PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
KUTUMA EMAIL:
Katika somo hili tunakqenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php. Kuna njia kama tatu za kutuma email kwa kutumia php. Ila katika somo hili .nitakufundisha njia moja ambayo ni kwa kutumai mail().
Njia hii ni nyepesi, ila itahitaji uwe umeshahost. Haifanyikazi kwenye localhost. Hivyo hakikisha unahost faili lako live ndipo liweze kufanya kazi.
Function hii ina sehemu kuu tano yaani parameta 5 ambazo ni:-
-
To
-
From
-
Header
-
Message
-
Subject
To hii itabeba email ya mpokeaji wa hiyo email. From hutumika kubeba email ya mtumaji. Header hii hubeba meta information.kama wapi ukumbe umetoka, na wapi utaweza ku reply. Massage hapa ndipo ambapo utaandika meseji yako. Subject hubeba kicha cha habari.
Mfano:
mail($to,$subject,$message, $headers)
-
Wacha tuone jinsi ya kutuma plain text email:
<?php
$from = "non-reply@bongoclass.com";
$to = "josh@example.com";
$subject = "greetings from Bongoclass";
$message = "haloo karibu bongoclass";
$headers = "From:" . $from;
if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {
echo "Email imetumwa";
} else {
echo "Email imeshindwa kwenda";
}
?>
Hapo kwenye josh@example.com utaweka emaili ya unayemtumia na hapo kwenye non-reply@bongoclass.com utaweka emaili ya mtumaji. Nimrtumia if() ili kcheki kama ujumbe umetumwa ama laa. Kama umetumwa basi italeta ujumbe kuwa email imetuwa.
-
Jinsi ya kutuma html
Sasa kama unataka kuboresha muonekano wa meseji yako jinsi itakavyoonekana na ukataka kutumia style, wama kutumia html hapa nitakwenda kukujuza. Html zitatakiw akukaa hapo kwenye ujumbe. Ila changamoto ni kuwa kwa code zetu hapo juu utatuma html file kama text file hivyo haitakuwa na muonekano wa ujumbe bali ni code.
Ili kutatuwa tatizo hilo tutatakiwa kuongeza metadata info kwenye header. Tutakwenda kutumia utf-8. $headers = "From:" . $from .
"Content-type:text/html;charset=UTF-8" . " ";
Kisha tutaweka html code kwenye message. Hivyo faili letu litaonekana hivi:-
<?php
$from = "non-reply@bongoclass.com";
$to = "josh@example.com";
$subject = "greetings from Bongoclass";
$message = "<html>
<head>
<title>Karibu Bongoclass</title>
</head>
<body>
<h1>tunakutakia siku njema</h1>
<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed #FB4314; width: 100%;">
<tr>
<th>Web:</th><td>Bongoclass</td>
</tr>
<tr style="background-color: #e0e0e0;">
<th>Email:</th><td>mafunzo@bongoclass.com</td>
</tr>
<tr>
<th>url:</th><td><a href="http://www.bongoclass.com">www.bongoclass.com</a></td>
</tr>
</table>
</body>
</html>";
$headers = "From:" . $from ." ".
"Content-type:text/html;charset=UTF-8";
if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {
echo "Email imetumwa";
} else {
echo "Email imeshindwa kwenda";
}
?>
2. Kutuma ujumbe kutoka kwenye html file
Sasa endapo ujumbe wako upo kwenye faili la html, na unataka kutuma faili kama lilivyo ili huko ambape maudhui ya faili hilo. Kufanya hivi tutatumia zile function za mafaili kama tulivyojifunza kwenye masomo yaliotangulia.
Sasa tutatengeneza html file kisha tutaliita mail.html
mail.html
<html>
<head>
<title>Karibu Bongoclass</title>
</head>
<body>
<h1>tunakutakia siku njema</h1>
...Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 ai web app 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement
Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.
Soma Zaidi...PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.
Soma Zaidi...PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Soma Zaidi...PHP somo la 83: Server Variables
Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...