Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.
Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt
Mfano:
<?php
class Gari{
const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";
}
echo Gari::TANGAZO;
Tunauza gari aina ya toyota
Sasa kama utataka kuitumia constant ndani ya class utatumia keyword self badala ya this kama tulivyoona mwanzoni.
<?php
class Gari{
const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";
function meseji(){
echo self::TANGAZO;
}
}
$ujumbe = new Gari();
$ujumbe->meseji();
Constatnt yenyewe haina access modifier kwa yenyewe ni visible.
Mfano mwingine:
<?php
class Calculator {
const ERROR_MESSAGE = "Error: Division by zero";
public function add($a, $b) {
return $a + $b;
}
public function subtract($a, $b) {
return $a - $b;
}
public function multiply($a, $b) {
return $a * $b;
}
public function divide($a, $b) {
if ($b == 0) {
echo self::ERROR_MESSAGE;
return null;
} else {
return $a / $b;
}
}
}
$calc = new Calculator();
echo "Addition: " . $calc->add(5, 0) . "<br>"; // Outputs: 8
echo "Subtraction: " . $calc->subtract(10, 4) . "<br>"; // Outputs: 6
echo "Multiplication: " . $calc->multiply(6, 7) . "<br>"; // Outputs: 42
echo "Division: " . $calc->divide(20, 4) . "<br>"; // Outputs: 5
echo "Division by zero: ";
$calc->divide(10, 0); // Outputs: Error: Division by zero
Mwsho
Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu abstract class.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO
Soma Zaidi...