picha

PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

CLIENT URL (cURL)

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu curl. Hii ni php library ambayo tutaigusia kwa ufupi kulingna na matarajio ya course hii. Baada ya kujifunza somo hili itakuwa reahisi kuelewa somo ambalo litafuata baada ya hili.

 

cURL: 

Ni kifupisho cha maneno Client url. Hii ni njia ambayo hutumika kwa ajili ya kusafirisha taarifa kutoka kwenye server ama kuelekea kwenye server. Inafanya kazi kwa kupitia clibrary. 

 

curl inafanya kazi kwenye platform nyingi ikiwepo window, web, linux na zaidi. Kwa mfano kwa kutumia command line kwenye window unaweza ku access taarifa kwenye database kwa kutumia curl. Pia unaweza kutuma na kupokea taarifa hizo. 

 

curl inafanya kazi vyema kupitia API hata hivyo sio lazima. Unaweza kutumia curl kwenye website kwa ajili ya ku load kurasa fulani kwenye kurasa nyingine. Nitakupa mfano hapo chini. 

 

Kwa kutumia curl unaweza kuwasiliana na website mbalimbali na domain. Kwa kutumia curl unaweza kuwasiliana na server na kusafirisha taarifa kwa kutumia url. 

 

 

Mfano wa curl:

$url = "https://www.bongoclass.com/";

$ch = curl_init();

curl_setopt($ch, CURLOPT_URL, $url);

curl_setopt($ch, CURLOPT_RETURNTRANSFER, 1);

$result = curl_exec($ch);

echo $result;

curl_close($ch);

?>

 

Ukiangalia vyema hapo utaona kuwa cURL ipo katika namna hii:

  1. Kwanza ni mwanzo wa curl ambapo utaweka variable zako. Kwa mfano katika mfano hapo juu variable nilioweka ni ukurasa wa menu wa bongoclass. Hivyo hiyo link itafunguwa ukurasa huo moja kwa moja.

 

  1. Baada ya kuweka variable sasa itawacha cURL ama uta initiate hii tunaita kuanzisha session ama session start. Huu ndio mwanzo wa curl inapoanza kufanya kazi. Bila ya kuiwasha haiwezi kufanya kazi. Sasa ili uweze kuiwasha utaanza na finction hii curl_init(); kama ulivyoona hapo juu. Sasa utaanza na kuiwekea variable yake ili uweze kuitumia huko mbele kama nilivyofanya hapo juu ambapo nimeipa variable $ch, unaweza kuipa jina lolote unalotaka. Hiyo ch ina maana cURL Handler.

 

  1. Hapa sasa ndipo unapoanza nini hasa unataka kufanya. Function ya curl_setopt  hutumika kuweka option zinazohitajika katika kuload data kutoka kwenye server. Function hiyo inabeba parameta 3 ambazo ni cURL handler ambayo ni $ch kwa mujibu wa hizo code hapo, parameter nyingine ni option hapa huwekwa taarifa zingine za ziada, kisha parameter nyingine ni option. Option inaweza kuwa 0  au 1. Kama ikiwa 0 hairudishi data, ila ikiwa 1 inarudisha data. Valu">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-19 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 710

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 web hosting    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 ai web app    👉6 Kitau cha Fiqh   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

    Soma Zaidi...
    PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

    Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 80: Authentication header

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma

    Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake

    Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

    Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

    Soma Zaidi...