Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Jinsi ya kufanya decoding ya json data:
Tunaposema kudecode tunamaansha uzitowa katika json na uzpelea wenye php. Sasa hapa kuna nmna mbili za kudecode ya kwanz ani kuzipeleka kwenye php array data na ya pili ni kuzipeleka kwenye php object data.
Functon inayotumika katika kufanya decodeing ni json_decode() hii ni kinyume cha ecode abayo tumeitumia katika somo lililopita.
Tuseme tuna data hz za json na tunataa uzi decode kwenye php
{
"posts":
[
{
"jina": "Bongoclass",
"year": 2018,
"status": "Actve",
"webste": "www.bongoclass.com"
}
]
}
Kubadili kuwa php object data
Kwanza tutaziweka kwenye variable. Kisha tutatuma function kuzi decode. Kisha tutatumia print_r function tofauti na kutumia echo. Ni kwa sababu print_r function hii itatuwezesha kuangalia structure ya object moja kwa moja.
<?php
$jsonData = '
{
"copmapy":
[
{
"jina": "Bongoclass",
"year": 2018,
"status": "Actve",
"webste": "www.bongoclass.com"
}
]
}';
// Decode JSON data into a PHP object
$dataObject = json_decode($jsonData);
print_r($dataObject);
?>
Kubadili kuwa php array data
Sasa ukitaka ku print array unachotakiwa kufanya ni kuongeza parameter ya true kumaanisha kuwa unataka kupata associative array ya hizo data.
Mfano:
<?php
$jsonData = '
{
"company":
[
{
"jina": "Bongoclass",
"year": 2018,
"status": "Actve",
"webste": "www.bongoclass.com"
}
]
}';
// Decode JSON data into a PHP associative array
$dataArray = json_decode($jsonData, true);
// Output the decoded data
print_r($dataArray);
?>
Pia unaweza ku access data moja kwa moja kwenye hiyo array ama object. Kwa kitumia index namba yake ama key yake.
Mfano:
Kwa kutumia array
<?php
$jsonData = '
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri Download App Yetu
👉1
Bongolite - Game zone - Play free game
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
PHP somo la 102: Cron job
PHP somola 78: Cookie Headers
PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env