PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

KUTUMA EMAIL:

Katika somo hili tunakqenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php. Kuna njia kama tatu za kutuma email kwa kutumia php. Ila katika somo hili .nitakufundisha njia moja ambayo ni kwa kutumai mail().

 

Njia hii ni nyepesi, ila itahitaji uwe umeshahost. Haifanyikazi kwenye localhost. Hivyo hakikisha unahost faili lako live ndipo liweze kufanya kazi.

 

Function hii ina sehemu kuu tano yaani parameta 5 ambazo ni:-

  1. To

  2. From

  3. Header

  4. Message

  5. Subject

 

To hii itabeba email ya mpokeaji wa hiyo email. From hutumika kubeba email ya mtumaji. Header hii hubeba meta information.kama wapi ukumbe umetoka, na wapi utaweza ku reply. Massage hapa ndipo ambapo utaandika meseji yako. Subject hubeba kicha cha habari. 

 

Mfano:

mail($to,$subject,$message, $headers)

  1. Wacha tuone jinsi ya kutuma plain text email:

<?php

$from = "non-reply@bongoclass.com";

$to = "josh@example.com";

$subject = "greetings from Bongoclass";

$message = "haloo karibu bongoclass";

$headers = "From:" . $from;

if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {

   echo "Email imetumwa";

} else {

   echo "Email imeshindwa kwenda";

}

?>

 

Hapo kwenye josh@example.com utaweka emaili ya unayemtumia na hapo kwenye non-reply@bongoclass.com  utaweka emaili ya mtumaji. Nimrtumia if() ili kcheki kama ujumbe umetumwa ama laa. Kama umetumwa basi italeta ujumbe kuwa email imetuwa.      

 

  1. Jinsi ya kutuma html

Sasa kama unataka kuboresha muonekano wa meseji yako jinsi itakavyoonekana na ukataka kutumia style, wama kutumia html hapa nitakwenda kukujuza. Html zitatakiw akukaa hapo kwenye ujumbe. Ila changamoto ni kuwa kwa code zetu hapo juu utatuma html file kama text file hivyo haitakuwa na muonekano wa ujumbe bali ni code.

 

Ili kutatuwa tatizo hilo tutatakiwa kuongeza metadata info kwenye header. Tutakwenda kutumia utf-8. $headers = "From:" . $from .

   "Content-type:text/html;charset=UTF-8" . " ";

Kisha tutaweka html code kwenye message. Hivyo faili letu litaonekana hivi:-

<?php

$from = "non-reply@bongoclass.com";

$to = "josh@example.com";

$subject = "greetings from Bongoclass";

$message = "<html>

<head>

   <title>Karibu Bongoclass</title>

</head>

<body>

<h1>tunakutakia siku njema</h1>

<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed #FB4314; width: 100%;">

   <tr>

       <th>Web:</th><td>Bongoclass</td>

   </tr>

   <tr style="background-color: #e0e0e0;">

       <th>Email:</th><td>mafunzo@bongoclass.com</td>

   </tr>

   <tr>

       <th>url:</th><td><a href="http://www.bongoclass.com">www.bongoclass.com</a></td>

   </tr>

</table>

</body>

</html>";

$headers = "From:" . $from ." ".

   "Content-type:text/html;charset=UTF-8";

if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {

   echo "Email imetumwa";

} else {

   echo "Email imeshindwa kwenda";

}

?>

 

2. Kutuma ujumbe kutoka kwenye html file

Sasa endapo ujumbe wako upo kwenye faili la html, na unataka kutuma faili kama lilivyo ili huko ambape maudhui ya faili hilo. Kufanya hivi tutatumia zile function za mafaili kama tulivyojifunza kwenye masomo yaliotangulia.

 

Sasa tutatengeneza html file kisha tutaliita mail.html

mail.html

<html>

<head>

   <title>Karibu Bongoclass</title>

</head>

<body>

<h1>tunakutakia siku njema</h1>

<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed ">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 578

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine

Soma Zaidi...
PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database

hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 39: Jinsi ya kutengeneza mafaili na mafolda kwenye server kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address

Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.

Soma Zaidi...
PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post

Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json

Soma Zaidi...
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...