Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Tutakwend akutumia database yetu iliotangulia na data zilezile sasa kumbuka unapotaka kuedit data kwenye database utatakiwa kutumia id yake ama column ambayo ni unique kwa sisi hapo coumn ambayo ni unique ni id. Hivyo tutatakiwa kuijuwa id ya mwanafunzi ambaye tunataka ku edit jina lake.
Mfano tunataka kubadili ina la mwajuma kuwa mwanaisha Sasa zingatia kuwa jina la mwajuma lipo id ya 3, hivyo tutakwenda kutumia id hiyo ili kubadili jina. Sasa hapa nitakwenda kutengeneza function ya ku edit taarifa
function editRecord($conn, $id, $jina) {
$query = "UPDATE matokeo SET jina = :jinaJipya WHERE id = :id";
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->bindParam(':id', $id);
$stmt->bindParam(':jinaJipya', $jina);
// Execute the update query
$stmt->execute();
}
Kama utaiangalia function hii utaona kuna utofauti kifogo wa hizi code toka tulipoanza kuselect somo lililotangulia na hapa Tofauti na kutumis prepared statement ambapo huwa tunaweka alama ya ? mfano update matokeo set jina =? Where id =?. Sasa hii njia ya vidoi kama unavyoona hapo update matokeo set jina =:jina-jipya hii inatuwezesha sisi kuipa jina parameter yetu tofauti na jina la awali.
Njia hii unaweza pia kuitumia kwenye query nyinginezo kama za ku select. Mfano
$query = "SELECT * FROM users WHERE username = :username AND email = :email";
$stmt = $conn->prepare($query);
$username = 'john_doe';
$email = 'john@example.com';
$stmt->bindParam(':username', $username);
$stmt->bindParam(':email', $email);
Code zote zitaonekana hivi:
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);
// Function to edit a record in the database
function editRecord($conn, $id, $jina) {
$query = "UPDATE matokeo SET jina = :jinaJipya WHERE id = :id";
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->bindParam(':id', $id);
$stmt->bindParam(':jinaJipya', $jina);
// Execute the update query
$stmt->execute();
}
// Example: Edit the record with ID = 1 and set the new name to 'New Name'
editRecord($conn, 3, 'Mwanaisha');
// Code to read data from the database
$query = "SELECT * FROM matokeo";
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
// Fetch data using fetchAll
$result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);
// You can iterate through the result and do something with each row
foreach ($result as $row) {
// Access individual columns using $row['column_name']
echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";
}
} catch (PDOException $e) {
echo "Imefeli kuunganishwa: " . $e->getMessage();
} finally {
// Close the connection
$conn = null;
}
?>
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...