PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.

 

Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution  ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt

Mfano:

<?php

class Gari{

   const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";

}

echo Gari::TANGAZO;

Tunauza gari aina ya toyota

 

Sasa kama utataka kuitumia constant ndani ya class utatumia keyword self badala ya this kama tulivyoona mwanzoni.

<?php

class Gari{

   const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";

 

   function meseji(){

       echo self::TANGAZO;

   }

}

$ujumbe = new Gari();

$ujumbe->meseji();

 

Constatnt yenyewe haina access modifier kwa yenyewe ni visible. 

 

 

Mfano mwingine:
 

<?php

 

class Calculator {

 

   const ERROR_MESSAGE = "Error: Division by zero";

 

   public function add($a, $b) {

       return $a + $b;

   }

 

   public function subtract($a, $b) {

       return $a - $b;

   }

 

   public function multiply($a, $b) {

       return $a * $b;

   }

 

   public function divide($a, $b) {

       if ($b == 0) {

           echo self::ERROR_MESSAGE;

           return null;

       } else {

           return $a / $b;

       }

   }

 

}

 

$calc = new Calculator();

echo "Addition: " . $calc->add(5, 0) . "<br>"; // Outputs: 8

echo "Subtraction: " . $calc->subtract(10, 4) . "<br>"; // Outputs: 6

echo "Multiplication: " . $calc->multiply(6, 7) . "<br>"; // Outputs: 42

echo "Division: " . $calc->divide(20, 4) . "<br>"; // Outputs: 5

echo "Division by zero: ";

$calc->divide(10, 0); // Outputs: Error: Division by zero

 

Mwsho

Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu abstract class.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 478

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP somo la 73: Maana ya http header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.

Soma Zaidi...
PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

Soma Zaidi...
PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto

Soma Zaidi...
PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

Soma Zaidi...
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM

Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...