picha

PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO

Tutakwend akutumia database yetu iliotangulia na data zilezile sasa kumbuka unapotaka kuedit data kwenye database utatakiwa kutumia id yake ama column ambayo ni unique kwa sisi hapo coumn ambayo ni unique ni id. Hivyo tutatakiwa kuijuwa id ya mwanafunzi ambaye tunataka ku edit jina lake.

 

Mfano tunataka kubadili ina la mwajuma kuwa mwanaisha Sasa zingatia kuwa jina la mwajuma lipo id  ya 3, hivyo tutakwenda kutumia id hiyo ili kubadili jina. Sasa hapa nitakwenda kutengeneza function ya ku edit taarifa

 

function editRecord($conn, $id, $jina) {

   $query = "UPDATE matokeo SET jina = :jinaJipya WHERE id = :id";

   $stmt = $conn->prepare($query);

   $stmt->bindParam(':id', $id);

   $stmt->bindParam(':jinaJipya', $jina);

 

   // Execute the update query

   $stmt->execute();

}

 

Kama utaiangalia function hii utaona kuna utofauti kifogo wa hizi code toka tulipoanza kuselect somo lililotangulia na hapa Tofauti na kutumis prepared statement ambapo huwa tunaweka alama ya ? mfano update matokeo set jina =? Where id =?. Sasa hii njia ya vidoi kama unavyoona hapo update matokeo set jina =:jina-jipya hii inatuwezesha sisi kuipa jina parameter yetu tofauti na jina la awali.

 

Njia hii unaweza pia kuitumia kwenye query nyinginezo kama za ku select. Mfano 

$query = "SELECT * FROM users WHERE username = :username AND email = :email";

$stmt = $conn->prepare($query);

$username = 'john_doe';

$email = 'john@example.com';

 

$stmt->bindParam(':username', $username);

$stmt->bindParam(':email', $email);



 

Code zote zitaonekana hivi:

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);

 

   // Function to edit a record in the database

   function editRecord($conn, $id, $jina) {

       $query = "UPDATE matokeo SET jina = :jinaJipya WHERE id = :id";

       $stmt = $conn->prepare($query);

       $stmt->bindParam(':id', $id);

       $stmt->bindParam(':jinaJipya', $jina);

 

       // Execute the update query

       $stmt->execute();

   }

 

   // Example: Edit the record with ID = 1 and set the new name to 'New Name'

   editRecord($conn, 3, 'Mwanaisha');

 

   // Code to read data from the database

   $query = "SELECT * FROM matokeo";

   $stmt = $conn->prepare($query);

   $stmt->execute();

 

   // Fetch data using fetchAll

   $result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);

 

   // You can iterate through the result and do something with each row

   foreach ($result as $row) {

       // Access individual columns using $row['column_name']

       echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";

   }

 

} catch (PDOException $e) {

   echo "Imefeli kuunganishwa: " . $e->getMessage();

} finally {

   // Close the connection

   $conn = null;

}

?>

 

 

Utaona hapo mwanzoni id 3 ilikuwa ni mwajuma lakini sasa ni mwanaisha. Sasa nataka nirudie mfano huo huo kwa kutumia prepared statement kama ambavyo tulikuwa tukifanya toka awali. Katika mfano huu tunakwenda kubadili id 5 ambayo ji rehema kuwa HURUMA

 

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

...
Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 889

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

Soma Zaidi...
PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...