Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.
Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt
Mfano:
<?php
class Gari{
const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";
}
echo Gari::TANGAZO;
Tunauza gari aina ya toyota
Sasa kama utataka kuitumia constant ndani ya class utatumia keyword self badala ya this kama tulivyoona mwanzoni.
<?php
class Gari{
const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";
function meseji(){
echo self::TANGAZO;
}
}
$ujumbe = new Gari();
$ujumbe->meseji();
Constatnt yenyewe haina access modifier kwa yenyewe ni visible.
Mfano mwingine:
<?php
class Calculator {
const ERROR_MESSAGE = "Error: Division by zero";
public function add($a, $b) {
return $a + $b;
}
public function subtract($a, $b) {
return $a - $b;
}
public function multiply($a, $b) {
return $a * $b;
}
public function divide($a, $b) {
if ($b == 0) {
echo self::ERROR_MESSAGE;
return null;
} else {
return $a / $b;
}
}
}
$calc = new Calculator();
echo "Addition: " . $calc->add(5, 0) . "<br>"; // Outputs: 8
echo "Subtraction: " . $calc->subtract(10, 4) . "<br>"; // Outputs: 6
echo "Multiplication: " . $calc->multiply(6, 7) . "<br>"; // Outputs: 42
echo "Division: " . $calc->divide(20, 4) . "<br>"; // Outputs: 5
echo "Division by zero: ";
$calc->divide(10, 0); // Outputs: Error: Division by zero
Mwsho
Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu abstract class.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake
Soma Zaidi...Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...