Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Tumesha jifunza namna ya kutengenezadatabase na table kwa kutumia PHP. Sasa somo hili tutajifunza namna ya kufuta database na table. Unaweza kufuta vyote kwa pamoja ama kufuta kimoja kimoja. Endapo utachaguwa kufuta table tu, basi database itabakia lakini ukifuta database, na table pia itafutika na data zilizomo.
Maandalizi makubwa hapa ni kama yaliotangulia Andaa variable zote zinazohitajika kama vile server name, database name, username, na password. Tutakwenda kufuta table yenye jina menu kwenye databse inayoitwa hotel. Hivyo database name yetu itakuwa hotel
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
Katika mafunzo ya database hakuwahi kusoma namna ya kufuta table kwa kutumia SQL. Sasa hapa nitakwenda kukujuza jinsi ya kufanya hivyo. SQL inayotumiaka ni DROP TABLE kisha unaweka jina la database yenye hiyo table kisha utaweka kidoto kati kisha ndipo utaweka jina la hiyo database. mfano DROP DATABASE hotel . menu. Hivyo variable ya statement hii itakuwa $sql = "DROP TABLE `hotel`.`menu`";
Baada ya hapo utaandaa if else kwa ajili ya kukupa mrejesho kama umefanikiwa ama umefeli. Kama tulivyoona katika masomo yliyopita kufanya hivyo tutatumia function hii mysqli_query($conn, $sql)
CODE ZA KUFUTA TABLE ZITAONEKANA HIVI
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
// Create connection
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);
// Check connection
if (!$conn) {
die("Connection failed: " . mysqli_connect_error());
}
// delete database
$sql = "DROP TABLE `hotel`.`menu`";
if (mysqli_query($conn, $sql)) {
echo "table DELETED successfully";
} else ">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP. Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection. Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database. Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Bongolite - Game zone - Play free game
👉3
Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉4
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization
PHP somo la 59: static property kwenye PHP
PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php