Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu
katika somo la pili ntulijifunza jinsi ya kutengeneza database. sasa katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table. Kumbuka kuwa database yetu inaitwa my_blog. Hivto ingia kwenye database kisha bofya palpoandwa new kisha utakuja uwanja wa kuandika jina la table pamoja na kuweka column. Fuatilia mafunzo yetu jinsi ya kutengeneza table kwenye bdatabase kwenye mafunzo ya database somo la 6 [1]
able yetu itakuwa na column saba ambazo ni
1. id kwa ajili ya kuweka reference ama kama primary key
2. title kwa ajili ya kuandika vichwa vya habari vya post
4. summary kwa ajili ya kuandika muhtasari wa post
5. contente kwa ajili ya kuandika maudhui ya post
6. post_time kwa aji8li ya kuandika muda ambao post ilichapishwa
7. publisher k">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine
Soma Zaidi...Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...