Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP
Hapa sasa ndipo tunakwenda kuitumia database yetu ili kuweza kutengeneza shopmanagement app. Tutatumia table zile zile tulizozitumia awali. Tutafanya kile kile tulichokifanya. Hapa utaona urahisi zaidi wa kutumia ORM.
Hii ni setup nzuri kwa mfumo wa "Shop Management" kwa kutumia RedBeanPHP. ✅ Nitakuandikia kila ukurasa (products.php, customers.php, transactions.php) hatua kwa hatua na kuhakikisha kuwa unaweza:
shop
Hakikisha umeunda database shop
, kisha RedBeanPHP itajenga tables moja kwa moja.
CREATE DATABASE shop;
Kisha hakikisha umeinstall RedBeanPHP kama nilivyoeleza awali.
db.php
- Kusanidi RedBeanPHPFaili hili litatumika katika kila ukurasa kuunganisha database. Kutumia composer kunaweza kuleta shida ikawa baadhi ya mafaili hayapatikani hivyo ukiwa na tatizo hilo vyema kutembelea kwenye website yao kisha download faili husika la driver, kisha include kwenye faili la database configuration. rejea somo lililotangualia.
<?php
require 'vendor/autoload.php';
R::setup('mysql:host=127.0.0.1;dbname=shop', 'root', '');
if (!R::testConnection()) {
die('Database haijaunganishwa!');
}
?>
products.php
- Kusimamia Bidhaa (Products)<?php
require 'db.php';
// Ongeza Product
if (isset($_POST['add'])) {
$product = R::dispense('products');
$product->name = $_POST['name'];
$product->price = $_POST['price'];
R::store($product);
header("Location: products.php");
}
// Futa Product
if (isset($_GET['delete'])) {
$product = R::load('products', $_GET['delete']);
R::trash($product);
header("Location: products.php");
}
// Hariri Product
if (isset($_POST['edit'])) {
$product = R::load('products', $_POST['id']);
$product->name = $_POST['name'];
$product->price = $_POST['price'];
R::store($product);
header("Location: products.php");
}
// Pata Products zote
$products = R::findAll('products');
?>
<h2>Manage Products</h2>
<form method="post">
<input type="text" name="name" placeholder="Product Name" required>
<input type="number" name="price" placeholder="Price" required>
<button type="submit" name="add">Add Product</button>
</form>
<table border="1">
<tr><th>Name</th><th>Price</th><th>Action</th></tr>
<?php foreach ($products as $product): ?>
<tr>
<td><?= $product->name; ?></td>
<td><?= $product->price; ?></td>
<td>
<a href="?delete=<?= $product->id; ?>">Delete</a>
<form method="post" style="display:inline;">
<input type="hidden" name="id" value="<?= $product->id; ?>">
<input type="text" name="name" value="<?= $product->name; ?>">
<input type="number" name="price" value="<?= $product->price; ?>">
<button type="submit" name="edit">Edit</button>
</form>
</td>
</tr>
<?php endforeach; ?>
</table>
customers.php
- Kusimamia Wateja (Customers)<">
...Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy
Soma Zaidi...Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuzungumza na server ili kutengeneza mafaili, mafolda, kufuta na ku edit kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...