picha

PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

CLIENT URL (cURL)

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu curl. Hii ni php library ambayo tutaigusia kwa ufupi kulingna na matarajio ya course hii. Baada ya kujifunza somo hili itakuwa reahisi kuelewa somo ambalo litafuata baada ya hili.

 

cURL: 

Ni kifupisho cha maneno Client url. Hii ni njia ambayo hutumika kwa ajili ya kusafirisha taarifa kutoka kwenye server ama kuelekea kwenye server. Inafanya kazi kwa kupitia clibrary. 

 

curl inafanya kazi kwenye platform nyingi ikiwepo window, web, linux na zaidi. Kwa mfano kwa kutumia command line kwenye window unaweza ku access taarifa kwenye database kwa kutumia curl. Pia unaweza kutuma na kupokea taarifa hizo. 

 

curl inafanya kazi vyema kupitia API hata hivyo sio lazima. Unaweza kutumia curl kwenye website kwa ajili ya ku load kurasa fulani kwenye kurasa nyingine. Nitakupa mfano hapo chini. 

 

Kwa kutumia curl unaweza kuwasiliana na website mbalimbali na domain. Kwa kutumia curl unaweza kuwasiliana na server na kusafirisha taarifa kwa kutumia url. 

 

 

Mfano wa curl:

$url = "https://www.bongoclass.com/";

$ch = curl_init();

curl_setopt($ch, CURLOPT_URL, $url);

curl_setopt($ch, CURLOPT_RETURNTRANSFER, 1);

$result = curl_exec($ch);

echo $result;

curl_close($ch);

?>

 

Ukiangalia vyema hapo utaona kuwa cURL ipo katika namna hii:

  1. Kwanza ni mwanzo wa curl ambapo utaweka variable zako. Kwa mfano katika mfano hapo juu variable nilioweka ni ukurasa wa menu wa bongoclass. Hivyo hiyo link itafunguwa ukurasa huo moja kwa moja.

 

  1. Baada ya kuweka variable sasa itawacha cURL ama uta initiate hii tunaita kuanzisha session ama session start. Huu ndio mwanzo wa curl inapoanza kufanya kazi. Bila ya kuiwasha haiwezi kufanya kazi. Sasa ili uweze kuiwasha utaanza na finction hii curl_init(); kama ulivyoona hapo juu. Sasa utaanza na kuiwekea variable yake ili uweze kuitumia huko mbele kama nilivyofanya hapo juu ambapo nimeipa variable $ch, unaweza kuipa jina lolote unalotaka. Hiyo ch ina maana cURL Handler.

 

  1. Hapa sasa ndipo unapoanza nini hasa unataka kufanya. Function ya curl_setopt  hutumika kuweka option zinazohitajika katika kuload data kutoka kwenye server. Function hiyo inabeba parameta 3 ambazo ni cURL handler ambayo ni $ch kwa mujibu wa hizo code hapo, parameter nyingine ni option hapa huwekwa taarifa zingine za ziada, kisha parameter nyingine ni option. Option inaweza kuwa 0  au 1. Kama ikiwa 0 hairu...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 773

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 ai web app     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost

Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse

Soma Zaidi...
PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Soma Zaidi...
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

Soma Zaidi...