Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP
Katika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. Hii ni moja kati ya teknolojia mbayo hutolewa kariia na hosting zote. Hata hivyo unaweza pia kutumia huduma hii kwa kutumia platforn za free cron job. Kwa uganisi wa somo hili tutatumia moja kati ya websitte zainazotoa huduma hii kwa free.
Ni nini cron job
Ili uelewe cron job wacha nikupe mfano hapa. Chukulia mfano unataka kwenye blig yako uweke scheduled post. Hizi ni post ambazo zinajipost zenyewe pindi tu muda unapofika. Kwa mfano umeandika post yako muda ya asubuhi lakini unataka ikifika saa saba mchana na dakika 10 post ijipost yenyewe. Hii ina maana ni kazi ambayo hufanyijka automatic, na hii ndio maana ya ron job yaani code zina run zenyewe pasi na kuhitaji mtu wa kuzi run.
Katika ku set cron job lazima ukurasa ambao unataka uwe unaryn hizo code uwe unaweza kupatikana public. Yaani usiwe na haja ya ku log in.kwa mfano baada ya kutengeneza faili ambalo litakuwa linakaguwa hizo scheduled post kama kuna ambayo ipo tayasi, ukurasa huu unahitajika uwe unafikiwa hadharani.
Katika ku seti hiyo link ya hilo faili ambalo litakuwa lina run automatic utatakiwa kuchaguwa muda ambo unataka liwe lina run. Kuna mwaka, mwezi, siku, masaa, dakika na sekunde. Unaweza kuset siku unayotakka hilo gfaili li run, saa unayotaka na sekunde. Kwa mfano kama unataka faili lako li run kila baada ya dakika moja litafanya hivyo.
Jinsi ya kujisajili
Ingia kwenye website inaitwa https://console.cron-job.org/
Baada ya kyjusajili utaingia kwenye dashboard.
Tafuta palipoandika create cronjob
<">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.
Soma Zaidi...Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Soma Zaidi...