Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
DO, FOR, FOREACH LOOPS
Kama tulivyojifunza katika somo la 7 hivyo somo hili ni muendelezo ya tulipoishia. Hivyo tutatumia mifano inayolingana.
DO LOOP:
Hii inafanana sana na while loop ila utofauti wake ni kuwa kwenye do kwanza code zitaleta matokeo kisha ndipo zitaanza kutest sharti zilizopewa. Yaani kwanza utapata matokeoa ya code halafu ndipo ianze kutest conditions.
Mfano
Unataka kuorodhesha namba zilizo chini ama sawa na 14. Hapa kama condition yetu ni 17 kwa tulivyojifunza kwenye while hapo huwezi pata matokeo lakini kwenye do kwanza italeta matokeo kwa ku display 17 kisha itastop baada ya kuwa test hazijafikiwa.
Jinsi ya kuandika do loops
Utaweka keyword do likifuatiwa na mabano {} kisha utafanye increment sura decrement ili kupata matokeo kwanza kisha ndipo utatest condition kwa kuweka while(). Code zitaoneka hivi.
Mfano huu ni endapo variable ni ndogo kuliko test yetu.
$x = 1;
do{echo $x++, "
";}
while($x<=14);
?>
Sasa endapo variable ni kubwa kuliko test yetu pia tutapata matokeo kwa kuwa kwanza itadisplay hiyo variable yetu kisha ndipo itaendelea kutest.
$x = 20;
do{echo $x++, "
";}
while($x<=14);
?>
Hapo itadisplay namba 20.
FOR LOOP
For loop hutumika utakuwa unajuwa idadi ya code zako unataka zitest mara ngapi. Kwa mfano tuna list ya array array("muembe", "mnazi", "mpapai") sasa tunataka kupata list hii. Hapa tunajuwa fika kuwa listvyetu ina item tatu hivyo code sita run mara 3. Pia unaweza kupata list ya hizo item ndani ya array kwa kutumia count function.
Kuweka for loop
For loop ipo tofauti kidogo na loop tulizojifunza. Yenyewe ina sehemu kuu tatu ambazo ni: -
Initiative counter haa nibpale ambapo unakwenda kuweka mwanzo wa test yako. Mfano unataka itest kuanzia 0 ama 2.
Test counter hapa ndipo ambapo utaanza ku test condition yao
Increment counter hapa ni pale ambapo unakwenda kufanya increment ama decrement.
Kanuni
fo(initiate counter; test counter; increment counter).
Mfano
Sasa tutumie mfano wetu wa hapo juu wa array yetu yenye item 3. Ili tuweze kupata list ya hizo items.
$x = array("muembe", "mnazi", "mpapai");
$b =count($x);
for($c=0; $c<$b; $c++){
echo $x[$c] ." "."";
">... Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake. Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP. Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Bongolite - Game zone - Play free game
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO
PHP somo la 77: aina za http redirect
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?
PHP somo la 91: Mambo ya kuzingatia unapokuwa unashughulika na data za json
PHP somo la 80: Authentication header
PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
PHP somo la 58: static method kwenye PHP
PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer
PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP