Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Jinsi ya kufanya decoding ya json data:
Tunaposema kudecode tunamaansha uzitowa katika json na uzpelea wenye php. Sasa hapa kuna nmna mbili za kudecode ya kwanz ani kuzipeleka kwenye php array data na ya pili ni kuzipeleka kwenye php object data.
Functon inayotumika katika kufanya decodeing ni json_decode() hii ni kinyume cha ecode abayo tumeitumia katika somo lililopita.
Tuseme tuna data hz za json na tunataa uzi decode kwenye php
{
"posts":
[
{
"jina": "Bongoclass",
"year": 2018,
"status": "Actve",
"webste": "www.bongoclass.com"
}
]
}
Kubadili kuwa php object data
Kwanza tutaziweka kwenye variable. Kisha tutatuma function kuzi decode. Kisha tutatumia print_r function tofauti na kutumia echo. Ni kwa sababu print_r function hii itatuwezesha kuangalia structure ya object moja kwa moja.
<?php
$jsonData = '
{
"copmapy":
[
{
"jina": "Bongoclass",
"year": 2018,
"status": "Actve",
"webste": "www.bongoclass.com"
}
]
}';
// Decode JSON data into a PHP object
$dataObject = json_decode($jsonData);
print_r($dataObject);
?>
Kubadili kuwa php array data
Sasa ukitaka ku print array unachotakiwa kufanya ni kuongeza parameter ya true kumaanisha kuwa unataka kupata associative array ya hizo data.
Mfano:
<?php
$jsonData = '
{
"company":
[
{
"jina": "Bongoclass",
"year": 2018,
"status": "Actve",
"webste": "www.bongoclass.com"
}
]
}';
// Decode JSON data into a PHP associative array
$dataArray = json_decode($jsonData, true);
// Output the decoded data
print_r($dataArray);
?>
Pia unaweza ku access data moja kwa moja kwenye hiyo array ama object. Kwa kitumia index namba yake ama key yake.
Mfano:
Kwa kutumia array
<?php
$jsonData = '
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.
Soma Zaidi...Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake
Soma Zaidi...