picha

PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Jinsi ya kufanya decoding ya json data:

Tunaposema kudecode tunamaansha uzitowa katika json na uzpelea wenye php. Sasa hapa kuna nmna mbili za kudecode ya kwanz ani kuzipeleka kwenye php array data na ya pili ni kuzipeleka kwenye php object data.

 

Functon inayotumika katika kufanya decodeing ni json_decode() hii ni kinyume cha ecode abayo tumeitumia katika somo lililopita.

 

Tuseme tuna data hz za json na tunataa uzi decode kwenye php

{

 "posts":

 [

   {

     "jina": "Bongoclass",

     "year": 2018,

     "status": "Actve",

     "webste": "www.bongoclass.com"

   }

 ]

}



Kubadili kuwa php object data

Kwanza tutaziweka kwenye variable. Kisha tutatuma function kuzi decode. Kisha tutatumia print_r function tofauti na kutumia echo. Ni kwa sababu print_r function hii itatuwezesha kuangalia structure ya object moja kwa moja.

<?php

$jsonData = '

{

 "copmapy":

 [

   {

     "jina": "Bongoclass",

     "year": 2018,

     "status": "Actve",

     "webste": "www.bongoclass.com"

   }

 ]

}';

 

// Decode JSON data into a PHP object

$dataObject = json_decode($jsonData);

 

print_r($dataObject);

?>




Kubadili kuwa php array data

Sasa ukitaka ku print array unachotakiwa kufanya ni kuongeza parameter ya true kumaanisha kuwa unataka kupata associative array ya hizo data. 

Mfano:

<?php

$jsonData = '

{

 "company":

 [

   {

     "jina": "Bongoclass",

     "year": 2018,

     "status": "Actve",

     "webste": "www.bongoclass.com"

   }

 ]

}';

 

// Decode JSON data into a PHP associative array

$dataArray = json_decode($jsonData, true);

 

// Output the decoded data

print_r($dataArray);

 

?>





Pia unaweza ku access data moja kwa moja kwenye hiyo array ama object. Kwa kitumia index namba yake ama key yake.

Mfano:

Kwa kutumia array

<?php

$jsonData = '

{

 "copmapy":

 [

   {

     "jina": "Bongoclass",

  &nbs...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-08-10 07:40:00 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 789

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP - somo la 5: Maana ya function na jinsi inavyotengenezwa kwa ktumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia

Soma Zaidi...
PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...