PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Jinsi ya kufanya decoding ya json data:

Tunaposema kudecode tunamaansha uzitowa katika json na uzpelea wenye php. Sasa hapa kuna nmna mbili za kudecode ya kwanz ani kuzipeleka kwenye php array data na ya pili ni kuzipeleka kwenye php object data.

 

Functon inayotumika katika kufanya decodeing ni json_decode() hii ni kinyume cha ecode abayo tumeitumia katika somo lililopita.

 

Tuseme tuna data hz za json na tunataa uzi decode kwenye php

{

 "posts":

 [

   {

     "jina": "Bongoclass",

     "year": 2018,

     "status": "Actve",

     "webste": "www.bongoclass.com"

   }

 ]

}



Kubadili kuwa php object data

Kwanza tutaziweka kwenye variable. Kisha tutatuma function kuzi decode. Kisha tutatumia print_r function tofauti na kutumia echo. Ni kwa sababu print_r function hii itatuwezesha kuangalia structure ya object moja kwa moja.

<?php

$jsonData = '

{

 "copmapy":

 [

   {

     "jina": "Bongoclass",

     "year": 2018,

     "status": "Actve",

     "webste": "www.bongoclass.com"

   }

 ]

}';

 

// Decode JSON data into a PHP object

$dataObject = json_decode($jsonData);

 

print_r($dataObject);

?>




Kubadili kuwa php array data

Sasa ukitaka ku print array unachotakiwa kufanya ni kuongeza parameter ya true kumaanisha kuwa unataka kupata associative array ya hizo data. 

Mfano:

<?php

$jsonData = '

{

 "company":

 [

   {

     "jina": "Bongoclass",

     "year": 2018,

     "status": "Actve",

     "webste": "www.bongoclass.com"

   }

 ]

}';

 

// Decode JSON data into a PHP associative array

$dataArray = json_decode($jsonData, true);

 

// Output the decoded data

print_r($dataArray);

 

?>





Pia unaweza ku access data moja kwa moja kwenye hiyo array ama object. Kwa kitumia index namba yake ama key yake.

Mfano:

Kwa kutumia array

<?php

$jsonData = '

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 267

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Soma Zaidi...
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

Soma Zaidi...
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Soma Zaidi...
PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

Soma Zaidi...
PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Soma Zaidi...