PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
KUTUMA EMAIL:
Katika somo hili tunakqenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php. Kuna njia kama tatu za kutuma email kwa kutumia php. Ila katika somo hili .nitakufundisha njia moja ambayo ni kwa kutumai mail().
Njia hii ni nyepesi, ila itahitaji uwe umeshahost. Haifanyikazi kwenye localhost. Hivyo hakikisha unahost faili lako live ndipo liweze kufanya kazi.
Function hii ina sehemu kuu tano yaani parameta 5 ambazo ni:-
-
To
-
From
-
Header
-
Message
-
Subject
To hii itabeba email ya mpokeaji wa hiyo email. From hutumika kubeba email ya mtumaji. Header hii hubeba meta information.kama wapi ukumbe umetoka, na wapi utaweza ku reply. Massage hapa ndipo ambapo utaandika meseji yako. Subject hubeba kicha cha habari.
Mfano:
mail($to,$subject,$message, $headers)
-
Wacha tuone jinsi ya kutuma plain text email:
<?php
$from = "non-reply@bongoclass.com";
$to = "josh@example.com";
$subject = "greetings from Bongoclass";
$message = "haloo karibu bongoclass";
$headers = "From:" . $from;
if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {
echo "Email imetumwa";
} else {
echo "Email imeshindwa kwenda";
}
?>
Hapo kwenye josh@example.com utaweka emaili ya unayemtumia na hapo kwenye non-reply@bongoclass.com utaweka emaili ya mtumaji. Nimrtumia if() ili kcheki kama ujumbe umetumwa ama laa. Kama umetumwa basi italeta ujumbe kuwa email imetuwa.
-
Jinsi ya kutuma html
Sasa kama unataka kuboresha muonekano wa meseji yako jinsi itakavyoonekana na ukataka kutumia style, wama kutumia html hapa nitakwenda kukujuza. Html zitatakiw akukaa hapo kwenye ujumbe. Ila changamoto ni kuwa kwa code zetu hapo juu utatuma html file kama text file hivyo haitakuwa na muonekano wa ujumbe bali ni code.
Ili kutatuwa tatizo hilo tutatakiwa kuongeza metadata info kwenye header. Tutakwenda kutumia utf-8. $headers = "From:" . $from .
"Content-type:text/html;charset=UTF-8" . " ";
Kisha tutaweka html code kwenye message. Hivyo faili letu litaonekana hivi:-
<?php
$from = "non-reply@bongoclass.com";
$to = "josh@example.com";
$subject = "greetings from Bongoclass";
$message = "<html>
<head>
<title>Karibu Bongoclass</title>
</head>
<body>
<h1>tunakutakia siku njema</h1>
<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed #FB4314; width: 100%;">
<tr>
<th>Web:</th><td>Bongoclass</td>
</tr>
<tr style="background-color: #e0e0e0;">
<th>Email:</th><td>mafunzo@bongoclass.com</td>
</tr>
<tr>
<th>url:</th><td><a href="http://www.bongoclass.com">www.bongoclass.com</a></td>
</tr>
</table>
</body>
</html>";
$headers = "From:" . $from ." ".
"Content-type:text/html;charset=UTF-8";
if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {
echo "Email imetumwa";
} else {
echo "Email imeshindwa kwenda";
}
?>
2. Kutuma ujumbe kutoka kwenye html file
Sasa endapo ujumbe wako upo kwenye faili la html, na unataka kutuma faili kama lilivyo ili huko ambape maudhui ya faili hilo. Kufanya hivi tutatumia zile function za mafaili kama tulivyojifunza kwenye masomo yaliotangulia.
Sasa tutatengeneza html file kisha tutaliita mail.html
mail.html
<html>
<head>
<title>Karibu Bongoclass</title>
</head>
<body>
<h1>tunakutakia siku njema</h1>
...Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database
Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Soma Zaidi...PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table
Soma Zaidi...PHP somo la 83: Server Variables
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
Soma Zaidi...PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.
Soma Zaidi...