PHP somo la 54: class constant kwenye php

PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Download Post hii hapa

Hii hutumiwa endapo unataka kuweka constat kwenye class. Constatnt hutumika kuweka property ambazo hazibadiliki. Zingatia kuwa class ni case-sensitivity kwa maana unazingatia herufi kubwa na ndogo. Ila inashauriwa sana kutumia herufi kubwa unapotumia constant.

 

Kutengeneza constant utatumia keyword const kama inavyojulikana. Ila katika kuitumia constatant utatumia operator inayofahamika kama scope resolution  ambao ni ( :: ) ikifuatiwa na jina la hiyo constatnt

Mfano:

<?php

class Gari{

   const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";

}

echo Gari::TANGAZO;

Tunauza gari aina ya toyota

 

Sasa kama utataka kuitumia constant ndani ya class utatumia keyword self badala ya this kama tulivyoona mwanzoni.

<?php

class Gari{

   const TANGAZO = "Tunauza gari aina ya toyota";

 

   function meseji(){

       echo self::TANGAZO;

   }

}

$ujumbe = new Gari();

$ujumbe->meseji();

 

Constatnt yenyewe haina access modifier kwa yenyewe ni visible. 

 

 

Mfano mwingine:
 

<?php

 

class Calculator {

 

   const ERROR_MESSAGE = "Error: Division by zero";

 

   public function add($a, $b) {

       return $a + $b;

   }

 

   public function subtract($a, $b) {

       return $a - $b;

   }

 

   public function multiply($a, $b) {

       return $a * $b;

   }

 

   public function divide($a, $b) {

       if ($b == 0) {

           echo self::ERROR_MESSAGE;

           return null;

       } else {

           return $a / $b;

       }

   }

 

}

 

$calc = new Calculator();

echo "Addition: " . $calc->add(5, 0) . "<br>"; // Outputs: 8

echo "Subtraction: " . $calc->subtract(10, 4) . "<br>"; // Outputs: 6

echo "Multiplication: " . $calc->multiply(6, 7) . "<br>"; // Outputs: 42

echo "Division: " . $calc->divide(20, 4) . "<br>"; // Outputs: 5

echo "Division by zero: ";

$calc->divide(10, 0); // Outputs: Error: Division by zero

 

Mwsho

Katika somo linalofuata tutakwenda kujifunza kuhusu abstract class.

 

 

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 436

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database
PHP somo la 72: Jinsi ya kuandaa PDF kutoana na data zilizopo kwenye database

hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case
PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Soma Zaidi...
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance

Soma Zaidi...
PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database  kwa kutumia PDO
PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO

Soma Zaidi...