Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
KUTUMA EMAIL:
Katika somo hili tunakqenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php. Kuna njia kama tatu za kutuma email kwa kutumia php. Ila katika somo hili .nitakufundisha njia moja ambayo ni kwa kutumai mail().
Njia hii ni nyepesi, ila itahitaji uwe umeshahost. Haifanyikazi kwenye localhost. Hivyo hakikisha unahost faili lako live ndipo liweze kufanya kazi.
Function hii ina sehemu kuu tano yaani parameta 5 ambazo ni:-
To
From
Header
Message
Subject
To hii itabeba email ya mpokeaji wa hiyo email. From hutumika kubeba email ya mtumaji. Header hii hubeba meta information.kama wapi ukumbe umetoka, na wapi utaweza ku reply. Massage hapa ndipo ambapo utaandika meseji yako. Subject hubeba kicha cha habari.
Mfano:
mail($to,$subject,$message, $headers)
Wacha tuone jinsi ya kutuma plain text email:
<?php
$from = "non-reply@bongoclass.com";
$to = "josh@example.com";
$subject = "greetings from Bongoclass";
$message = "haloo karibu bongoclass";
$headers = "From:" . $from;
if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {
echo "Email imetumwa";
} else {
echo "Email imeshindwa kwenda";
}
?>
Hapo kwenye josh@example.com utaweka emaili ya unayemtumia na hapo kwenye non-reply@bongoclass.com utaweka emaili ya mtumaji. Nimrtumia if() ili kcheki kama ujumbe umetumwa ama laa. Kama umetumwa basi italeta ujumbe kuwa email imetuwa.
Jinsi ya kutuma html
Sasa kama unataka kuboresha muonekano wa meseji yako jinsi itakavyoonekana na ukataka kutumia style, wama kutumia html hapa nitakwenda kukujuza. Html zitatakiw akukaa hapo kwenye ujumbe. Ila changamoto ni kuwa kwa code zetu hapo juu utatuma html file kama text file hivyo haitakuwa na muonekano wa ujumbe bali ni code.
Ili kutatuwa tatizo hilo tutatakiwa kuongeza metadata info kwenye header. Tutakwenda kutumia utf-8. $headers = "From:" . $from .
"Content-type:text/html;charset=UTF-8" . " ";
Kisha tutaweka html code kwenye message. Hivyo faili letu litaonekana hivi:-
<?php
$from = "non-reply@bongoclass.com";
$to = "josh@example.com";
$subject = "greetings from Bongoclass";
$message = "<html>
<head>
<title>Karibu Bongoclass</title>
</head>
<body>
<h1>tunakutakia siku njema</h1>
<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed #FB4314; width: 100%;">
<tr>
<th>Web:</th><td>Bongoclass</td>
</tr>
<tr style="background-color: #e0e0e0;">
<th>Email:</th><td>mafunzo@bongoclass.com</td>
</tr>
<tr>
<th>url:</th><td><a href="http://www.bongoclass.com">www.bongoclass.com</a></td>
</tr>
</table>
</body>
</html>";
$headers = "From:" . $from ." ".
"Content-type:text/html;charset=UTF-8";
if(mail($to,$subject,$message, $headers)) {
echo "Email imetumwa";
} else {
echo "Email imeshindwa kwenda";
}
?>
2. Kutuma ujumbe kutoka kwenye html file
Sasa endapo ujumbe wako upo kwenye faili la html, na unataka kutuma faili kama lilivyo ili huko ambape maudhui ya faili hilo. Kufanya hivi tutatumia zile function za mafaili kama tulivyojifunza kwenye masomo yaliotangulia.
Sasa tutatengeneza html file kisha tutaliita mail.html
mail.html
<html>
<head>
<title>Karibu Bongoclass</title>
</head>
<body>
<h1>tunakutakia siku njema</h1>
<table cellspacing="0" style="border: 2px dashed ">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
Soma Zaidi...Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header
Soma Zaidi...Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...