Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu
katika somo la pili ntulijifunza jinsi ya kutengeneza database. sasa katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table. Kumbuka kuwa database yetu inaitwa my_blog. Hivto ingia kwenye database kisha bofya palpoandwa new kisha utakuja uwanja wa kuandika jina la table pamoja na kuweka column. Fuatilia mafunzo yetu jinsi ya kutengeneza table kwenye bdatabase kwenye mafunzo ya database somo la 6 [1]
able yetu itakuwa na column saba ambazo ni
1. id kwa ajili ya kuweka reference ama kama primary key
2. title kwa ajili ya kuandika vichwa vya habari vya post
4. summary kwa ajili ya kuandika muhtasari wa post
5. contente kwa ajili ya kuandika maudhui ya post
6. post_time kwa aji8li ya kuandika muda ambao post ilic">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...