Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.
Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt
Mfano:
<?php
class Gari{
const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";
}
echo Gari::TANGAZO;
Tunauza gari aina ya toyota
Sasa kama utataka kuitumia constant ndani ya class utatumia keyword self badala ya this kama tulivyoona mwanzoni.
<?php
class Gari{
const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";
function meseji(){
echo self::TANGAZO;
}
}
$ujumbe = new Gari();
$ujumbe->meseji();
Constatnt yenyewe haina access modifier kwa yenyewe ni visible.
Mfano mwingine:
<?php
class Calculator {
const ERROR_MESSAGE = "Error: Division by zero";
public function add($a, $b) {
return $a + $b;
}
public function subtract($a, $b) {
return $a - $b;
}
public function multiply($a, $b) {
return $a * $b;
}
public function divide($a, $b) {
if ($b == 0) {
echo self::ERROR_MESSAGE;
return null;
} else {
return $a / $b;
}
}
}
$calc = new Calculator();
echo "Addition: " . $calc->add(5, 0) . "<br>"; // Outputs: 8
echo "Subtraction: " . $calc->subtract(10, 4) . "<br>"; // Outputs: 6
echo "Multiplication: " . $calc->multiply(6, 7) . "<br>"; // Outputs: 42
echo "Division: " . $calc->divide(20, 4) . "<br>"; // Outputs: 5
echo "Division by zero: ";
$calc->divide(10, 0); // Outputs: Error: Division by zero
Mwsho
Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu abstract class.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 346
Sponsored links
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6
Madrasa kiganjani
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql . Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog
Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog. Soma Zaidi...
PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php Soma Zaidi...
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php
Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP Soma Zaidi...
PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database
Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database. Soma Zaidi...
PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP
katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP Soma Zaidi...
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude() Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header. Soma Zaidi...
PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json Soma Zaidi...