picha

PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP

DO, FOR, FOREACH LOOPS

Kama tulivyojifunza katika somo la 7 hivyo somo hili ni muendelezo ya tulipoishia.  Hivyo tutatumia mifano inayolingana. 

 

DO LOOP

Hii inafanana sana na while loop ila utofauti wake ni kuwa kwenye do kwanza code zitaleta matokeo kisha ndipo zitaanza kutest sharti zilizopewa. Yaani kwanza utapata matokeoa ya code halafu ndipo ianze kutest conditions. 

 

Mfano

Unataka kuorodhesha namba zilizo chini ama sawa na 14. Hapa kama condition yetu ni 17 kwa tulivyojifunza kwenye while hapo huwezi pata matokeo lakini kwenye do kwanza italeta matokeo kwa ku display 17 kisha itastop baada ya kuwa test hazijafikiwa.

 

Jinsi ya kuandika do loops

Utaweka keyword do likifuatiwa na mabano {} kisha utafanye increment sura decrement ili kupata matokeo kwanza kisha ndipo utatest condition kwa kuweka while(). Code zitaoneka hivi. 

 

Mfano huu ni endapo variable ni ndogo kuliko test yetu. 

$x = 1;

do{echo $x++, "
";}

while($x<=14);

?>

 

Sasa endapo variable ni kubwa kuliko test yetu pia tutapata matokeo kwa kuwa kwanza itadisplay hiyo variable yetu kisha ndipo itaendelea kutest. 

 

$x = 20;

do{echo $x++, "
";}

while($x<=14);

?>

 

Hapo itadisplay namba 20. 

 

FOR LOOP

For loop hutumika utakuwa unajuwa idadi ya code zako unataka zitest mara ngapi. Kwa mfano tuna list ya array array("muembe", "mnazi", "mpapai") sasa tunataka kupata list hii. Hapa tunajuwa fika kuwa listvyetu ina item tatu hivyo code sita run mara 3. Pia unaweza kupata list ya hizo item ndani ya array kwa kutumia count function. 

 

Kuweka for loop

For loop ipo tofauti kidogo na loop tulizojifunza.  Yenyewe ina sehemu kuu tatu ambazo ni: -

  1. Initiative counter haa nibpale ambapo unakwenda kuweka mwanzo wa test yako. Mfano unataka itest kuanzia 0 ama 2.

  2. Test counter hapa ndipo ambapo utaanza ku test condition yao

  3. Increment counter hapa ni pale ambapo unakwenda kufanya increment ama decrement. 

Kanuni

fo(initiate counter;  test counter;  increment counter). 

 

Mfano

Sasa tutumie mfano wetu wa...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 822

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 ai web app     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

PHP somo la 74: aina za http headerna server variable

Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...
PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post

Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json

Soma Zaidi...