image

PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.

 

Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution  ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt

Mfano:

<?php

class Gari{

   const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";

}

echo Gari::TANGAZO;

Tunauza gari aina ya toyota

 

Sasa kama utataka kuitumia constant ndani ya class utatumia keyword self badala ya this kama tulivyoona mwanzoni.

<?php

class Gari{

   const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";

 

   function meseji(){

       echo self::TANGAZO;

   }

}

$ujumbe = new Gari();

$ujumbe->meseji();

 

Constatnt yenyewe haina access modifier kwa yenyewe ni visible. 

 

 

Mfano mwingine:
 

<?php

 

class Calculator {

 

   const ERROR_MESSAGE = "Error: Division by zero";

 

   public function add($a, $b) {

       return $a + $b;

   }

 

   public function subtract($a, $b) {

       return $a - $b;

   }

 

   public function multiply($a, $b) {

       return $a * $b;

   }

 

   public function divide($a, $b) {

       if ($b == 0) {

           echo self::ERROR_MESSAGE;

           return null;

       } else {

           return $a / $b;

       }

   }

 

}

 

$calc = new Calculator();

echo "Addition: " . $calc->add(5, 0) . "<br>"; // Outputs: 8

echo "Subtraction: " . $calc->subtract(10, 4) . "<br>"; // Outputs: 6

echo "Multiplication: " . $calc->multiply(6, 7) . "<br>"; // Outputs: 42

echo "Division: " . $calc->divide(20, 4) . "<br>"; // Outputs: 5

echo "Division by zero: ";

$calc->divide(10, 0); // Outputs: Error: Division by zero

 

Mwsho

Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu abstract class.

 

 



           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2024-04-19 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 128


Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database
Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database. Soma Zaidi...

PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection. Soma Zaidi...

Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address
Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake. Soma Zaidi...

PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine Soma Zaidi...

PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja. Soma Zaidi...

PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP. Soma Zaidi...

PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable Soma Zaidi...

PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO Soma Zaidi...

PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function Soma Zaidi...

PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia
Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako Soma Zaidi...

PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi Soma Zaidi...

PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP Soma Zaidi...