Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
DO, FOR, FOREACH LOOPS
Kama tulivyojifunza katika somo la 7 hivyo somo hili ni muendelezo ya tulipoishia. Hivyo tutatumia mifano inayolingana.
DO LOOP:
Hii inafanana sana na while loop ila utofauti wake ni kuwa kwenye do kwanza code zitaleta matokeo kisha ndipo zitaanza kutest sharti zilizopewa. Yaani kwanza utapata matokeoa ya code halafu ndipo ianze kutest conditions.
Mfano
Unataka kuorodhesha namba zilizo chini ama sawa na 14. Hapa kama condition yetu ni 17 kwa tulivyojifunza kwenye while hapo huwezi pata matokeo lakini kwenye do kwanza italeta matokeo kwa ku display 17 kisha itastop baada ya kuwa test hazijafikiwa.
Jinsi ya kuandika do loops
Utaweka keyword do likifuatiwa na mabano {} kisha utafanye increment sura decrement ili kupata matokeo kwanza kisha ndipo utatest condition kwa kuweka while(). Code zitaoneka hivi.
Mfano huu ni endapo variable ni ndogo kuliko test yetu.
$x = 1;
do{echo $x++, "
";}
while($x<=14);
?>
Sasa endapo variable ni kubwa kuliko test yetu pia tutapata matokeo kwa kuwa kwanza itadisplay hiyo variable yetu kisha ndipo itaendelea kutest.
$x = 20;
do{echo $x++, "
";}
while($x<=14);
?>
Hapo itadisplay namba 20.
FOR LOOP
For loop hutumika utakuwa unajuwa idadi ya code zako unataka zitest mara ngapi. Kwa mfano tuna list ya array array("muembe", "mnazi", "mpapai") sasa tunataka kupata list hii. Hapa tunajuwa fika kuwa listvyetu ina item tatu hivyo code sita run mara 3. Pia unaweza kupata list ya hizo item ndani ya array kwa kutumia count function.
Kuweka for loop
For loop ipo tofauti kidogo na loop tulizojifunza. Yenyewe ina sehemu kuu tatu ambazo ni: -
Initiative counter haa nibpale ambapo unakwenda kuweka mwanzo wa test yako. Mfano unataka itest kuanzia 0 ama 2.
Test counter hapa ndipo ambapo utaanza ku test condition yao
Increment counter hapa ni pale ambapo unakwenda kufanya increment ama decrement.
Kanuni
fo(initiate counter; test counter; increment counter).
Mfano
Sasa tutumie mfano wetu wa hapo juu wa array yetu yenye item 3. Ili tuweze kupata list ya hizo items.
$x = array("muembe", "mnazi", "mpapai");
$b =count($x);
for($c=0; $c<$b; $c++){
echo $x[$c] ." "."";
">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css. Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi. katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Bongolite - Game zone - Play free game
👉6
Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
PHP somo la 54: class constant kwenye php
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf
PHP somo la 83: Server Variables
PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost
PHP somo la 102: Cron job
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link
PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database