Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Tumesha jifunza namna ya kutengenezadatabase na table kwa kutumia PHP. Sasa somo hili tutajifunza namna ya kufuta database na table. Unaweza kufuta vyote kwa pamoja ama kufuta kimoja kimoja. Endapo utachaguwa kufuta table tu, basi database itabakia lakini ukifuta database, na table pia itafutika na data zilizomo.
Maandalizi makubwa hapa ni kama yaliotangulia Andaa variable zote zinazohitajika kama vile server name, database name, username, na password. Tutakwenda kufuta table yenye jina menu kwenye databse inayoitwa hotel. Hivyo database name yetu itakuwa hotel
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
Katika mafunzo ya database hakuwahi kusoma namna ya kufuta table kwa kutumia SQL. Sasa hapa nitakwenda kukujuza jinsi ya kufanya hivyo. SQL inayotumiaka ni DROP TABLE kisha unaweka jina la database yenye hiyo table kisha utaweka kidoto kati kisha ndipo utaweka jina la hiyo database. mfano DROP DATABASE hotel . menu. Hivyo variable ya statement hii itakuwa $sql = "DROP TABLE `hotel`.`menu`";
Baada ya hapo utaandaa if else kwa ajili ya kukupa mrejesho kama umefanikiwa ama umefeli. Kama tulivyoona katika masomo yliyopita kufanya hivyo tutatumia function hii mysqli_query($conn, $sql)
CODE ZA KUFUTA TABLE ZITAONEKANA HIVI
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
// Create connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if (!$conn) {
die("Connection failed: " . mysqli_connect_error());
}
// delete database
$sql = "DROP TABLE `hotel`.`menu`";
if (mysqli_query($conn, $sql)) {
echo "table DELETED successfully";
} else {
&nbs">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download Je! umeipenda hii post?
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP
Main: Masomo
File: Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Views 311
Sponsored links
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php
PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.
PHP somo la 82: Content-Disposition
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zakeDownload app yetu
Ndio Hapana Save post
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Kitau cha Fiqh
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Kitabu cha Afya
Post zifazofanana:-
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude() Soma Zaidi...
HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition Soma Zaidi...
Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako Soma Zaidi...
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP. Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance Soma Zaidi...
Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php Soma Zaidi...
Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database. Soma Zaidi...