PHP somo la 54: class constant kwenye php
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.
Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt
Mfano:
<?php
class Gari{
const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";
}
echo Gari::TANGAZO;
Tunauza gari aina ya toyota
Sasa kama utataka kuitumia constant ndani ya class utatumia keyword self badala ya this kama tulivyoona mwanzoni.
<?php
class Gari{
const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";
function meseji(){
echo self::TANGAZO;
}
}
$ujumbe = new Gari();
$ujumbe->meseji();
Constatnt yenyewe haina access modifier kwa yenyewe ni visible.
Mfano mwingine:
<?php
class Calculator {
const ERROR_MESSAGE = "Error: Division by zero";
public function add($a, $b) {
return $a + $b;
}
public function subtract($a, $b) {
return $a - $b;
}
public function multiply($a, $b) {
return $a * $b;
}
public function divide($a, $b) {
if ($b == 0) {
echo self::ERROR_MESSAGE;
return null;
} else {
return $a / $b;
}
}
}
$calc = new Calculator();
echo "Addition: " . $calc->add(5, 0) . "<br>"; // Outputs: 8
echo "Subtraction: " . $calc->subtract(10, 4) . "<br>"; // Outputs: 6
echo "Multiplication: " . $calc->multiply(6, 7) . "<br>"; // Outputs: 42
echo "Division: " . $calc->divide(20, 4) . "<br>"; // Outputs: 5
echo "Division by zero: ";
$calc->divide(10, 0); // Outputs: Error: Division by zero
Mwsho
Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu abstract class.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 ai web app 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement
Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine
Soma Zaidi...PHP somo la 57: class traits kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance
Soma Zaidi...PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php
Soma Zaidi...