picha

PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

CLIENT URL (cURL)

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu curl. Hii ni php library ambayo tutaigusia kwa ufupi kulingna na matarajio ya course hii. Baada ya kujifunza somo hili itakuwa reahisi kuelewa somo ambalo litafuata baada ya hili.

 

cURL: 

Ni kifupisho cha maneno Client url. Hii ni njia ambayo hutumika kwa ajili ya kusafirisha taarifa kutoka kwenye server ama kuelekea kwenye server. Inafanya kazi kwa kupitia clibrary. 

 

curl inafanya kazi kwenye platform nyingi ikiwepo window, web, linux na zaidi. Kwa mfano kwa kutumia command line kwenye window unaweza ku access taarifa kwenye database kwa kutumia curl. Pia unaweza kutuma na kupokea taarifa hizo. 

 

curl inafanya kazi vyema kupitia API hata hivyo sio lazima. Unaweza kutumia curl kwenye website kwa ajili ya ku load kurasa fulani kwenye kurasa nyingine. Nitakupa mfano hapo chini. 

 

Kwa kutumia curl unaweza kuwasiliana na website mbalimbali na domain. Kwa kutumia curl unaweza kuwasiliana na server na kusafirisha taarifa kwa kutumia url. 

 

 

Mfano wa curl:

$url = "https://www.bongoclass.com/";

$ch = curl_init();

curl_setopt($ch, CURLOPT_URL, $url);

curl_setopt($ch, CURLOPT_RETURNTRANSFER, 1);

$result = curl_exec($ch);

echo $result;

curl_close($ch);

?>

 

Ukiangalia vyema hapo utaona kuwa cURL ipo katika namna hii:

  1. Kwanza ni mwanzo wa curl ambapo utaweka variable zako. Kwa mfano katika mfano hapo juu variable nilioweka ni ukurasa wa menu wa bongoclass. Hivyo hiyo link itafunguwa ukurasa huo moja kwa moja.

 

  1. Baada ya kuweka variable sasa itawacha cURL ama uta initiate hii tunaita kuanzisha session ama session start. Huu ndio mwanzo wa curl inapoanza kufanya kazi. Bila ya kuiwasha haiwezi kufanya kazi. Sasa ili uweze kuiwasha utaanza na finction hii curl_init(); kama ulivyoona hapo juu. Sasa utaanza na kuiwekea variable yake ili uweze kuitumia huko mbele kama nilivyofanya hapo juu ambapo nimeipa variable $ch, unaweza kuipa jina lolote unalotaka. Hiyo ch ina maana cURL Handler.

 

  1. Hapa sasa ndipo unapoanza nini hasa unataka kufanya. Function ya curl_setopt  hutumika kuweka option zinazohitajika katika kuload data kutoka kwenye server. Function hiyo inabeba parameta 3 ambazo ni cURL handler ambayo ni $ch kwa mujibu wa hizo code hapo, parameter nyingine ni option hapa huwekwa taarifa zingine za ziada, kisha parameter nyingine ni option. Option inaweza kuwa 0  au 1. Kama ikiwa 0 hairudishi data, ila ikiwa 1 inarudisha data. Valu">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-19 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 709

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 web hosting    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 102: Cron job

    atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

    Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 54: class constant kwenye php

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

    Soma Zaidi...
    Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

    Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog

    Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

    Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

    Soma Zaidi...