Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP
Hapa sasa ndipo tunakwenda kuitumia database yetu ili kuweza kutengeneza shopmanagement app. Tutatumia table zile zile tulizozitumia awali. Tutafanya kile kile tulichokifanya. Hapa utaona urahisi zaidi wa kutumia ORM.
Hii ni setup nzuri kwa mfumo wa "Shop Management" kwa kutumia RedBeanPHP. ✅ Nitakuandikia kila ukurasa (products.php, customers.php, transactions.php) hatua kwa hatua na kuhakikisha kuwa unaweza:
shop
Hakikisha umeunda database shop
, kisha RedBeanPHP itajenga tables moja kwa moja.
CREATE DATABASE shop;
Kisha hakikisha umeinstall RedBeanPHP kama nilivyoeleza awali.
db.php
- Kusanidi RedBeanPHPFaili hili litatumika katika kila ukurasa kuunganisha database. Kutumia composer kunaweza kuleta shida ikawa baadhi ya mafaili hayapatikani hivyo ukiwa na tatizo hilo vyema kutembelea kwenye website yao kisha download faili husika la driver, kisha include kwenye faili la database configuration. rejea somo lililotangualia.
<?php
require 'vendor/autoload.php';
R::setup('mysql:host=127.0.0.1;dbname=shop', 'root', '');
if (!R::testConnection()) {
die('Database haijaunganishwa!');
}
?>
products.php
- Kusimamia Bidhaa (Products)<?php
require 'db.php';
// Ongeza Product
if (isset($_POST['add'])) {
$product = R::dispense('products');
$product->name = $_POST['name'];
$product->price = $_POST['price'];
R::store($product);
header("Location: products.php");
}
// Futa Product
if (isset($_GET['delete'])) {
$product = R::load('products', $_GET['delete']);
R::trash($product);
header("Location: products.php");
}
// Hariri Product
if (isset($_POST['edit'])) {
$product = R::load('products', $_POST['id']);
$product->name = $_POST['name'];
$product->price = $_POST['price'];
R::store($product);
header("Location: products.php");
}
// Pata Products zote
$products = R::findAll('products');
?>
<h2>Manage Products</h2>
<form method="post">
<input type="text" name="name" placeholder="Product Name" required>
<input type="number" name="price" placeholder="Price" required>
<button type="submit" name="add">Add Product</button>
</form>
<table border="1">
<tr><th>Name</th><th>Price</th><th>Action</th></tr>
<?php foreach ($products as $product): ?>
<tr>
<td><?= $product->name; ?></td>
<td><?= $product->price; ?></td>
<td>
<a href="?delete=<?= $product->id; ?>">Delete</a>
<form method="post" style="display:inline;">
<input type="hidden" name="id" value="<?= $product->id; ?>">
<input type="text" name="name" value="<?= $product->name; ?>">
<input type="number" name="price" value="<?= $product->price; ?>">
<button type="submit" name="edit">Edit</button>
</form>
</td>
</tr>
<?php endforeach; ?>
</table>
customers.php
- Kusimamia Wateja (Customers)<">
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()
Soma Zaidi...