Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP
Kabla ya kuendelea na somo kuna kitu kwanza nahitaji ukijuwe. Ni kuwa data za kwenye database unaweza kuzisoma kwenye HTML paragraph na table ama kwenye dag za kuorodhesga na namna ingine unayoitaka. Sasa hapa nataka nikufundishe kutengeneza kajitable kadogo kwa ajili ya kuwekea data zetu.
Tumia code hizi kutengeneza table ya HTML kwa ajili ya kuwekea data zetu. Tafadhali rejea mafunzo ya HTML Angalia video hii
<style>
table, th, td {
border: 1px solid black;
}
</style>
<table style="width:100%">
<tr>
<th>id</th>
<th>Name</th>
<th>Description</th>
<th>Price</th>
</tr>
<tr>
<td></td>
</tr>
</table>
Baada ya hapo sasatutakwenda kuzisoma data zetu kwenye hii table. Hivyo unatakiwa utumie SELECT kwa ajili ya kusoma database. Rejea somo lililotangulia.Kwa ,ujibu wa somo lililotangulia code nzima tunayoitumia kusoma database kwenye html ni hizi
<?php
$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");
while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){
?>
Kisha katika kila tagi hii <td> ndani yake kutakwenda kuziweka data zetu kwa kutumia echo au print. Itambulike kuwa <th> maana yake ni table head na <td> maana yake ni table data. Hivyo <th> ni kwa ajili ya title au heading za kila column, na <td> ni kwa ajili ya kuwekea hizo data. rejea mafunzo ya html level 2). Ili kutumia echo kuweka hizo data kwenye <td> kwa mujibu wa somo lililoangulia tunatumia code hizi:-
<?php echo $fetch['x']; ?> hapo kwenye x unaweza kuweka jina la column, kama id, au name au price au description. Kwa ufupi <td> itasomeka hivi
<tr>
<td><?php echo $fetch['id']; ?></td>
<td><?php echo $fetch['name']; ?></td>
<td><?php echo $fetch['description']; ?></td>
<td><?php echo $fetch['price']; ?></td>
</tr>
Kama utafuata maelekezo vizuri code nzima zitakuwa hivi:-
<?php
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);
?>
<style>
table, th, td {
bo">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP
Soma Zaidi...Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Soma Zaidi...