PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.

 

Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution  ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt

Mfano:

<?php

class Gari{

   const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";

}

echo Gari::TANGAZO;

Tunauza gari aina ya toyota

 

Sasa kama utataka kuitumia constant ndani ya class utatumia keyword self badala ya this kama tulivyoona mwanzoni.

<?php

class Gari{

   const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";

 

   function meseji(){

       echo self::TANGAZO;

   }

}

$ujumbe = new Gari();

$ujumbe->meseji();

 

Constatnt yenyewe haina access modifier kwa yenyewe ni visible. 

 

 

Mfano mwingine:
 

<?php

 

class Calculator {

 

   const ERROR_MESSAGE = "Error: Division by zero";

 

   public function add($a, $b) {

       return $a + $b;

   }

 

   public function subtract($a, $b) {

       return $a - $b;

   }

 

   public function multiply($a, $b) {

       return $a * $b;

   }

 

   public function divide($a, $b) {

       if ($b == 0) {

           echo self::ERROR_MESSAGE;

           return null;

       } else {

           return $a / $b;

       }

   }

 

}

 

$calc = new Calculator();

echo "Addition: " . $calc->add(5, 0) . "<br>"; // Outputs: 8

echo "Subtraction: " . $calc->subtract(10, 4) . "<br>"; // Outputs: 6

echo "Multiplication: " . $calc->multiply(6, 7) . "<br>"; // Outputs: 42

echo "Division: " . $calc->divide(20, 4) . "<br>"; // Outputs: 5

echo "Division by zero: ";

$calc->divide(10, 0); // Outputs: Error: Division by zero

 

Mwsho

Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu abstract class.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 691

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 34: Jinsi ya kutumia do loop, while loop na foreach kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine

Soma Zaidi...
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

Soma Zaidi...
PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Soma Zaidi...