picha

PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP

DO, FOR, FOREACH LOOPS

Kama tulivyojifunza katika somo la 7 hivyo somo hili ni muendelezo ya tulipoishia.  Hivyo tutatumia mifano inayolingana. 

 

DO LOOP

Hii inafanana sana na while loop ila utofauti wake ni kuwa kwenye do kwanza code zitaleta matokeo kisha ndipo zitaanza kutest sharti zilizopewa. Yaani kwanza utapata matokeoa ya code halafu ndipo ianze kutest conditions. 

 

Mfano

Unataka kuorodhesha namba zilizo chini ama sawa na 14. Hapa kama condition yetu ni 17 kwa tulivyojifunza kwenye while hapo huwezi pata matokeo lakini kwenye do kwanza italeta matokeo kwa ku display 17 kisha itastop baada ya kuwa test hazijafikiwa.

 

Jinsi ya kuandika do loops

Utaweka keyword do likifuatiwa na mabano {} kisha utafanye increment sura decrement ili kupata matokeo kwanza kisha ndipo utatest condition kwa kuweka while(). Code zitaoneka hivi. 

 

Mfano huu ni endapo variable ni ndogo kuliko test yetu. 

$x = 1;

do{echo $x++, "
";}

while($x<=14);

?>

 

Sasa endapo variable ni kubwa kuliko test yetu pia tutapata matokeo kwa kuwa kwanza itadisplay hiyo variable yetu kisha ndipo itaendelea kutest. 

 

$x = 20;

do{echo $x++, "
";}

while($x<=14);

?>

 

Hapo itadisplay namba 20. 

 

FOR LOOP

For loop hutumika utakuwa unajuwa idadi ya code zako unataka zitest mara ngapi. Kwa mfano tuna list ya array array("muembe", "mnazi", "mpapai") sasa tunataka kupata list hii. Hapa tunajuwa fika kuwa listvyetu ina item tatu hivyo code sita run mara 3. Pia unaweza kupata list ya hizo item ndani ya array kwa kutumia count function. 

 

Kuweka for loop

For loop ipo tofauti kidogo na loop tulizojifunza.  Yenyewe ina sehemu kuu tatu ambazo ni: -

  1. Initiative counter haa nibpale ambapo unakwenda kuweka mwanzo wa test yako. Mfano unataka itest kuanzia 0 ama 2.

  2. Test counter hapa ndipo ambapo utaanza ku test condition yao

  3. Increment counter hapa ni pale ambapo unakwenda kufanya increment ama decrement. 

Kanuni

fo(initiate counter;  test counter;  increment counter). 

 

Mfano

Sasa tutumie mfano wetu wa...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 782

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 ai web app     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

PHP somo la 100: Jinsi ya kutumia sql moja kwa moja kwenye ORM ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project

Soma Zaidi...
PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

Soma Zaidi...
PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog

Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Soma Zaidi...