Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP
Hapa sasa ndipo tunakwenda kuitumia database yetu ili kuweza kutengeneza shopmanagement app. Tutatumia table zile zile tulizozitumia awali. Tutafanya kile kile tulichokifanya. Hapa utaona urahisi zaidi wa kutumia ORM.
Hii ni setup nzuri kwa mfumo wa "Shop Management" kwa kutumia RedBeanPHP. ✅ Nitakuandikia kila ukurasa (products.php, customers.php, transactions.php) hatua kwa hatua na kuhakikisha kuwa unaweza:
shop
Hakikisha umeunda database shop
, kisha RedBeanPHP itajenga tables moja kwa moja.
CREATE DATABASE shop;
Kisha hakikisha umeinstall RedBeanPHP kama nilivyoeleza awali.
db.php
- Kusanidi RedBeanPHPFaili hili litatumika katika kila ukurasa kuunganisha database. Kutumia composer kunaweza kuleta shida ikawa baadhi ya mafaili hayapatikani hivyo ukiwa na tatizo hilo vyema kutembelea kwenye website yao kisha download faili husika la driver, kisha include kwenye faili la database configuration. rejea somo lililotangualia.
<?php
require 'vendor/autoload.php';
R::setup('mysql:host=127.0.0.1;dbname=shop', 'root', '');
if (!R::testConnection()) {
die('Database haijaunganishwa!');
}
?>
products.php
- Kusimamia Bidhaa (Products)<?php
require 'db.php';
// Ongeza Product
if (isset($_POST['add'])) {
$product = R::dispense('products');
$product->name = $_POST['name'];
$product->price = $_POST['price'];
R::store($product);
header("Location: products.php");
}
// Futa Product
if (isset($_GET['delete'])) {
$product = R::load('products', $_GET['delete']);
R::trash($product);
header("Location: products.php");
}
// Hariri Product
if (isset($_POST['edit'])) {
$product = R::load('products', $_POST['id']);
$product->name = $_POST['name'];
$product->price = $_POST['price'];
R::store($product);
header("Location: products.php");
}
// Pata Products zote
$products = R::findAll('products');
?>
<h2>Manage Products</h2>
<form method="post">
<input type="text" name="name" placeholder="Product Name" required>
<input type="number" name="price" placeholder="Price" required>
<button type="submit" name="add">Add Product</button>
</form>
<table border="1">
<tr><th>Name</th><th>Price</th><th>Action</th></tr>
<?php foreach ($products as $product): ?>
<tr>
<td><?= $product->name; ?></td>
<td><?= $product->price; ?></td>
<td>
<a href="?delete=<?= $product->id; ?>">Delete</a>
<form method="post" style="display:inline;">
<input type="hidden" name="id" value="<?= $product->id; ?>">
<input type="text" name="name" value="<?= $product->name; ?>">
<input type="number" name="price" value="<?= $product->price; ?>">
<button type="submit" name="edit">Edit</button>
</form>
</td>
</tr>
<?php endforeach; ?>
</table>
customers.php
- Kusimamia Wateja (Customers)<">
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse
Soma Zaidi...