Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Tutakwend akutumia database yetu iliotangulia na data zilezile sasa kumbuka unapotaka kuedit data kwenye database utatakiwa kutumia id yake ama column ambayo ni unique kwa sisi hapo coumn ambayo ni unique ni id. Hivyo tutatakiwa kuijuwa id ya mwanafunzi ambaye tunataka ku edit jina lake.
Mfano tunataka kubadili ina la mwajuma kuwa mwanaisha Sasa zingatia kuwa jina la mwajuma lipo id ya 3, hivyo tutakwenda kutumia id hiyo ili kubadili jina. Sasa hapa nitakwenda kutengeneza function ya ku edit taarifa
function editRecord($conn, $id, $jina) {
$query = "UPDATE matokeo SET jina = :jinaJipya WHERE id = :id";
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->bindParam(':id', $id);
$stmt->bindParam(':jinaJipya', $jina);
// Execute the update query
$stmt->execute();
}
Kama utaiangalia function hii utaona kuna utofauti kifogo wa hizi code toka tulipoanza kuselect somo lililotangulia na hapa Tofauti na kutumis prepared statement ambapo huwa tunaweka alama ya ? mfano update matokeo set jina =? Where id =?. Sasa hii njia ya vidoi kama unavyoona hapo update matokeo set jina =:jina-jipya hii inatuwezesha sisi kuipa jina parameter yetu tofauti na jina la awali.
Njia hii unaweza pia kuitumia kwenye query nyinginezo kama za ku select. Mfano
$query = "SELECT * FROM users WHERE username = :username AND email = :email";
$stmt = $conn->prepare($query);
$username = 'john_doe';
$email = 'john@example.com';
$stmt->bindParam(':username', $username);
$stmt->bindParam(':email', $email);
Code zote zitaonekana hivi:
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);
// Function to edit a record in the database
function editRecord($conn, $id, $jina) {
$query = "UPDATE matokeo SET jina = :jinaJipya WHERE id = :id";
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->bindParam(':id', $id);
$stmt->bindParam(':jinaJipya', $jina);
// Execute the update query
$stmt->execute();
}
// Example: Edit the record with ID = 1 and set the new name to 'New Name'
editRecord($conn, 3, 'Mwanaisha');
// Code to read data from the database
$query = "SELECT * FROM matokeo";
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
// Fetch data using fetchAll
$result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);
// You can iterate through the result and do something with each row
foreach ($result as $row) {
// Access individual columns using $row['column_name']
echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";
}
} catch (PDOException $e) {
echo "Imefeli kuunganishwa: " . $e->getMessage();
} finally {
// Close the connection
$conn = null;
}
?>
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file
Soma Zaidi...