image

PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake

Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP

Katika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. Hii ni moja kati ya teknolojia mbayo hutolewa kariia na hosting zote. Hata hivyo unaweza pia kutumia huduma hii kwa kutumia platforn za free cron job. Kwa uganisi wa somo hili tutatumia moja kati  ya websitte zainazotoa huduma hii kwa free.

 

Ni nini cron job

Ili uelewe cron job wacha nikupe mfano hapa. Chukulia mfano unataka kwenye blig yako uweke scheduled post. Hizi ni post ambazo zinajipost zenyewe pindi tu muda unapofika. Kwa mfano umeandika post yako muda ya asubuhi lakini unataka ikifika saa saba mchana na dakika 10 post ijipost yenyewe. Hii ina maana ni kazi ambayo hufanyijka automatic, na  hii ndio maana ya ron job yaani code zina run zenyewe pasi na kuhitaji mtu wa kuzi run.

 

Katika ku set cron job lazima ukurasa ambao unataka uwe unaryn hizo code uwe unaweza kupatikana public. Yaani usiwe na haja ya ku log in.kwa mfano baada ya kutengeneza faili ambalo litakuwa linakaguwa hizo scheduled post kama kuna ambayo ipo tayasi, ukurasa huu unahitajika uwe unafikiwa hadharani.

 

Katika ku seti hiyo link ya hilo faili ambalo litakuwa lina run automatic utatakiwa kuchaguwa muda ambo unataka liwe lina run. Kuna mwaka, mwezi, siku, masaa, dakika na sekunde. Unaweza kuset siku unayotakka hilo gfaili li run, saa unayotaka na sekunde. Kwa mfano kama unataka faili lako li run kila baada ya dakika moja litafanya hivyo.

 

Jinsi ya kujisajili

  1. Ingia kwenye website inaitwa https://console.cron-job.org/ 

  2. Baada ya kyjusajili utaingia kwenye dashboard.

  3. Tafuta palipoandika create cronjob

 

  1. ">...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 142


    Sponsored links
    👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

    Post zifazofanana:-

    PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog
    Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database. Soma Zaidi...

    PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog
    HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog Soma Zaidi...

    PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi Soma Zaidi...

    PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable Soma Zaidi...

    PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO
    Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete. Soma Zaidi...

    PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost
    Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse Soma Zaidi...

    PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake
    Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP Soma Zaidi...

    Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP
    Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email() Soma Zaidi...

    PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP
    katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database Soma Zaidi...

    PHP somo la 75: Content-Type Header
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header. Soma Zaidi...

    PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude() Soma Zaidi...

    PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database. Soma Zaidi...