PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.

 

Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution  ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt

Mfano:

<?php

class Gari{

   const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";

}

echo Gari::TANGAZO;

Tunauza gari aina ya toyota

 

Sasa kama utataka kuitumia constant ndani ya class utatumia keyword self badala ya this kama tulivyoona mwanzoni.

<?php

class Gari{

   const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";

 

   function meseji(){

       echo self::TANGAZO;

   }

}

$ujumbe = new Gari();

$ujumbe->meseji();

 

Constatnt yenyewe haina access modifier kwa yenyewe ni visible. 

 

 

Mfano mwingine:
 

<?php

 

class Calculator {

 

   const ERROR_MESSAGE = "Error: Division by zero";

 

   public function add($a, $b) {

       return $a + $b;

   }

 

   public function subtract($a, $b) {

       return $a - $b;

   }

 

   public function multiply($a, $b) {

       return $a * $b;

   }

 

   public function divide($a, $b) {

       if ($b == 0) {

           echo self::ERROR_MESSAGE;

           return null;

       } else {

           return $a / $b;

       }

   }

 

}

 

$calc = new Calculator();

echo "Addition: " . $calc->add(5, 0) . "<br>"; // Outputs: 8

echo "Subtraction: " . $calc->subtract(10, 4) . "<br>"; // Outputs: 6

echo "Multiplication: " . $calc->multiply(6, 7) . "<br>"; // Outputs: 42

echo "Division: " . $calc->divide(20, 4) . "<br>"; // Outputs: 5

echo "Division by zero: ";

$calc->divide(10, 0); // Outputs: Error: Division by zero

 

Mwsho

Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu abstract class.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 458

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog

Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu

Soma Zaidi...
PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost

Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse

Soma Zaidi...