picha

PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

CLIENT URL (cURL)

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu curl. Hii ni php library ambayo tutaigusia kwa ufupi kulingna na matarajio ya course hii. Baada ya kujifunza somo hili itakuwa reahisi kuelewa somo ambalo litafuata baada ya hili.

 

cURL: 

Ni kifupisho cha maneno Client url. Hii ni njia ambayo hutumika kwa ajili ya kusafirisha taarifa kutoka kwenye server ama kuelekea kwenye server. Inafanya kazi kwa kupitia clibrary. 

 

curl inafanya kazi kwenye platform nyingi ikiwepo window, web, linux na zaidi. Kwa mfano kwa kutumia command line kwenye window unaweza ku access taarifa kwenye database kwa kutumia curl. Pia unaweza kutuma na kupokea taarifa hizo. 

 

curl inafanya kazi vyema kupitia API hata hivyo sio lazima. Unaweza kutumia curl kwenye website kwa ajili ya ku load kurasa fulani kwenye kurasa nyingine. Nitakupa mfano hapo chini. 

 

Kwa kutumia curl unaweza kuwasiliana na website mbalimbali na domain. Kwa kutumia curl unaweza kuwasiliana na server na kusafirisha taarifa kwa kutumia url. 

 

 

Mfano wa curl:

$url = "https://www.bongoclass.com/";

$ch = curl_init();

curl_setopt($ch, CURLOPT_URL, $url);

curl_setopt($ch, CURLOPT_RETURNTRANSFER, 1);

$result = curl_exec($ch);

echo $result;

curl_close($ch);

?>

 

Ukiangalia vyema hapo utaona kuwa cURL ipo katika namna hii:

  1. Kwanza ni mwanzo wa curl ambapo utaweka variable zako. Kwa mfano katika mfano hapo juu variable nilioweka ni ukurasa wa menu wa bongoclass. Hivyo hiyo link itafunguwa ukurasa huo moja kwa moja.

 

  1. Baada ya kuweka variable sasa itawacha cURL ama uta initiate hii tunaita kuanzisha session ama session start. Huu ndio mwanzo wa curl inapoanza kufanya kazi. Bila ya kuiwasha haiwezi kufanya kazi. Sasa ili uweze kuiwasha utaanza na finction hii curl_init(); kama ulivyoona hapo juu. Sasa utaanza na kuiwekea variable yake ili uweze kuitumia huko mbele kama nilivyofanya hapo juu ambapo nimeipa variable $ch, unaweza kuipa jina lolote unalotaka. Hiyo ch ina maana cURL Handler.

 

  1. Hapa sasa ndipo unapoanza nini hasa unataka kufanya. Function ya curl_setopt  hutumika kuweka option zinazohitajika katika kuload data kutoka kwenye server. Function hiyo inabeba parameta 3 ambazo ni cURL handler ambayo ni $ch kwa mujibu wa hizo code hapo, parameter nyingine ni option hapa huwekwa taarifa zingine za ziada, kisha parameter nyingine ni option. Option inaweza kuwa 0  au 1. Kama ikiwa 0 hairudishi data, ila ikiwa 1 inarudisha data. Valu">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-19 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 748

    Share On:

    Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
    Sponsored links
    👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Kitabu cha Afya   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP

    Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake

    Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 54: class constant kwenye php

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 102: Cron job

    atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

    Soma Zaidi...
    PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog

    HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog

    Soma Zaidi...