Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
DO, FOR, FOREACH LOOPS
Kama tulivyojifunza katika somo la 7 hivyo somo hili ni muendelezo ya tulipoishia. Hivyo tutatumia mifano inayolingana.
DO LOOP:
Hii inafanana sana na while loop ila utofauti wake ni kuwa kwenye do kwanza code zitaleta matokeo kisha ndipo zitaanza kutest sharti zilizopewa. Yaani kwanza utapata matokeoa ya code halafu ndipo ianze kutest conditions.
Mfano
Unataka kuorodhesha namba zilizo chini ama sawa na 14. Hapa kama condition yetu ni 17 kwa tulivyojifunza kwenye while hapo huwezi pata matokeo lakini kwenye do kwanza italeta matokeo kwa ku display 17 kisha itastop baada ya kuwa test hazijafikiwa.
Jinsi ya kuandika do loops
Utaweka keyword do likifuatiwa na mabano {} kisha utafanye increment sura decrement ili kupata matokeo kwanza kisha ndipo utatest condition kwa kuweka while(). Code zitaoneka hivi.
Mfano huu ni endapo variable ni ndogo kuliko test yetu.
$x = 1;
do{echo $x++, "
";}
while($x<=14);
?>
Sasa endapo variable ni kubwa kuliko test yetu pia tutapata matokeo kwa kuwa kwanza itadisplay hiyo variable yetu kisha ndipo itaendelea kutest.
$x = 20;
do{echo $x++, "
";}
while($x<=14);
?>
Hapo itadisplay namba 20.
FOR LOOP
For loop hutumika utakuwa unajuwa idadi ya code zako unataka zitest mara ngapi. Kwa mfano tuna list ya array array("muembe", "mnazi", "mpapai") sasa tunataka kupata list hii. Hapa tunajuwa fika kuwa listvyetu ina item tatu hivyo code sita run mara 3. Pia unaweza kupata list ya hizo item ndani ya array kwa kutumia count function.
Kuweka for loop
For loop ipo tofauti kidogo na loop tulizojifunza. Yenyewe ina sehemu kuu tatu ambazo ni: -
Initiative counter haa nibpale ambapo unakwenda kuweka mwanzo wa test yako. Mfano unataka itest kuanzia 0 ama 2.
Test counter hapa ndipo ambapo utaanza ku test condition yao
Increment counter hapa ni pale ambapo unakwenda kufanya increment ama decrement.
Kanuni
fo(initiate counter; test counter; increment counter).
Mfano
Sasa tutumie mfano wetu wa hapo juu wa array yetu yenye item 3. Ili tuweze kupata list ya hizo items.
$x = array("muembe", "mnazi", "mpapai");
$b =count($x);
for($c=0; $c<$b; $c++){
echo $x[$c] ." "."";
">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua. Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation. Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting. Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako Download App Yetu
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Kitau cha Fiqh
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP
PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP
PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP
PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data
PHP somo la 96: Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation
PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP
PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia