass";
$message = "<html>
<head>
<title>Karibu Bongoclass</title>
</head>
<body>
<h1>tunakutakia siku njema</h1>
<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed #FB4314; width: 100%;">
<tr>
<th>Web:</th><td>Bongoclass</td>
</tr>
<tr style="background-color: #e0e0e0;">
<th>Email:</th><td>mafunzo@bongoclass.com</td>
</tr>
<tr>
<th>url:</th><td><a href="http://www.bongoclass.com">www.bongoclass.com</a></td>
</tr>
</table>
</body>
</html>";
$headers = "From:" . $from ." ".
"Content-type:text/html;charset=UTF-8";
if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {
echo "Email imetumwa";
} else {
echo "Email imeshindwa kwenda";
}
?>
2. Kutuma ujumbe kutoka kwenye html file
Sasa endapo ujumbe wako upo kwenye faili la html, na unataka kutuma faili kama lilivyo ili huko ambape maudhui ya faili hilo. Kufanya hivi tutatumia zile function za mafaili kama tulivyojifunza kwenye masomo yaliotangulia.
Sasa tutatengeneza html file kisha tutaliita mail.html
mail.html
<html>
<head>
<title>Karibu Bongoclass</title>
</head>
<body>
<h1>tunakutakia siku njema</h1>
<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed ">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
Soma Zaidi...