Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Jinsi ya kufanya decoding ya json data:
Tunaposema kudecode tunamaansha uzitowa katika json na uzpelea wenye php. Sasa hapa kuna nmna mbili za kudecode ya kwanz ani kuzipeleka kwenye php array data na ya pili ni kuzipeleka kwenye php object data.
Functon inayotumika katika kufanya decodeing ni json_decode() hii ni kinyume cha ecode abayo tumeitumia katika somo lililopita.
Tuseme tuna data hz za json na tunataa uzi decode kwenye php
{
"posts":
[
{
"jina": "Bongoclass",
"year": 2018,
"status": "Actve",
"webste": "www.bongoclass.com"
}
]
}
Kubadili kuwa php object data
Kwanza tutaziweka kwenye variable. Kisha tutatuma function kuzi decode. Kisha tutatumia print_r function tofauti na kutumia echo. Ni kwa sababu print_r function hii itatuwezesha kuangalia structure ya object moja kwa moja.
<?php
$jsonData = '
{
"copmapy":
[
{
"jina": "Bongoclass",
"year": 2018,
"status": "Actve",
"webste": "www.bongoclass.com"
}
]
}';
// Decode JSON data into a PHP object
$dataObject = json_decode($jsonData);
print_r($dataObject);
?>
Kubadili kuwa php array data
Sasa ukitaka ku print array unachotakiwa kufanya ni kuongeza parameter ya true kumaanisha kuwa unataka kupata associative array ya hizo data.
Mfano:
<?php
$jsonData = '
{
"company":
[
{
"jina": "Bongoclass",
"year": 2018,
"status": "Actve",
"webste": "www.bongoclass.com"
}
]
}';
// Decode JSON data into a PHP associative array
$dataArray = json_decode($jsonData, true);
// Output the decoded data
print_r($dataArray);
?>
Pia unaweza ku access data moja kwa moja kwenye hiyo array ama object. Kwa kitumia index namba yake ama key yake.
Mfano:
Kwa kutumia array
<?php
$jsonData = '
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql . Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM
PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog
PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP
PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP
PHP somo la 54: PHP OOP class constant
PHP somo la 96: Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation
PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP
PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake