Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP
Kabla ya kuendelea na somo kuna kitu kwanza nahitaji ukijuwe. Ni kuwa data za kwenye database unaweza kuzisoma kwenye HTML paragraph na table ama kwenye dag za kuorodhesga na namna ingine unayoitaka. Sasa hapa nataka nikufundishe kutengeneza kajitable kadogo kwa ajili ya kuwekea data zetu.
Tumia code hizi kutengeneza table ya HTML kwa ajili ya kuwekea data zetu. Tafadhali rejea mafunzo ya HTML Angalia video hii
<style>
table, th, td {
border: 1px solid black;
}
</style>
<table style="width:100%">
<tr>
<th>id</th>
<th>Name</th>
<th>Description</th>
<th>Price</th>
</tr>
<tr>
<td></td>
</tr>
</table>
Baada ya hapo sasatutakwenda kuzisoma data zetu kwenye hii table. Hivyo unatakiwa utumie SELECT kwa ajili ya kusoma database. Rejea somo lililotangulia.Kwa ,ujibu wa somo lililotangulia code nzima tunayoitumia kusoma database kwenye html ni hizi
<?php
$sql = mysqli_query($conn, "SELECT * FROM `menu` ");
while($fetch = mysqli_fetch_array($sql)){
?>
Kisha katika kila tagi hii <td> ndani yake kutakwenda kuziweka data zetu kwa kutumia echo au print. Itambulike kuwa <th> maana yake ni table head na <td> maana yake ni table data. Hivyo <th> ni kwa ajili ya title au heading za kila column, na <td> ni kwa ajili ya kuwekea hizo data. rejea mafunzo ya html level 2). Ili kutumia echo kuweka hizo data kwenye <td> kwa mujibu wa somo lililoangulia tunatumia code hizi:-
<?php echo $fetch['x']; ?> hapo kwenye x unaweza kuweka jina la column, kama id, au name au price au description. Kwa ufupi <td> itasomeka hivi
<tr>
<td><?php echo $fetch['id']; ?></td>
<td><?php echo $fetch['name']; ?></td>
<td><?php echo $fetch['description']; ?></td>
<td><?php echo $fetch['price']; ?></td>
</tr>
Kama utafuata maelekezo vizuri code nzima zitakuwa hivi:-
<?php
$servername = "localhost";
$username = "root";
$password = "";
$dbname = "hotel";
$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password, $dbname);
?>
<style>
table, th, td {
bo">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file
Soma Zaidi...Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Soma Zaidi...Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable
Soma Zaidi...