Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP
Hapa sasa ndipo tunakwenda kuitumia database yetu ili kuweza kutengeneza shopmanagement app. Tutatumia table zile zile tulizozitumia awali. Tutafanya kile kile tulichokifanya. Hapa utaona urahisi zaidi wa kutumia ORM.
Hii ni setup nzuri kwa mfumo wa "Shop Management" kwa kutumia RedBeanPHP. ✅ Nitakuandikia kila ukurasa (products.php, customers.php, transactions.php) hatua kwa hatua na kuhakikisha kuwa unaweza:
shop
Hakikisha umeunda database shop
, kisha RedBeanPHP itajenga tables moja kwa moja.
CREATE DATABASE shop;
Kisha hakikisha umeinstall RedBeanPHP kama nilivyoeleza awali.
db.php
- Kusanidi RedBeanPHPFaili hili litatumika katika kila ukurasa kuunganisha database. Kutumia composer kunaweza kuleta shida ikawa baadhi ya mafaili hayapatikani hivyo ukiwa na tatizo hilo vyema kutembelea kwenye website yao kisha download faili husika la driver, kisha include kwenye faili la database configuration. rejea somo lililotangualia.
<?php
require 'vendor/autoload.php';
R::setup('mysql:host=127.0.0.1;dbname=shop', 'root', '');
if (!R::testConnection()) {
die('Database haijaunganishwa!');
}
?>
products.php
- Kusimamia Bidhaa (Products)<?php
require 'db.php';
// Ongeza Product
if (isset($_POST['add'])) {
$product = R::dispense('products');
$product->name = $_POST['name'];
$product->price = $_POST['price'];
R::store($product);
header("Location: products.php");
}
// Futa Product
if (isset($_GET['delete'])) {
$product = R::load('products', $_GET['delete']);
R::trash($product);
header("Location: products.php");
}
// Hariri Product
if (isset($_POST['edit'])) {
$product = R::load('products', $_POST['id']);
$product->name = $_POST['name'];
$product->price = $_POST['price'];
R::store($product);
header("Location: products.php");
}
// Pata Products zote
$products = R::findAll('products');
?>
<h2>Manage Products</h2>
<form method="post">
<input type="text" name="name" placeholder="Product Name" required>
<input type="number" name="price" placeholder="Price" required>
<button type="submit" name="add">Add Product</button>
</form>
<table border="1">
<tr><th>Name</th><th>Price</th><th>Action</th></tr>
<?php foreach ($products as $product): ?>
<tr>
<td><?= $product->name; ?></td>
<td><?= $product->price; ?></td>
<td>
<a href="?delete=<?= $product->id; ?>">Delete</a>
<form method="post" style="display:inline;">
<input type="hidden" name="id" value="<?= $product->id; ?>">
<input type="text" name="name" value="<?= $product->name; ?>">
<input type="number" name="price" value="<?= $product->price; ?>">
<button type="submit" name="edit">Edit</button>
</form>
</td>
</tr>
<?php endforeach; ?>
</table>
customers.php
- Kusimamia Wateja (Customers)<">
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header
Soma Zaidi...Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...